Mimi ndiyo author wa wazo hili hapa tz.Ungetoa credit wazo lako umelitoa wapi. Acha kuiba content.
Pia Toyota labda wawape kicoaster ila hawawezi kuwekeza hiyo pesa unayodhani sehemu ambayo hawana ushindani bali wamedominate soko. Pia asilimia kubwa ya raia hawanunui magari mapya bali chuma chakavu ya miaka 10 iliyopita kitu ambacho hakina msaada kwa Toyota.
Mbona tayari wana mkataba tayari kupitia product yao ya pikipiki za hero?Unaweza kuwa sahihi lakini hiyo haizuii Yanga kubisha hodi kwao ili wapewe majibu sahihi kuliko haya ya kwako.
Toyota South Africa hawadominant kama Tanzania.Ungetoa credit wazo lako umelitoa wapi. Acha kuiba content.
Pia Toyota labda wawape kicoaster ila hawawezi kuwekeza hiyo pesa unayodhani sehemu ambayo hawana ushindani bali wamedominate soko. Pia asilimia kubwa ya raia hawanunui magari mapya bali chuma chakavu ya miaka 10 iliyopita kitu ambacho hakina msaada kwa Toyota.
Tanzania ni utawala wa Toyota hana mpinzani.Mimi ndiyo author wa wazo hili hapa tz.
Ndiyo nilichojaribu kumuelekeza huyo muiba contentToyota South Africa hawadominant kama Tanzania.
South Africa kuna BMW, AUDi, Mercedes benz, Golf, VW and likes.
Kwahiyo kwa South Africa ni sahihi kukaza msuli ili aweze kushindana na hizo kampuni.
hero = Toyota? How many people know about this? Usi confuse umma, tafadhali. Tutaongelea Toyota wewe unasema hero motor cycles. Kwani kombe la TOYOTA Cup unaweza ukitaka kuliita hero cup?Mbona tayari wana mkataba tayari kupitia product yao ya pikipiki za hero?
Kwao Toyota tayari ni brand kubwa na wamekamata serikali wanaitaji kuinadi hero motor bike.
wewe ni CEO wa toyota?, kiherehere cha kujua mambo. Ukweli ni kwamba biashara haendi hivyo unavyosema wwe, haimaanishi kama brand yako inafanya vizuri sokoni sehemu fulani huhutaji tena kufanya matangazo any more. principles za sustainability kwenye soko hazina ujinga kama huo. Kila siku bidhaa yako lazima uikinge na possible threats kwa kuendelea kuongeza ubora na kuipasha moto kwa matangazo n promotions hata kama inafanya vizuri. Sasa hivi ziko brands za magari zinaingia kutoka China, India, Korea, Ufaransa, UK, Sweden na kwingineko. Hivyo ni uzembe kudhani Toyota ni wazembe pia kuwa hawalijui hilo. Yanga you have nothing to lose, nendeni haraka kaombeni udhamini wa TOYOTA leo leo.Tanzania ni utawala wa Toyota hana mpinzani.
South Africa Toyota ni wa kawaida sana, kuna VW, BMW, AUDI, GOLF, Merdence benz etc.
Huna akili, familia ya Karimjee ndio wamiliki wa Toyota Tanzania na ndio supplier wa pikipiki za Hero ambaoo wameingia mkataba na Yanga kupitia brand yao ya Hero.hero = Toyota? How many people know about this? Usi confuse umma, tafadhali. Tutaongelea Toyota wewe unasema hero motor cycles. Kwani kombe la TOYOTA Cup unaweza ukitaka kuliita hero cup?
Kwa sasa wameanza na brand yao ya Hero motor cycle.Toyota wapo vizuri huko SA ndio wanadhamini ligi ya Rugby kwa pesa nyingi sana na pia wana udhamini na Kaizer Chiefs sema Yanga wanatakiwa kuomba udhamini wa kuitangaza hiyo kampuni kwenye jezi zao kwanza ili baadae wafike mbali zaidi .
Unabwabwaja tu, wala hujui hata unachoongea.wewe ni CEO wa toyota?, kiherehere cha kujua mambo. Ukweli ni kwamba biashara haendi hivyo unavyosema wwe, haimaanishi kama brand yako inafanya vizuri sokoni sehemu fulani huhutaji tena kufanya matangazo any more. principles za sustainability kwenye soko hazina ujinga kama huo. Kila siku bidhaa yako lazima uikinge na possible threats kwa kuendelea kuongeza ubora na kuipasha moto kwa matangazo n promotions hata kama inafanya vizuri. Sasa hivi ziko brands za magari zinaingia kutoka China, India, Korea, Ufaransa, UK, Sweden na kwingineko. Hivyo ni uzembe kudhani Toyota ni wazembe pia kuwa hawalijui hilo. Yanga you have nothing to lose, nendeni haraka kaombeni udhamini wa TOYOTA leo leo.
Weka hoja yako... Mbona anaeleweka vyema.Unabwabwaja tu, wala hujui hata unachoongea.
Amina. Yanga waandike concept paper na kuiwalisisha Toyota wakionyesha kuwa Tanzania Kuna ongezeko ya brands nyingine za magari kama vile Nissan, Suzuki, Subaru, Hyundai, BMW, VW, TATA, nk zinazotishia soko la Toyota. Hivyo.........Wazo zuri sana, ubarikiwe
Unajua maana ya marketing, promotions na sales?. Je, udhamini wa timu ni marketing, promotion au sales?Wzo zuri but kwa TANZANIA 80% mpk 90% gari za TOYOTA ni used ambapo ni za miaka 10 nyuma mpk 20 nyingine Hadi 30 zinafika
asilimia zilizobaki ndo hununua mpya Direct toka Toyota ambapo ni SERIKALI na baadhi ya TAASISI/KAMPUNI binafs
ni watanzania wachache mno hununua gari mpya toka Toyota kwa ajili ya matumizi BINAFSI
So kwa Hilo utaona Kuna ugumu Fulani TOYOTA kufanya uwekezaji kwenye TIMU za TANZANIA kudhamini
Unless labda waje na mpango kabambe mno
Ama lah kwa SOKO la TANZANIA kwa mtu MMOJA MMOJA sidhani kama ni valuable kwao kama KAMPUNI amabayo inataka kuongeza PROFIT Kila mwaka ama ushawishi
Bado sana kama TANZANIA tuna safari ndefu
Serikali iache rundo za KODI za KINDEZI ili watu tununue BRANDENEW toka TOYOYA
View attachment 3058042
Kwenye marketing huwezi kudhamini timu iliyofungwa 4-0 na kuiacha timu iliyofunga 4-0 timu uliyoidhamini. Lazima utafikiria namna kuweka tangazo lako kwenye hiyo timu imara. Kampuni imara na makini haiwezi kumdhamini mandonga kuwa ambassador wake na kumwacha Twaha Kiduku.TOYOTA HAWEZI KUWEKEZA TANZANIA KWA NAMNA YOYOTE ILE. LABDA KENYA. KAMPUNI ZA NJE ZINATAKA NCHI ZENYE PURCHASE POWER KUBWA KWA TANZANIA NINDOGO SANA. KWA NCHI MASKINI KAMA TANZANIA TOYOTA KUWEKEZA NIUONGO WANAYANGA ACHENI MAWAZO MGANDO