Baada ya kupata kazi wanawake wengi wanajipendekeza kwangu

Baada ya kupata kazi wanawake wengi wanajipendekeza kwangu

Kama upo chini ya miaka 28 wakumbatie sana achana na mambo ya kuoa yapo tu
 
Ndoa zinakukaga Na Baraka Sana vijana hamjuagi tu.....asilimia kubwa ya wanaume wanaoingia kwenye ndoa hua wanakua mafanikio Kulikov bachelors Mungu Hua anafungua milango ya Baraka
Inategemea na mke uliyempata.kama ana mikosi na laana sahau kuhusu kubarikiwa
 
Back
Top Bottom