jo5
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 894
- 1,381
NakaziaUtapigwa na jiwe we hapo tembeza bakora mpka wakome alafu ghafla jifanye umeachishwa kazi watakaobakia ndio chagua wa kuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaUtapigwa na jiwe we hapo tembeza bakora mpka wakome alafu ghafla jifanye umeachishwa kazi watakaobakia ndio chagua wa kuoa
Matokeo yametoka, Umepata division ngap?
YeahAjira uliyoipata ni ya serikali?
Nitajie namba nikuangalizieBado Sijafanikiwa Kuangalia Mkuu.
Hahah, sio poa Mkuunimefika mkuu, ndo nainywa hii chai
View attachment 2882411
Hongera sana, sasa ajira za serikali mishahara ya kuanzia ni midogo, hao wadada wanajipendekeza kitu gani nahuku maisha ya waajiriwa wa serikali ni ya kawaida tu.Yeah
ni kwenye taasisi sio halmashaurHongera sana, sasa ajira za serikali mishahara ya kuanzia ni midogo, hao wadada wanajipendekeza kitu gani nahuku maisha ya waajiriwa wa serikali ni ya kawaida tu.
Hawa wanajipendekeza ni wengne, swali ni walikuwa wapi kipindi nipo jobless?Mwanamke aliekufungia vioo na kukudharau wakati huna sio wa kuoa, nashauri kama hao ulionao wote walikuwa hivyo kabla hujapata kazi ni bora utafute Ke mwingine ambae huna historia nae yeyote.
Nenda mbali na hapo mtaaniHabari,
Kipindi nipo jobless hapa mjini, wanawake wengi walikuwa wananiringia hata salamu tu. Mtaani hapa nilikuwa Kila nikitongoza wanatema nje.
Lakini baada ya kuajiriwa nashangaa Kila mwanamke yupo humble, peaceful na anajituma.
Wakija kunisalimia wanafua mashuka na kuosha vyombo na kufanya usafi, vitu ambavyo sikuwahi fanyiwa maisha yangu yote.
ilifikia hatua mpaka unaweza kuwaogopa wanawake na majibu Yao lakini saivi Kila mwanamke ni mpole na mcheshi kwangu mpaka nashangaa wamebadilikaje?
Kipindi nipo jobless nilikuwa napata sana tabu kupata wife material maana hata videmu nilivyokuwa navyo vilikuaa vinaniletea jeuri,kiburi na kutaka kuniendesha.
ila sasaivi Kila mwanamke ninayetoka naye anaonesha tabia zote kabisa za uwife material. Anakuwa mpole,mkarimu,msikilivu,mstahimilivu na mnyenyekevu.
Mpaka Sasa nashindwa hata kuchagua mke.
Kipindi nipo jobless nilikosa wife material,ila saivi nashindwa Sasa kuchagua yupi ni more wife material.
Naombeni ushauri wakuu, nisije nikawa naigiziwa tu nikajiroga kuingia kwenye ndoa na jini mnywa mafuta.
Na kama wananiektia mapenzi tu kwa Sasa, nifanyaje kuwajua walio real na wanaofake?
Wazee mliotoboa Kabla hamjaoa mlifanyaje kuuruka huu mtego?
Mwigulu amesema hawana maslahi kwenye wizara ya FwezaKausha damu hao, kuwa makini
walikuwepo ila ukiwa na kipato hata muonekano unabadilika na watakuja wengi sana.Hawa wanajipendekeza ni wengne, swali ni walikuwa wapi kipindi nipo jobless?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Oa mwaya nikupongeze sana unajielewa
Unataka kusemajeUshapata ajira?
Oa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]