Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Waambie umeachishwa kazi na una madeni unadaiwa acha kua smart vaa rafu rafu, acha kuchana nywele ukiwa kitaa kama unazo. Mwanamke atakaekuganda muoe ila usifunge ndoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mzee unawezaje kufake umeachishwa kazi wakati Kila j3 mpaka ijumaa saa 2 hadi saa 10 unakuwa uko bize? Na unawezaje kufake uko rafu rafu mtaani wakati asubuhi Huwa unaondoka umechomekea?Waambie umeachishwa kazi na una madeni unadaiwa acha kua smart vaa rafu rafu, acha kuchana nywele ukiwa kitaa kama unazo. Mwanamke atakaekuganda muoe ila usifunge ndoa
Nisaidien mawazosasa mkuu unatushirikisha huku tukusaidie nini?
Mpaka damu itoke maskioni 😂😂😂😂Yani mtu umepata kazi badala ufaidi pesa zako unawaza tena kupata na mke ? Ama kweli kusikia kwa kenge........
Matokeo yametoka, Umepata division ngap?Kama Unapata Maziwa Kwanini Uangaike Kufuga Ng'ombe Wako.
Hivi UWABATA ni nini? umoja wa wala Bata?UWABATA njooni mmuokoe ndugu yetu hasije akaibiwa na hawa kausha damu pro max waliomganda.
Sio kwa hiyo njia yako bro. Zile sura ulizoziona mwanzo ndio halisi ila hizi zingine ni maigizoKwahyo mkuu mwanaume akifanikiwa hatakiwi kuoa?
Duh! Sasa nifanyaje ili kuwachuja Yani kujua huyu anaekt na huyu Yuko real?Sio kwa hiyo njia yako bro. Zile sura ulizoziona mwanzo ndio halisi ila hizi zingine ni maigizo
Hahaha dah mbona unanitisha Sasa. Si ntaacha ata kununua gari.Subiri ununue gari ndio utajua kwamba wewe Ni hendisam kweli kweli
nimefika mkuu, ndo nainywa hii chaidronedrake mshamba_hachekwi njooni muokoe jahazi kuna mtu anapotea huku
Halafu hii kweli hata mimi siku nikiingia kiwanja nimejaa vibaamedi vinajileta leta kinoma, mara vijichekeshe kwa mambo ambayo hata hayachekeshi sema ndo wamenikuta mimi mwenyewe UWABATA hardcoreMzee wanasema pesa haifichiki, Hawa viumbe wananusa.
Saivi nashangaa hata kwenye daladala gari liko empty kabisa ila unaweza shangaa anakuja mdada kukaa nawewe siti moja na anaanza na salamu, akati zamani Mimi ndo nilikuwa nawafata na najipendekeza wananipiga mikausho mikali
Subiri uchukue likizo ndio muda mzuri.Sasa mzee unawezaje kufake umeachishwa kazi wakati Kila j3 mpaka ijumaa saa 2 hadi saa 10 unakuwa uko bize? Na unawezaje kufake uko rafu rafu mtaani wakati asubuhi Huwa unaondoka umechomekea?