mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,072
- 12,119
dah! HakikaNdiyo mkuu another Soul Lost
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah! HakikaNdiyo mkuu another Soul Lost
Usizungumze vitu kwa ujumla, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Moyo ya JK ni prof Janabi, huyu kasoma duniani huko miaka kibao. Huyu kasaidia mengi sana, kwa wale waliokutana nao. Huu ni mfano tu, ila wapo wengi.Wakuu nimetumiwa video moja ya aliyekuwa Raisi wa Gabon Ali Bongo kwa sasa kapinduliwa nikajua ukweli kwanini Nchi za kiafrika ni maskini sana na nimeshapata majibu kwanini na dokta, maprofesa waliosoma Nchi za ulaya hawana msaada wowote kwa wa Afrika wenzao kumbe tatizo ni imani zao za kishenzi.
Na pia ndugu zangu watanzania usimwamini msomi dokta au profesa aliyesoma ulaya kwa manufaa yako uhai wako na familia yako.
Tazama hii video mwenyewe
View attachment 2735351
Kwenye ile video akitaka watu wapige kelele kaweka Quran karibu kabisa, labda wajuzi watupe ufafanuzi zaidi.Wakuu nimetumiwa video moja ya aliyekuwa Raisi wa Gabon Ali Bongo kwa sasa kapinduliwa nikajua ukweli kwanini Nchi za kiafrika ni maskini sana na nimeshapata majibu kwanini na dokta, maprofesa waliosoma Nchi za ulaya hawana msaada wowote kwa wa Afrika wenzao kumbe tatizo ni imani zao za kishenzi.
Na pia ndugu zangu watanzania usimwamini msomi dokta au profesa aliyesoma ulaya kwa manufaa yako uhai wako na familia yako.
Tazama hii video mwenyewe
View attachment 2735351
Wakanda foreverMwenye kujua maana ya Hicho kiapo Cha waabudu shetani ishara ya kukata kichwa kuchinja atufafanulie
Huyo mtu mimi simwamini na wala sitaki kumsikiaUsizungumze vitu kwa ujumla, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Moyo ya JK ni prof Janabi, huyu kasoma duniani huko miaka kibao. Huyu kasaidia mengi sana, kwa wale waliokutana nao. Huu ni mfano tu, ila wapo wengi.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwa nn mkuu?Huyo mtu mimi simwamini na wala sitaki kumsikia
Hawa viongozi vibaraka imekuwa tatizo suguWanamapinduzi siku hizi hawasubirii uende nje ndio wakupindue.
Wewe ndie mtaji na ngao ukiwa nje ni rahisi sana kwa vibaraka kuvamia na kukurejesha.
Kinachowashinda ufaransa, ECOWAS ( Nigeria) kuivamia Niger ni mtaji walio nao wanamapinduzi wa kichwa Cha kibaraka wao wakivamia ni kuhatarisha uhai wa kibaraka wao.
Thus Wana kuwa wapole.
Hili mbinu ndio jeshi uitumia siku hizi.
Maana hata wakivamiwa kijeshi, wanamapinduzi wakamuua kibaraka wao wanakuwa wamefanya kazi bure
Kuandaa kibaraka mwingine wa kureplace fasta nafasi ni ngumu.
Kasaidia kwa mauaji?Usizungumze vitu kwa ujumla, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Moyo ya JK ni prof Janabi, huyu kasoma duniani huko miaka kibao. Huyu kasaidia mengi sana, kwa wale waliokutana nao. Huu ni mfano tu, ila wapo wengi.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ya binadamu kama wewe na mimi.
Anachinjwa yeye sasaHilo lilikuwa likibaraka la waFaransa shenzy tu hilo, sasa hiyo ishara ya kuchinja hivyo ndio nini? Shenzy kabisa
Hatq baba yake alikuwa freemasonryWakuu nimetumiwa video moja ya aliyekuwa Raisi wa Gabon Ali Bongo kwa sasa kapinduliwa nikajua ukweli kwanini Nchi za kiafrika ni maskini sana na nimeshapata majibu kwanini na dokta, maprofesa waliosoma Nchi za ulaya hawana msaada wowote kwa wa Afrika wenzao kumbe tatizo ni imani zao za kishenzi.
Na pia ndugu zangu watanzania usimwamini msomi dokta au profesa aliyesoma ulaya kwa manufaa yako uhai wako na familia yako.
Tazama hii video mwenyewe
View attachment 2735351
Freemason mungu wao ni lucifer ambaye ndiye mungu wa wazungu na waarabu hii ndiyo sababu watu weusi hatuendelei kwani tunaabudu mungu tusio mjua historia yake isipokuwa yale machache ya kwenye vitabu walivyotuletea.Hatq baba yake alikuwa freemasonry
babu akirudi madarakan ntaiamin freemason kua ni noma. Ngoja tuone watamsaidiaje kondoo wao asikatwe kichwa.Wakuu nimetumiwa video moja ya aliyekuwa Raisi wa Gabon Ali Bongo kwa sasa kapinduliwa nikajua ukweli kwanini Nchi za kiafrika ni maskini sana na nimeshapata majibu kwanini na dokta, maprofesa waliosoma Nchi za ulaya hawana msaada wowote kwa wa Afrika wenzao kumbe tatizo ni imani zao za kishenzi.
Na pia ndugu zangu watanzania usimwamini msomi dokta au profesa aliyesoma ulaya kwa manufaa yako uhai wako na familia yako.
Tazama hii video mwenyewe
View attachment 2735351