Baada ya kushinda kombe la TOYOTA Yanga ombeni udhamini wa TOYOTA

Baada ya kushinda kombe la TOYOTA Yanga ombeni udhamini wa TOYOTA

Kwenye marketing huwezi kudhamini timu iliyofungwa 4-0 na kuiacha timu iliyofunga 4-0 timu uliyoidhamini. Lazima utafikiria namna kuweka tangazo lako kwenye hiyo timu imara. Kampuni imara na makini haiwezi kumdhamini mandonga kuwa ambassador wake na kumwacha Twaha Kiduku.
Hauna uelewa kuhusu marketing brother Rudi shuleni. Watu hawatangazi popote Bali wanatangaza kwa target na sio mihemko. Walitangaza Africa kusini maana yake wamewalenga wateja wa south ambao kimsingi Kuna wanaunuaji kuliko tanzania. Tanzania Ni nchi maskini utaweka Tangazo la magari kumuuzia Nani? Wakati takwimu zinaonesha Kati ya watu 1000 Tanzania mmoja ndio anamiliki gari USED?
 
Hauna uelewa kuhusu marketing brother Rudi shuleni. Watu hawatangazi popote Bali wanatangaza kwa target na sio mihemko. Walitangaza Africa kusini maana yake wamewalenga wateja wa south ambao kimsingi Kuna wanaunuaji kuliko tanzania. Tanzania Ni nchi maskini utaweka Tangazo la magari kumuuzia Nani? Wakati takwimu zinaonesha Kati ya watu 1000 Tanzania mmoja ndio anamiliki gari USED?
Kongole kwako kwa kuwapa simple lecture hawa waswahili wasiojua chochote zaidi ya mihemko tu kishabiki.

Mtu anafikiri eti kupata matokeo mazuri kwenye michuano ya mchangani ndio kigezo pekee cha kufanya global brand kama Toyota kuwapa endorsement deal. Ufahamu wa watu ni mdogo sana wasichokijua hata sera za kiuchumi za nchi husika zinachangia pakubwa sana maana ndio zina amua purchasing power ya watu na ukubwa wa customers base ya bidhaa husika..... na hawawezi kuja kuwekeza kwenye nchi ya walala hoi kama hii ambayo ni 5% ya wakazi wake ndio wana uwezo wa kuafford kununua gari.
 
Wzo zuri but kwa TANZANIA 80% mpk 90% gari za TOYOTA ni used ambapo ni za miaka 10 nyuma mpk 20 nyingine Hadi 30 zinafika
asilimia zilizobaki ndo hununua mpya Direct toka Toyota ambapo ni SERIKALI na baadhi ya TAASISI/KAMPUNI binafs
ni watanzania wachache mno hununua gari mpya toka Toyota kwa ajili ya matumizi BINAFSI
So kwa Hilo utaona Kuna ugumu Fulani TOYOTA kufanya uwekezaji kwenye TIMU za TANZANIA kudhamini
Unless labda waje na mpango kabambe mno
Ama lah kwa SOKO la TANZANIA kwa mtu MMOJA MMOJA sidhani kama ni valuable kwao kama KAMPUNI amabayo inataka kuongeza PROFIT Kila mwaka ama ushawishi

Bado sana kama TANZANIA tuna safari ndefu
Serikali iache rundo za KODI za KINDEZI ili watu tununue BRANDENEW toka TOYOYA
View attachment 3058042
Wapumbavu kama kavulata hawawezi kukuelewa.
 
Nimerudia kuitazama mara tatu ile mechi kati ya Kaizer Chiefs vs Yanga mashindano ya TOYOTA Cup nimebaini kuwa Kaizer Chiefs haikuwa timu mbovu hata kidogo, ni makosa madogomadogo ya kukosa pumzi na muunganiko kuliko Yanga kulikosababisha Kaizer kuchapwa 4-0. Nabi hana kazi ngumu sana kuifanya Kaizer kuwa timu tishio kwenye ligi yao na hata kutwaa ubingwa au kuchisha nafasi ya pili kwenye ligi yao.

Wafanyabiashara wanapenda kuwekeza kwenye timu imara kama Yanga, wakijua kuwa watapata mileage kubwa ndani na nje ya nchi husika kama ilivyo Yanga ambayo ni bigwa Tanzania, inayoshiriki caf champions, yenye wachezaji wakubwa kama Aziz Ki na walioshinda Toyota cup, 2024.

TOYOTA ni kampuni kubwa sana sana duniani, tumieni fursa hii ya sasa kuomba udhamini wao, maana 98% ya magari yote Tanzania ni kutoka TOYOTA, uwezo wa toyota kuwakatalia ni mdogo sana. Waombeni kujenga uwanja wenu (TOYOTA Stadium).
Unajua Biashara ya Toyotaa mkuu? Anajua kwa Africa ni nchi ipi na ipi ni mteja mkubwa wa toyota? Pia tambua Toyota wateja wake ni wale wanao nunua Brand new na sio hii mitumba ya mwaka 2008. Kwa Africa Mashariki Kenya ni mtaje mkubwa wa Toyota na ndio maaba kuna centre ya ku assemble yotota.

South Africa ni mteja mkuu wa Toyota kwa Africa so anavyo Dhamini wakina timu za South anamanisha.
 
Uto kama uto kwenye ubora wake.
Kaiza wabovu tena wabovu aswaaa.wangecheza hata na namungo wangefungwa.
 
TOYOTA HAWEZI KUWEKEZA TANZANIA KWA NAMNA YOYOTE ILE. LABDA KENYA. KAMPUNI ZA NJE ZINATAKA NCHI ZENYE PURCHASE POWER KUBWA KWA TANZANIA NINDOGO SANA. KWA NCHI MASKINI KAMA TANZANIA TOYOTA KUWEKEZA NIUONGO WANAYANGA ACHENI MAWAZO MGANDO
yes, Bongo bado sana tuache kujipa matumanuini hewa
 
Udhamini wa Toyota
1.Wachezaji waweze kukopeshwa au kuuziwa gari mpya kabisa toka Toyota

Mwakani wiki ya mwananchi waitafutie Mdhamini mkuu iwe km vile Toyota Cup

CRDB si ndiyo mdhamini mkuu kwa miaka 2 sasa?

Amina. Yanga waandike concept paper na kuiwalisisha Toyota wakionyesha kuwa Tanzania Kuna ongezeko ya brands nyingine za magari kama vile Nissan, Suzuki, Subaru, Hyundai, BMW, VW, TATA, nk zinazotishia soko la Toyota. Hivyo.........
We jamaa unaota. Sikiliza watu wakikuelewesha ili urudi katika uhalisia.
 
Uji
Unajua Biashara ya Toyotaa mkuu? Anajua kwa Africa ni nchi ipi na ipi ni mteja mkubwa wa toyota? Pia tambua Toyota wateja wake ni wale wanao nunua Brand new na sio hii mitumba ya mwaka 2008. Kwa Africa Mashariki Kenya ni mtaje mkubwa wa Toyota na ndio maaba kuna centre ya ku assemble yotota.

South Africa ni mteja mkuu wa Toyota kwa Africa so anavyo Dhamini wakina timu za South anamanisha.
Kwahiyo Kenya Kuna timu inayodhaminiwa na Toyota? Unaongea uzembe TU. Marketing inafanyika zaidi mahali ambapo hukubaliki au hutambuliwi uwepo au ubora wako.
 
Uhalisia wa kijinga, Yanga nendeni kaombe udhamini Toyota, hamtarudi bure.
CRDB si ndiyo mdhamini mkuu kwa miaka 2 sasa?


We jamaa unaota. Sikiliza watu wakikuelewesha ili urudi katika uhalisia.
Li
 
Uji

Kwahiyo Kenya Kuna timu inayodhaminiwa na Toyota? Unaongea uzembe TU. Marketing inafanyika zaidi mahali ambapo hukubaliki au hutambuliwi uwepo au ubora wako.
Ok basi waende Burundi, tatizo mna apply Civics Kwenye mambo yanayo hitaji utalamu. South Africa ni soko lao kuu kwa Africa lazima warudisje Shukurani, unataka warudishe shukurani Tanzania kwa lipi hasa? unataka wakaweke pesa sehemu ambapo hakuna wateja wao na purchasing power iko Chini? Shida ya Tanzania sio kwamba watu hawaijui Toyota ni Puchasing power iko chini. Purchsing power haiwezi pandishwa kupitia udhamini wa mpira.

Msiwe mnatumia civics kwenye mambo ambayo hamna uwezo nayo.
 
Kwahiyo Toyota hataki kabisa kutafuta machimbo mengine nje ya South Africa?
Shida ni machimbo au uwezo? kwa hio kwa akili zako unaona Tatizo la Tanzania kuto nunue Brand New ni hawaijui Toyota hivyo wanahitaji kutangaziwa Toyota inafanana je.

Wanapeleka pesa kule ambako kuna watu wanawapa pesa. Mnapenda sana kudanganyana
 
maana 98% ya magari yote Tanzania ni kutoka TOYOTA

Bajaji na bodaboda ndiyo 'gari' za Tanzania, tofauti na Afrika ya Kusini hakuna bajaji wala bodaboda huku nchi hiyo pia ikisifika kwa kuwa soko la magari ya ukweli kwa nchi za SADC.
 
Shida ni machimbo au uwezo? kwa hio kwa akili zako unaona Tatizo la Tanzania kuto nunue Brand New ni hawaijui Toyota hivyo wanahitaji kutangaziwa Toyota inafanana je.

Wanapeleka pesa kule ambako kuna watu wanawapa pesa. Mnapenda sana kudanganyana
kWAAKILI yako unadhani Toyota hawajui kuwa serikali ya Tanzania inaweza kuacha kutumia magari ya TOYOTA na kugeukia Nissan, BMW, benz au Mahindra?. Ninachojua mm Toyota haidhamini timu hapa kwakuwa hakuna timu imeenda kuomba udhamini huko lakini sio kwasababu ya purchasing power yetu ni ndogo. Yanga kulichukua kombe la TOYOTA wameingia kwenye database yao, ni rahisi kufanya biashara na toyota.
 
Back
Top Bottom