much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Ulitaka aende nalo?Sawa kajenga hekalu ila si kaliacha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka aende nalo?Sawa kajenga hekalu ila si kaliacha...
Yaani Mungu atusaidie tu waja wake.....maana...amekufa ameacha, kajenga uswahilini, kiwanja cha kupewa, kaiba.....Nimesoma comments zimejaa chuki kwa kweli, watu wameacha kukubali ukweli kuwa jamaa alikuwa anaishi sehemu nzuri enzi za uhai wake ila watu wamebaki jifariji na maneno ya uwoga, chuki, wivu na makasiriko kuwa vyote ameacha duniani kikubwa He lived his best life thats what matter.
Ukiona hivyo amechezea pesa akiwa mdogo sana, na waafrica ndivyo tulivyo, starehee nyingi kupita kiasi mwisho ni umauti, ukitaka kuishi umri mrefu kuwa na pesa kiasi.Bado mdogo Sana kustahili kifo
Kwa mshahara huwezi jenga hekalu. Ni wizi tu.Ana deserve, ahawahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa NBC
Inazungumziwa uchumi wa mtu binafsi, kama angesaidia wanakijiji huko kwao ingepedeza zaidi.Duh! Ila kulinganisha uchumi wa Usa na Tanzania ni kuonea mno. Ni ukubwa wa tembo na sisimizi
GDP ya USA ni $29 Trillion USD
GDP ya Tanzania ni $79 billion USD
Nyumba kama haiko Oysterbay au Masaki haina hadhi ya kutisha hata kama ni kubwa kama white house ya magogoni.
Dah kweli kila mtu ma mtazamo wake kuhusu mafanikio.Sion kam ni mafanikio kwangu, mafanikio kwangu nikutak kuwa na maish ya kati , nisishndwe kulpa basic bills na kuw na nyumba
Jumba kubwaaa familia ya watu watano! Kazi kweli kweli!
Kauli za kujifariji tuvyote havijazuia kifochake Wala kutibu gonjwa lake....... usipate BP
Wewe haujui kuwa huko kwa wazungu ukistaafu na kuzeeka hilo jumba litakushinda kulipia kodi, utalipangisha, utaenda kuishi nyumba za wazee kwa kuwa watoto na wajukuu wanahangaika kivyao hawana muda na wewe. Tushukuru huku kwetu angalau kwa sasa familia bado zinatunza wazee. ILA TUNAELEKEA HUKO.Mkuu hata uwe na suruali 200 kwenye kabati hakuna siku utqvaa mbili mbili kwa pamoja.
Wazungu wana hela ila wanaishi kwa kiasi. Pesa inayozidi wanatoa misaada ndio hizi pesa tunazoletewa misaada kuchimba vyoo, Shule bure, matibabu ya TB HIV bure, miradi ya matibabu kwa Mama na Watoto bure.
Sisi wafrika tunawekeza kwenye umimi na Ubaltazsar.
Ndio maana hatuendelei. Uchoyo hauleti maendeleo hata siku moja
Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Mkuu,umesahau na ukubwa wa kipande cha aridhi kwa ajili ya kaburi.Hiyo ikulu imemsaidia nini, ameondoka nayo? Omba hekima siyo hizo rubbish. We una IQ ndogo sn, baba wa Taifa alitawala miaka 24 hakuhangaika na mahekalu, nyumbu alijengewa na JWTZ na alikaa ndani ya ile nyumbu miezi 6 tu. Timiza makusudi yaliyokuleta hp duniani mengine yote ni kujilisha upepo. We una mwili mkubwa kiasi gani utake nyumba kubwa km hekalu? Kitanda cha futi 3 tu inakutosha. Umeona ukubwa wa jeneza lake?
Let alone pesa za wizi, mali na rasilimali za watu maskini walipa kpdi.Hiyo ikulu imemsaidia nini, ameondoka nayo? Omba hekima siyo hizo rubbish. We una IQ ndogo sn, baba wa Taifa alitawala miaka 24 hakuhangaika na mahekalu, nyumbu alijengewa na JWTZ na alikaa ndani ya ile nyumbu miezi 6 tu. Timiza makusudi yaliyokuleta hp duniani mengine yote ni kujilisha upepo. We una mwili mkubwa kiasi gani utake nyumba kubwa km hekalu? Kitanda cha futi 3 tu inakutosha. Umeona ukubwa wa jeneza lake?
Mwisho wa siku Analalia mchanga.Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
"Lakini wale wanaomcha Mola wao wataingia kwenye vyumba vya juu (peponi), chini yake mito itiririkayo, wakidumu humo milele..."
Ukimwi Upo mkuu🙏
Hivi huwa inakuwaje hadi mnatamani mafanikio ya watu wengine haswa kwenye mali??!! watu wa namna hii huwa nawaogopa sana, nina uhakika wanaweza kufanya lolote kisa mali
Nipo msibani kwa marehemu bunju A karibu na mianzini. Hakuna anayelia hata mmoja sijui kwann?
Najua mjane ni Binti wa makamo, kanona balaa, usimwamini MTU , tumia KingaUhusiano wa reply yako unahusu kitu gani kwa mjane?