Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Sasa mzee unawezaje kufake umeachishwa kazi wakati Kila j3 mpaka ijumaa saa 2 hadi saa 10 unakuwa uko bize? Na unawezaje kufake uko rafu rafu mtaani wakati asubuhi Huwa unaondoka umechomekea?
Ndio, nawe pia unakaribishwa Kwenye ChamaWewe ni team kataa ndoa?
Na zitamtoka hivi karibuniMpaka damu kwenye sikio
JandoniHabari,
Kipindi nipo jobless hapa mjini, wanawake wengi walikuwa wananiringia hata salamu tu. Mtaani hapa nilikuwa Kila nikitongoza wanatema nje.
Lakini baada ya kuajiriwa nashangaa Kila mwanamke yupo humble, peaceful na anajituma.
Wakija kunisalimia wanafua mashuka na kuosha vyombo na kufanya usafi, vitu ambavyo sikuwahi fanyiwa maisha yangu yote.
ilifikia hatua mpaka unaweza kuwaogopa wanawake na majibu Yao lakini saivi Kila mwanamke ni mpole na mcheshi kwangu mpaka nashangaa wamebadilikaje?
Kipindi nipo jobless nilikuwa napata sana tabu kupata wife material maana hata videmu nilivyokuwa navyo vilikuaa vinaniletea jeuri,kiburi na kutaka kuniendesha.
ila sasaivi Kila mwanamke ninayetoka naye anaonesha tabia zote kabisa za uwife material. Anakuwa mpole,mkarimu,msikilivu,mstahimilivu na mnyenyekevu.
Mpaka Sasa nashindwa hata kuchagua mke.
Kipindi nipo jobless nilikosa wife material,ila saivi nashindwa Sasa kuchagua yupi ni more wife material.
Naombeni ushauri wakuu, nisije nikawa naigiziwa tu nikajiroga kuingia kwenye ndoa na jini mnywa mafuta.
Na kama wananiektia mapenzi tu kwa Sasa, nifanyaje kuwajua walio real na wanaofake?
Wazee mliotoboa Kabla hamjaoa mlifanyaje kuuruka huu mtego?
Inasikitisha sana Vijana wanapotea kwa kukosa maarifa 😀Mpaka damu itoke maskioni 😂😂😂😂
AlooohInasikitisha sana Vijana wanapotea kwa kukosa maarifa 😀
Mkuu mbona unataka kuendekeza uzinzi. Muache ndugu yetu atafute familia mapema ww kama bado unataka kula ujana endeleaYani mtu umepata kazi badala ufaidi pesa zako unawaza tena kupata na mke ? Ama kweli kusikia kwa kenge........
kwani kuwa na familia ndo kuacha uzinzi ?Mkuu mbona unataka kuendekeza uzinzi. Muache ndugu yetu atafute familia mapema ww kama bado unataka kula ujana endelea
Kuwa makini sana utaangukiwa madafuHabari,
Kipindi nipo jobless hapa mjini, wanawake wengi walikuwa wananiringia hata salamu tu. Mtaani hapa nilikuwa Kila nikitongoza wanatema nje.
Lakini baada ya kuajiriwa nashangaa Kila mwanamke yupo humble, peaceful na anajituma.
Wakija kunisalimia wanafua mashuka na kuosha vyombo na kufanya usafi, vitu ambavyo sikuwahi fanyiwa maisha yangu yote.
ilifikia hatua mpaka unaweza kuwaogopa wanawake na majibu Yao lakini saivi Kila mwanamke ni mpole na mcheshi kwangu mpaka nashangaa wamebadilikaje?
Kipindi nipo jobless nilikuwa napata sana tabu kupata wife material maana hata videmu nilivyokuwa navyo vilikuaa vinaniletea jeuri,kiburi na kutaka kuniendesha.
ila sasaivi Kila mwanamke ninayetoka naye anaonesha tabia zote kabisa za uwife material. Anakuwa mpole,mkarimu,msikilivu,mstahimilivu na mnyenyekevu.
Mpaka Sasa nashindwa hata kuchagua mke.
Kipindi nipo jobless nilikosa wife material,ila saivi nashindwa Sasa kuchagua yupi ni more wife material.
Naombeni ushauri wakuu, nisije nikawa naigiziwa tu nikajiroga kuingia kwenye ndoa na jini mnywa mafuta.
Na kama wananiektia mapenzi tu kwa Sasa, nifanyaje kuwajua walio real na wanaofake?
Wazee mliotoboa Kabla hamjaoa mlifanyaje kuuruka huu mtego?
Usiwape ela hata wakikuomba mara 5 usiwape then observe reaction zaoHabari,
Kipindi nipo jobless hapa mjini, wanawake wengi walikuwa wananiringia hata salamu tu. Mtaani hapa nilikuwa Kila nikitongoza wanatema nje.
Lakini baada ya kuajiriwa nashangaa Kila mwanamke yupo humble, peaceful na anajituma.
Wakija kunisalimia wanafua mashuka na kuosha vyombo na kufanya usafi, vitu ambavyo sikuwahi fanyiwa maisha yangu yote.
ilifikia hatua mpaka unaweza kuwaogopa wanawake na majibu Yao lakini saivi Kila mwanamke ni mpole na mcheshi kwangu mpaka nashangaa wamebadilikaje?
Kipindi nipo jobless nilikuwa napata sana tabu kupata wife material maana hata videmu nilivyokuwa navyo vilikuaa vinaniletea jeuri,kiburi na kutaka kuniendesha.
ila sasaivi Kila mwanamke ninayetoka naye anaonesha tabia zote kabisa za uwife material. Anakuwa mpole,mkarimu,msikilivu,mstahimilivu na mnyenyekevu.
Mpaka Sasa nashindwa hata kuchagua mke.
Kipindi nipo jobless nilikosa wife material,ila saivi nashindwa Sasa kuchagua yupi ni more wife material.
Naombeni ushauri wakuu, nisije nikawa naigiziwa tu nikajiroga kuingia kwenye ndoa na jini mnywa mafuta.
Na kama wananiektia mapenzi tu kwa Sasa, nifanyaje kuwajua walio real na wanaofake?
Wazee mliotoboa Kabla hamjaoa mlifanyaje kuuruka huu mtego?
Oa mwaya nikupongeze sana unajielewaKwahyo mkuu mwanaume akifanikiwa hatakiwi kuoa?
We piga miti...... Ukioa hutapata huo uhuruHapo nifanyaje kuwachuja? Maana wanajua kuigiza kama kondoo
Vijana wamezaliwa ili waje kuteseka.Yani mtu umepata kazi badala ufaidi pesa zako unawaza tena kupata na mke ? Ama kweli kusikia kwa kenge........
Ushapata ajira?Halafu hii kweli hata mimi siku nikiingia kiwanja nimejaa vibaamedi vinajileta leta kinoma, mara vijichekeshe kwa mambo ambayo hata hayachekeshi sema ndo wamenikuta mimi mwenyewe UWABATA hardcore
Kwenye wimbo waHabari,
Kipindi nipo jobless hapa mjini, wanawake wengi walikuwa wananiringia hata salamu tu. Mtaani hapa nilikuwa Kila nikitongoza wanatema nje.
Lakini baada ya kuajiriwa nashangaa Kila mwanamke yupo humble, peaceful na anajituma.
Wakija kunisalimia wanafua mashuka na kuosha vyombo na kufanya usafi, vitu ambavyo sikuwahi fanyiwa maisha yangu yote.
ilifikia hatua mpaka unaweza kuwaogopa wanawake na majibu Yao lakini saivi Kila mwanamke ni mpole na mcheshi kwangu mpaka nashangaa wamebadilikaje?
Kipindi nipo jobless nilikuwa napata sana tabu kupata wife material maana hata videmu nilivyokuwa navyo vilikuaa vinaniletea jeuri,kiburi na kutaka kuniendesha.
ila sasaivi Kila mwanamke ninayetoka naye anaonesha tabia zote kabisa za uwife material. Anakuwa mpole,mkarimu,msikilivu,mstahimilivu na mnyenyekevu.
Mpaka Sasa nashindwa hata kuchagua mke.
Kipindi nipo jobless nilikosa wife material,ila saivi nashindwa Sasa kuchagua yupi ni more wife material.
Naombeni ushauri wakuu, nisije nikawa naigiziwa tu nikajiroga kuingia kwenye ndoa na jini mnywa mafuta.
Na kama wananiektia mapenzi tu kwa Sasa, nifanyaje kuwajua walio real na wanaofake?
Wazee mliotoboa Kabla hamjaoa mlifanyaje kuuruka huu mtego?
Ajira uliyoipata ni ya serikali?Hahaha dah mbona unanitisha Sasa. Si ntaacha ata kununua gari.
Sasa kwa dizaini iyo utajuaje mwanamke mwenye mapenzi ya kweli?