Baada ya kushinda kombe la TOYOTA Yanga ombeni udhamini wa TOYOTA

Baada ya kushinda kombe la TOYOTA Yanga ombeni udhamini wa TOYOTA

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Nimerudia kuitazama mara tatu ile mechi kati ya Kaizer Chiefs vs Yanga mashindano ya TOYOTA Cup nimebaini kuwa Kaizer Chiefs haikuwa timu mbovu hata kidogo, ni makosa madogomadogo ya kukosa pumzi na muunganiko kuliko Yanga kulikosababisha Kaizer kuchapwa 4-0. Nabi hana kazi ngumu sana kuifanya Kaizer kuwa timu tishio kwenye ligi yao na hata kutwaa ubingwa au kuchisha nafasi ya pili kwenye ligi yao.

Wafanyabiashara wanapenda kuwekeza kwenye timu imara kama Yanga, wakijua kuwa watapata mileage kubwa ndani na nje ya nchi husika kama ilivyo Yanga ambayo ni bigwa Tanzania, inayoshiriki caf champions, yenye wachezaji wakubwa kama Aziz Ki na walioshinda Toyota cup, 2024.

TOYOTA ni kampuni kubwa sana sana duniani, tumieni fursa hii ya sasa kuomba udhamini wao, maana 98% ya magari yote Tanzania ni kutoka TOYOTA, uwezo wa toyota kuwakatalia ni mdogo sana. Waombeni kujenga uwanja wenu (TOYOTA Stadium).
 
Nimerudia kuitazama mara tatu ile mechi kati ya Kaizer Chiefs vs Yanga mashindano ya TOYOTA Cup nimebaini kuwa Kaizer Chiefs haikuwa timu mbovu hata kidogo, ni makosa madogomadogo ya kukosa punzi na muunganiko kuliko Yanga kulikosababisha Kaizer kuchapwa 4-0. Nabi hana kazi ngumu sana kuifanya Kaizer kuwa timu tishio kwenye ligi yao na hata kutwaa ubingwa au kuchisha nafasi ya pili kwenye ligi yao.

Wafanyabiashara wanapenda kuwekeza kwenye timu imara kama Yanga, wakijua kuwa watapata mileage kubwa ndani na nje ya nchi husika kama ilivyo Yanga ambayo ni bigwa Tanzania, inayoshiriki caf champions, yenye wachezaji wakubwa kama Aziz Ki na walioshinda Toyota cup, 2024.

TOYOTA ni kampuni kubwa sana sana duniani, tumieni fursa hii ya sasa kuomba udhamini wao, maana 98% ya magari yote Tanzania ni kutoka TOYOTA, uwezo wa toyota kuwakatalia ni mdogo sana. Waombeni kujenga uwanja wenu (TOYOTA Stadium).
TOYOTA inatakiwa iweke kombe afrika mashariki, kuwa mbadala wa hutu tukombe kama kagame n.k twenye zawadi za kununulia vitumbua. na toyota wana interest kubwa sana kibiashara na afrika mashariki.
 
Nimerudia kuitazama mara tatu ile mechi kati ya Kaizer Chiefs vs Yanga mashindano ya TOYOTA Cup nimebaini kuwa Kaizer Chiefs haikuwa timu mbovu hata kidogo, ni makosa madogomadogo ya kukosa pumzi na muunganiko kuliko Yanga kulikosababisha Kaizer kuchapwa 4-0. Nabi hana kazi ngumu sana kuifanya Kaizer kuwa timu tishio kwenye ligi yao na hata kutwaa ubingwa au kuchisha nafasi ya pili kwenye ligi yao.

Wafanyabiashara wanapenda kuwekeza kwenye timu imara kama Yanga, wakijua kuwa watapata mileage kubwa ndani na nje ya nchi husika kama ilivyo Yanga ambayo ni bigwa Tanzania, inayoshiriki caf champions, yenye wachezaji wakubwa kama Aziz Ki na walioshinda Toyota cup, 2024.

TOYOTA ni kampuni kubwa sana sana duniani, tumieni fursa hii ya sasa kuomba udhamini wao, maana 98% ya magari yote Tanzania ni kutoka TOYOTA, uwezo wa toyota kuwakatalia ni mdogo sana. Waombeni kujenga uwanja wenu (TOYOTA Stadium).
Good thinking, ila uwe uwanja wa yanga matangazo ya toyota yawepo pia
 
Nimerudia kuitazama mara tatu ile mechi kati ya Kaizer Chiefs vs Yanga mashindano ya TOYOTA Cup nimebaini kuwa Kaizer Chiefs haikuwa timu mbovu hata kidogo, ni makosa madogomadogo ya kukosa pumzi na muunganiko kuliko Yanga kulikosababisha Kaizer kuchapwa 4-0. Nabi hana kazi ngumu sana kuifanya Kaizer kuwa timu tishio kwenye ligi yao na hata kutwaa ubingwa au kuchisha nafasi ya pili kwenye ligi yao.

Wafanyabiashara wanapenda kuwekeza kwenye timu imara kama Yanga, wakijua kuwa watapata mileage kubwa ndani na nje ya nchi husika kama ilivyo Yanga ambayo ni bigwa Tanzania, inayoshiriki caf champions, yenye wachezaji wakubwa kama Aziz Ki na walioshinda Toyota cup, 2024.

TOYOTA ni kampuni kubwa sana sana duniani, tumieni fursa hii ya sasa kuomba udhamini wao, maana 98% ya magari yote Tanzania ni kutoka TOYOTA, uwezo wa toyota kuwakatalia ni mdogo sana. Waombeni kujenga uwanja wenu (TOYOTA Stadium).
Una akili sana wewe muzeye.
 
Msitutusbue tunajiandaa na Dua ya siku ya ibada timu yetu ya kuiombea timu siku ya ijumaa ambapo tutachoma ubani na kusoma Ayabalimbali,, si unajua KURJUANI katangaza vita?
 
Nimerudia kuitazama mara tatu ile mechi kati ya Kaizer Chiefs vs Yanga mashindano ya TOYOTA Cup nimebaini kuwa Kaizer Chiefs haikuwa timu mbovu hata kidogo, ni makosa madogomadogo ya kukosa pumzi na muunganiko kuliko Yanga kulikosababisha Kaizer kuchapwa 4-0. Nabi hana kazi ngumu sana kuifanya Kaizer kuwa timu tishio kwenye ligi yao na hata kutwaa ubingwa au kuchisha nafasi ya pili kwenye ligi yao.

Wafanyabiashara wanapenda kuwekeza kwenye timu imara kama Yanga, wakijua kuwa watapata mileage kubwa ndani na nje ya nchi husika kama ilivyo Yanga ambayo ni bigwa Tanzania, inayoshiriki caf champions, yenye wachezaji wakubwa kama Aziz Ki na walioshinda Toyota cup, 2024.

TOYOTA ni kampuni kubwa sana sana duniani, tumieni fursa hii ya sasa kuomba udhamini wao, maana 98% ya magari yote Tanzania ni kutoka TOYOTA, uwezo wa toyota kuwakatalia ni mdogo sana. Waombeni kujenga uwanja wenu (TOYOTA Stadium).
Ungetoa credit wazo lako umelitoa wapi. Acha kuiba content.

Nasikis paredi imeandaliwa kabisa baada ya kutwaa IST Cup. Wanayanga watatembea vifua mbereee kunadi hicho kikombe ambacho wakifanya mchezo hawanyanyui tena kwapa msimu huu.

Yanga bana. Waliyakejeli mashindano ya Kombe la Muungano kisa yalikuwa na timu 4 tu, wao wameenda kukenua meno na wanaandaa paredi kwa kuchukua kikombe baada ya kucheza mechi moja ya kirafiki.

Ni nani pia aliyewaroga Toyota waingie gharama kuandaa mashindano yale kukuza brand yao nchini wakati asilimia 90 ya magari nchi hii ni yao na wengi wanaagiza ya miaka 10 iliyopita na huko serikalini nadhani inaweza kuwa wanamiliki soko asilimia 100? Labda kama wameamua kurudisha kwa jamii au kama lengo hasa lilikuwa soko la South Africa.

Pia Toyota labda wawape kicoaster ila hawawezi kuwekeza hiyo pesa unayodhani sehemu ambayo hawana ushindani bali wamedominate soko. Pia asilimia kubwa ya raia hawanunui magari mapya bali chuma chakavu ya miaka 10 iliyopita kitu ambacho hakina msaada kwa Toyota.
 
Udhamini wa Toyota
1.Wachezaji waweze kukopeshwa au kuuziwa gari mpya kabisa toka Toyota

Mwakani wiki ya mwananchi waitafutie Mdhamini mkuu iwe km vile Toyota Cup
 
Juisi za GSM zishajichukulia uzamini kwa miaka mitano kwa dsu la bilioni moja, hivyo basi haiwezekani

GSM ansjilipa kupitia juisi
miaka 5 bilion 1 ni sawa na 200,000,000 kila mwaka na 16m tu kila mwezi na laki 5 kila siku. Haitoshi buana!!!, Yanga ni level nyingine kwasasa.
 
Nimerudia kuitazama mara tatu ile mechi kati ya Kaizer Chiefs vs Yanga mashindano ya TOYOTA Cup nimebaini kuwa Kaizer Chiefs haikuwa timu mbovu hata kidogo, ni makosa madogomadogo ya kukosa pumzi na muunganiko kuliko Yanga kulikosababisha Kaizer kuchapwa 4-0. Nabi hana kazi ngumu sana kuifanya Kaizer kuwa timu tishio kwenye ligi yao na hata kutwaa ubingwa au kuchisha nafasi ya pili kwenye ligi yao.

Wafanyabiashara wanapenda kuwekeza kwenye timu imara kama Yanga, wakijua kuwa watapata mileage kubwa ndani na nje ya nchi husika kama ilivyo Yanga ambayo ni bigwa Tanzania, inayoshiriki caf champions, yenye wachezaji wakubwa kama Aziz Ki na walioshinda Toyota cup, 2024.

TOYOTA ni kampuni kubwa sana sana duniani, tumieni fursa hii ya sasa kuomba udhamini wao, maana 98% ya magari yote Tanzania ni kutoka TOYOTA, uwezo wa toyota kuwakatalia ni mdogo sana. Waombeni kujenga uwanja wenu (TOYOTA Stadium).
Toyota Tanzania inamilikiwa na familia ya Kalimjee, hawa sidhani kama wana interest ya kuingiza pesa kwenye mpira.

Zaidi zaidi pesa zao wanaweza kuingiza kwenye club za Freemason kama Lions club na Rotary club.
 
Umefikir mbl.
Itakuwa kitu cha ajabu kama Simba itawahi fursa kama hii. Lakini issue ya Yanga kukataa kuvaa logo za wadhamani kama zilivyo na rangi zake inawezakujakuwa tatizo siku zijazo. Yanga sio timu kubwaaaaa vile kuweza kulazimisha wadhamini wakubwa wenye brands kubwa sana kimataifa kama TOYOTA wabadilishe rangi za logo zao kwasababu ya Yanga.
 
Toyota Tanzania inamilikiwa na familia ya Kalimjee, hawa sidhani kama wana interest ya kuingiza pesa kwenye mpira.

Zaidi zaidi pesa zao wanaweza kuingiza kwenye club za Freemason kama Lions club na Rotary club.
Unaweza kuwa sahihi lakini hiyo haizuii Yanga kubisha hodi kwao ili wapewe majibu sahihi kuliko haya ya kwako.
 
Back
Top Bottom