LGE2024 Baada ya kupuuza Ule msemo wa jinsi ya kula na kipofu, Leo wanatafutwa wananchi wa kujiandikisha Kwa tochi ili kura ziibwe!

LGE2024 Baada ya kupuuza Ule msemo wa jinsi ya kula na kipofu, Leo wanatafutwa wananchi wa kujiandikisha Kwa tochi ili kura ziibwe!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sasa kama ulimpa balozi Jina na namba Yako, uende kujiandikisha mara mbili?

Jina lako lishaandikwa na litapiga kura kumpa ushindi wamtakaye.
Niliambia kachukua, nitamuuliza anamaanisha nini. 😁😁
 
Maana yake nini mambo haya.
Mbona kiongozi wa sekta ya uandikishaji anadai mwitikio ni mkubwa sana. Nyie takwimu huwa mnazipata wapi?
Tafuta ndugu au rafiki yako ambaye ni DED akupe ukweli, zoezi mpaka jana Halmashauri fulani Mkoani Pwani ni 48% ya matarajio.
 
Safi sana wananchi,hawa watawala wanapaswa kujua kwamba ujinga wao upo dhahiri.
 
Naona unajichekesha. Msipojiandikisha si ndio CCM itashinda kiulaini? Kwanini? Kwasababu wana mtandao wa wanachama hadi ngazi ya balozi. Wakipewa maelekezo wote wataebda kujiandikisha. Wapinzani ndio watakosa wapiga kura. Hivyo bora tu mjitokeze kujiandikisha na kupiga kura.
Hao wa CCM wako wapi?
Hujasikia kwamba vituo ni vitupu hakuna foleni, waandikishaji wanalala tu USINGIZI bila KAZI?

Nilidhani tatizo kuu ni CHADEMA, kumbe wananchi wasio na vyama nao hawataki kuwasikia.

Tusubiri uchaguzi mkuu.
 
Salaam, shalom!!

Viongozi tulikuwa tukiwaonya kupunguza viburi, mlikuwa mkitamba Kwa kauli za kejeli kuwa " Hata msipoipigia CCCM kura Bado itaunda Serekali"

Wengine wakaenda mbali na kudai kuwa " CCM kamwe haitatoka madarakani Hadi ipende yenyewe kama ambavyo Pascal Mayalla amekuwa akidai,

Viongozi wetu mkashindwa kujua kuwa kauli zenu ni sawa na kumshika mkono kipofu wakati mnamwibia chakula chake,

Matokeo ya kauli zenu, wananchi wamestuka, wamesusa,wamepuuza wamekaa pembeni.

Sasa Kuna Ile KANUNI ya ushindi wa mazingira, kuwa, wakijitokeza wapiga kura waliojiandikisha, unaongeza na za wizi Ili ionekane chama kimeshinda Kwa HAKI,

Sasa watu hawajiandikishi, wamegoma, mtaiba kura zipi ilhali watu hawajitokezi!!

Sasa uhalali wa kuongoza utatoka wapi ikiwa wananchi wamegoma kushiriki chaguzi sababu ya wizi na viburi vyenu?

Suluhu pekee iliyobaki mbeleni ni kubadili mgombea wa nafasi ya juu kuliko zote Ili angalau Nchi ipumue, chama kiendelee kuwepo japo Kwa miaka 10 ijayo, tofauti na hapo, yajayo...

Wana chi Si wajinga, mkae mkijua Hilo.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni 🙏
Mkuu siasa safi ni vitendo, kwa maana ya kuwafikia wananchi na shida zao. Hizi nadharia mahali pake ni humu jukwaani.

Huko kwenye vitendo mikoani na vijijini muda huu kuna michakato mingi tu ya ujenzi wa viwanda inaendelea kuna upatikanaji wa umeme karibu kila kona ya Tanzania, miradi ya maji inasambaa na mingine kumaliziwa.

Kibaya ni ingekuwa CCM wanaiba tu pesa bila ya kushughulika na shida za watu. Hawana sababu ya kuiba kura wakati kila siku wapo huko walipo wananchi na wanatatua shida zao.
 
Mkuu siasa safi ni vitendo, kwa maana ya kuwafikia wananchi na shida zao. Hizi nadharia mahali pake ni humu jukwaani.

Huko kwenye vitendo mikoani na vijijini muda huu kuna michakato mingi tu ya ujenzi wa viwanda inaendelea kuna upatikanaji wa umeme karibu kila kona ya Tanzania, miradi ya maji inasambaa na mingine kumaliziwa.

Kibaya ni ingekuwa CCM wanaiba tu pesa bila ya kushughulika na shida za watu. Hawana sababu ya kuiba kura wakati kila siku wapo huko walipo wananchi na wanatatua shida zao.
Kwamba unakataa kata kata CCM kamwe haijawahi kuiba kura Wala Kutoa RUSHWA.

Apia!!
 
Sasa ushindi wa kishindo utatoka wapi ikiwa watu wengi hawajiandikishi?
Jumla ya kura zilizopigwa ni 200, mgombea wa CCM kapata kura 190 sawa na 95%... hicho tayari ni kishindo.
 
Jumla ya kura zilizopigwa ni 200, mgombea wa CCM kapata kura 190 sawa na 95%... hicho tayari ni kishindo.
Kijiji chenye watu 10,000, wakijitokeza watu 500 kujiandikisha, wakapiga kura watu 250, mgombea wa CCM akapata kura 150 na kutangazwa mshindi,

Uhalali, legitimacy ya kuongoza hapo uko wapi, haupo,

Haiwezekani mji wenye watu 10,000 mshindi achaguliwe na watu 150 pekee.

Kubali, kataa, chama kinaelekea mwisho wa uhai wake.
 
Kijiji chenye watu 10,000, wakijitokeza watu mia Tano kujiandikisha, wakapiga kura watu 250, mgombea wa CCM akapata kura 150 na kutangazwa mshindi,

Uhalali, legitimacy ya kuongoza hapo Iko wapi, haipo,

Haiwezekani mji wenye watu 10,000 mshindi achafuliwe na watu 150 pekee.

Kubali, kataa, chama kinaelekea mwisho wa uhai wake.
Hayo yote sio muhimu, hata hivyo CCM inahamasisha watu wajiandikishe...... huku vyama vingine vikishawishi watu wasiende.
 
Maana yake nini mambo haya.
Mbona kiongozi wa sekta ya uandikishaji anadai mwitikio ni mkubwa sana. Nyie takwimu huwa mnazipata wapi?
..sasa ulitegemea atasemaje.. kumbuka huyo ni mfanyakazi wa serikali aseme mwitikio haupo mi ccm imnyambishe? ila anajua kabsaa watu hawataki kujiandikisha
 
Endeleeni kutojiandikisha halafu baadaye mje kuanza kulia lia pale CCM tutakapo beba na kuzoa kila kitu katika uchaguzi.
Bora mchukue mkiwa peke yenu wengine tuendelee na shughuli zingine lakini siyo tusimamishe shughuli kukaa foleni masaa 10 kisha anatangaza mumtakae tusije wafumua marinda bila hisia
 
Back
Top Bottom