Wewe umeshindwa nini kujiuliza kwanini hayo majeshi ya nje yapo kursk tu ....kwanini wakorea awajaingia ndani ya ukrain ....kursk ipo ndani ya urussi hivyo ni fursa kwa majeshi washirika kulitumia kujifunza vita na kupata uzoefu kivita ...urussi na kiduku watasikitika sana nato na ukrain wakiondoka kursk....ndiyo maana wanawalina asali taratibuShida nini mzee Urusi hadi anaomba msaada wa Majeshi kutoka nje ina maana hali ni ngumu hili haliitaji akili...mbona vitu vidogo tu vinakusumbua kichwa mazee shida nini..
Anatokea msukuma mmoja anakwambia NATO ni cha mtoto sana kwa Russia. Russia ameonesha uwezo wa kawaida tu ktk hii game hasa pale ambapo Ukraine alipovamia Russia na kukalia kipande cha ardhi ya Russia.Na huyo ni zele tu mmpewa misaada ya silaha..........je angetaka ugomvi na marekani yenyewe ?? Si kisanga hiki.... hapo kiduku akajifunze kwanza na manati ndio aje kwenye reality
Ule msafara haukufyekwa wote ila ulielekea Ukraine mashariki kwa mujibu wa wachambuzi wa JF.Kila nikikumbuk ule msururu wa msafara wa magari na vifaru uliokua unaelekea kiev ulivyoyeyuka gafla nacheka peke yangu 🤣
Jamaa kaongea ujinga mtupu. Hata kumquote nimeshindwa. Ni moja ya post ya hovyo kwenye hii thread.Unatudanganya unatangaza vita kama mpira wao wanasema wamerudisha wanajeshi nyuma na wao kila kukicha wanatangaza wanajeshi wao wanavyokufa huko wewe upo zako mbalizi unatuona watoto unatupa hadithi za Asali..Warusi wafe kwenye hiyo vita watapona Wakorea au unataka ubishi wa Simba/ Yanga kwenye vita.
Ule msafara ulidhihirisha ni namna gani military intelligence ya Russia ilivyo weak, waliiunderstimate sana Ukraine kiasi kwamba wakaona hata mafunzo na silaha walizonunua kutoka Magharibi nazo ni hovyo.Ule msafara haukufyekwa wote ila ulielekea Ukraine mashariki kwa mujibu wa wachambuzi wa JF.
Lee Van free TUJITEGEMEE
Ukraine kiuwezo ni ukweli wapo weak mbele ya Russia, pasipo NATO Ukraine ingekuwa imechukuliwa yote na Zelensky amekimbia nchi.Ule msafara ulidhihirisha ni namna gani military intelligence ya Russia ilivyo weak, waliiunderstimate sana Ukraine kiasi kwamba wakaona hata mafunzo na silaha walizonunua kutoka Magharibi nazo ni hovyo.
Nilitaka nitulie ila nikaona ataona kaandika kitu cha maana sana..Jamaa kaongea ujinga mtupu. Hata kumquote nimeshindwa. Ni moja ya post ya hovyo kwenye hii thread.
Dunia ya sasa hivi inatakiwa waje na drone walizotengeneza wenyewe kama Ukraine wanavyofanya wapo vitani huku wanatengeneza drone zao sio kuchimba shimo au kupasua matofali..Ni muda wa kuyapeleka makomando wetu wanaipasua matofali pale taifa kusaidia urusi.wakorea wanaonekana ni legelege sana
Ni mjinga tu mwenye akili kama zako ndo anaweza understimate Ukraine kwa kiasi kile. Ukraine toka 2014 huko alikuwa anafanya mazoezi ya kijeshi na nchi za NATO na kupewa mafunzo. Sasa utaweza vipi mchukulia kawaida?Ukraine kiuwezo ni ukweli wapo weak mbele ya Russia, pasipo NATO Ukraine ingekuwa imechukuliwa yote na Zelensky amekimbia nchi.
NATO inatoa kila aina ya msaada kwa Ukraine.
NATO inafanya kila namna kuisaidia Ukraine, kiufupi wanaopambana na Russia ni NATO.
Hata Kama ukiwa unatengeneza drone lakini lazima mwili uwe ngangali.Dunia ya sasa hivi inatakiwa waje na drone walizotengeneza wenyewe kama Ukraine wanavyofanya wapo vitani huku wanatengeneza drone zao sio kuchimba shimo au kupasua matofali..
Wewe ni mweupe na huelewi chochote.Ni mjinga tu mwenye akili kama zako ndo anaweza understimate Ukraine kwa kiasi kile. Ukraine toka 2014 huko alikuwa anafanya mazoezi ya kijeshi na nchi za NATO na kupewa mafunzo. Sasa utaweza vipi mchukulia kawaida?
Acha uongo wewe Russia ni kubwa jinga mbele ya Ukraine anapigika vibaya sanaUkraine kiuwezo ni ukweli wapo weak mbele ya Russia, pasipo NATO Ukraine ingekuwa imechukuliwa yote na Zelensky amekimbia nchi.
NATO inatoa kila aina ya msaada kwa Ukraine.
NATO inafanya kila namna kuisaidia Ukraine, kiufupi wanaopambana na Russia ni NATO.
Russia ni kubwa jinga mbele ya Ukraine eti kabisa unasema Ukraine wako weak akili hunaWewe ni mweupe na huelewi chochote.
Laiti ungelifahamu msaada NATO wanaotoa, ungekaa kimya.
We ni mke wa mtu na sitopenda nikuvunjie heshima hapa, mmeo tunaheshimiana sana na ni rafiki yangu wa karibu.Russia ni kubwa jinga mbele ya Ukraine eti kabisa unasema Ukraine wako weak akili huna
Kumbe umeolewa nilikua sijui ndoa njema binti mtumikie mmeoWe ni mke wa mtu na sitopenda nikuvunjie heshima hapa, mmeo tunaheshimiana sana na ni rafiki yangu wa karibu.
Basi sawa shemeji mchana mwema.Sawa nimekuelewa shemeji.
Sawa mtumikie mmeoBasi sawa shemeji mchana mwema.
Amesafiri amekwenda wapi mmeo shemeji?Mme wangu amesafiri.
Russia inapigana na NATO na si ukrein , kama ukrein ingesimama bila NATO vita ingekuwa imeisha siku nyingi, tumia akiriRussia ni kubwa jinga mbele ya Ukraine eti kabisa unasema Ukraine wako weak akili huna