Baada ya kuona video hii nimemdharau sana Ali Bongo Ondimba

Baada ya kuona video hii nimemdharau sana Ali Bongo Ondimba

badison

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2015
Posts
1,450
Reaction score
2,761
Wakuu nimetumiwa video moja ya aliyekuwa Raisi wa Gabon Ali Bongo kwa sasa kapinduliwa nikajua ukweli kwanini Nchi za kiafrika ni maskini sana na nimeshapata majibu kwanini na dokta, maprofesa waliosoma Nchi za ulaya hawana msaada wowote kwa wa Afrika wenzao kumbe tatizo ni imani zao za kishenzi.

Na pia ndugu zangu watanzania usimwamini msomi dokta au profesa aliyesoma ulaya kwa manufaa yako uhai wako na familia yako.

Tazama hii video mwenyewe

 
Mwenye kujua maana ya Hicho kiapo Cha waabudu shetani ishara ya kukata kichwa kuchinja atufafanulie
 
Wakuu nimetumiwa video moja ya aliyekuwa Raisi wa Gabon Ali Bongo kwa sasa kapinduliwa nikajua ukweli kwanini Nchi za kiafrika ni maskini sana na nimeshapata majibu kwanini na dokta, maprofesa waliosoma Nchi za ulaya hawana msaada wowote kwa wa Afrika wenzao kumbe tatizo ni imani zao za kishenzi.

Na pia ndugu zangu watanzania usimwamini msomi dokta au profesa aliyesoma ulaya kwa manufaa yako uhai wako na familia yako.

Tazama hii video mwenyewe

View attachment 2735351
Freemason.
 
Wanamapinduzi siku hizi hawasubirii uende nje ndio wakupindue.
Wewe ndie mtaji na ngao ukiwa nje ni rahisi sana kwa vibaraka kuvamia na kukurejesha.
Kinachowashinda ufaransa, ECOWAS ( Nigeria) kuivamia Niger ni mtaji walio nao wanamapinduzi wa kichwa Cha kibaraka wao wakivamia ni kuhatarisha uhai wa kibaraka wao.
Thus Wana kuwa wapole.
Hili mbinu ndio jeshi uitumia siku hizi.
Maana hata wakivamiwa kijeshi, wanamapinduzi wakamuua kibaraka wao wanakuwa wamefanya kazi bure
Kuandaa kibaraka mwingine wa kureplace fasta nafasi ni ngumu.
 
Mabegi yenye noti za Franga pamoja dola za Marekani yamekutwa katika Ikulu ya Rais wa zamani wa Gabon aliyefurushwa madarakani hapo jana, Ali Bongo. Makachero wanaendelea kuzihesabu lakini bado hazijajulikana thamani yake kwa sababu kila wakikaribia kumaliza wanakutana na furushi jingine la noti. Hawa ndio viongozi wa Afrika wajiitao wazalendo. Halafu yakiwafika wanasema "please make noise" Kiboboru.!!ya
 

Attachments

  • VID-20230901-WA0003.mp4
    2.2 MB
  • VID-20230901-WA0002.mp4
    14.7 MB
Back
Top Bottom