Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafukara naona mnajifariji na wenzako..Na hilo hekalu lake mbona ameliacha amelamba mchanga??
Angeenda nalo mbinguni.
Umeachiwa bangalow ndani ya heka 1 unalia ili iweje? Bado kuna bunda refu liko CRDB na EQUITY BANK hapo mama hana presha kabisa. Tunalia misibani wale ambao hatujajipata sababu mzigo wa ada na kodi ni mwiba mchungu sana kwa afya ya akili.Nipo msibani kwa marehemu bunju A karibu na mianzini. Hakuna anayelia hata mmoja sijui kwann?
Bila shaka hata wakati wa Mazishi yake hawatasahau pia Kumzika Kaburini pamoja na hiyo Nyumba yake ya Kifahari ili tukiwa Mbinguni Siku ya Hukumu kwa yale mabaya tuliyoyafanya hapa duniani basi aamkie katika hiyo Nyumba kuja Uwanja Maalum wa kuhesabiwa Dhambi zako na Kuhukumiwa.Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Anaongelewa hapa kwa sababu ya hivyo vitu alivyofanya kinyume chake ingekuwa kimyaaa, sasa uamuzi ni wako.Mkuu,umesahau na ukubwa wa kipande cha aridhi kwa ajili ya kaburi.
Huko bank waweza kuta hakuna kitu au itategemea aina ya ugonjwa aliougua kama alikuwa anagharamiwa na serikali hapo akaunti zitasalimikaUmeachiwa bangalow ndani ya heka 1 unalia ili iweje? Bado kuna bunda refu liko CRDB na EQUITY BANK hapo mama hana presha kabisa. Tunalia misibani wale ambao hatujajipata sababu mzigo wa ada na kodi ni mwiba mchungu sana kwa afya ya akili.
😂😂😂😂 sawa mimi fukara, lakini hela ya kitimoto mbona ninayo?Mafukara naona mnajifariji na wenzako..
Sawa baba jenga mahekalu.Hii kauli utaacha kila kitu au kaacha kila kitu ni kauli ya kimaskini sana. Mungu kasema fanyeni kazi, kuleni na kunyweni kaipamba dunia kwa ajili yetu sio tuteseke. Kufa kila mtu atakufa sasa si bora upate maisha mazuri duniani na akhera kuna watu wanaweza kukosa ya duniani na akhera. Shinda game yako ya nyumbani away katafute draw.
Hata mkewe halii mkuu?Nipo msibani kwa marehemu bunju A karibu na mianzini. Hakuna anayelia hata mmoja sijui kwann?
Ufahari wa duniani tu dogo wekeza pia na mbinguni amkako hakuna mchwanna kutuNiliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Kabisa, hivyo ndio viwanja sasaWatu wenye hela wanapenda viwanja vikubwa kuanzia 2000sqm hadi 5000sqm na zaidi.
Izi ishirini kwa ishirini ni dalili ya kukosa hela tu.
Haya ndiyo huwaga yanakuja kufirw.. ili lipate mali ya kushindanisha na bwana x! Jamaa la hovyo kabisa!Hiyo ni reflection ya husuda iliyopo moyoni mwake zidi ya walofanikiwa.
HapanaHata mkewe halii mkuu?
Mkuu we kumbe uliya note hayo yote, sisi majirani ilikuwa ni neema ya misosi mwanzo mwisho yaani majumbani kulikiwa hamna haja ya kupika.Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu