Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
- Thread starter
-
- #61
Your very stupid - hapa ulitaka kumaanisha nini? You cant speak /write neither english nor swahili. Mlete anayekusimulia ndo nimwelekeze. Kisha aje akuelekeze na wewe.Nyinyi si ndiyo wale mnao ambiwa mtamke neno "this" huku mmebana pua na nakulegeza matako kabisa hili mumlizishe mkoloniππππ baada ya siku chache mnaanza kula hizi pipi za kijiti na minded yenuππππππ
Kwani bado wapo Gaza IDF?Israel kakimbia Gaza?
Kwa kutumia jicho la tatu ukiona zinatafutwa habari za nyuma sana....ujue kinachoendela muda huu kwenye frontline kina fanana na cha "SabaSaba Imefika". Tujikumbushe Sabasaba, lengo si kubadili malengo ya uzi huu bali ni kusisitiza hoja iliyo mezani. Ha ha haaaa!Ule msafara haukufyekwa wote ila ulielekea Ukraine mashariki kwa mujibu wa wachambuzi wa JF.
Lee Van free TUJITEGEMEE
Hii yangu imetoka Hindustan Times (Chombo kina miaka zaidi ya 110).Unapigana vipi na huna hela au humsikii Trump........ vita bila hela unapigana vipi.Dogo waambie wanaume wenye kufahamu wakujulishe. Hiyo habari imetoka al jazeera. Nadhani hufahamu hiyo ni nini.unasubiri tena jamaa aje akusimulie kuwa Russia amemaliza shughuli. Maana hata kuandika shughuli. Hujui. Unaandika shuguli. Utaweza wafahamu al jazeera kweli? Subiri usimuliwe.π
umri na kuanza kuikubali Amerika taratibuKuduku mboni kaweka hivyo vywele tumezoea Kiduku
Ona timu Putin inavyotumia masaburi kufikiri badala ya ubongo! Hivi uko timamu wewe?Hakuna kipigo tumia akili ....niliwaambia hapa kuwa waukreni hawana akili na NATO wao ....ukitumia akili vizuri utajua kwanini kursk bado urussi ajaichukua kikamilifu mpaka leo kuna manufaa makubwa sana kijeshi kwa urussi na hata kwa hiyo North Korea pia ...niliwaambia kuwa mbinu anayo tumia mrussi hapo KURSK INAITWA KULINA ASALI INATUMIKA KWENYE UFUGAJI WA NYUKI...inatakiwa ukilina asali ubakishe kidogo hili nyuki waendelee kubaki na wewe uendelee kupata manufaa ya asali .....sasa ukweli ni kuwa urussi ingetaka kukomboa eneo lote la KURSK ingutumia mwezi mmoja tu kusambaratisha jeshi la UKRAIN NA NATO kwa asilimia 100% ....ningekuwa na muda ningeandika hapa kwanini warussi wanawafuga NATO NA UKRAIN HAPO KURSK kuna manufaa gani kijeshi kwa upande wa urussi? na kuna hasara gani kubwa sana wanayo pata ukrain na NATO hapo kursk ....hivyo kurudi nyuma ni kuzidi kuwafanya waukrain na NATO wasiondoke hapo kursk wazidi kuuliwa na kualibiwa silaha zao nyingi kirahisi for nothing goal.
Vita siyo dini, ambayo inahitaji kuamini. Vita ni uhalisia. Inaonekana na inadhihirika.Hata mzungu ajui kuandika kiswahili .... kwa hiyo wewe una amini kuwa urussi kashindwa kuchukua eneo lake la kursk πππ your very stupid
Wewe umeshindwa nini kujiuliza kwanini hayo majeshi ya nje yapo kursk tu ....kwanini wakorea awajaingia ndani ya ukrain ....kursk ipo ndani ya urussi hivyo ni fursa kwa majeshi washirika kulitumia kujifunza vita na kupata uzoefu kivita ...urussi na kiduku watasikitika sana nato na ukrain wakiondoka kursk....ndiyo maana wanawalina asali taratibu
Urusi inatamani sana kuirudisha Kursk, lakini imeshindwa