John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Yawezekana ni among the team of the Abduction Squad.Wenye hotel wana maswali mengi ya kujibu juu ya mfumo wao wa security otherwise hiyo hotel iñakwenda kujifia natural death, siwezi kwenda hotel kama hiyo.
Log out mnyamwezi umemalizaNyumbu wewe. Yaani nina muda mrefu Sana nasoma thread bila ku log in. Ila nime log in kwa sababu yako.
1. Kama walikuwa wakamataji halali ni lazima polisi wangesema kwenye press release Yao. Polisi nao wanawatafuta watekaji!!!!!!??
2. Ni Kwa nini watekaji wakimbie tena waache Pingu wakati walitakiwa waifungue waondoke nayo? Baada ya kuona wananchi watakusanyika kwa wingi maana shughuli ilikuwa mzito. Bravo Deo.
3. Unapomkamata mhalifu unamuonyesha kitambulisho na RB ya kumkamata. Hizi nyaraka ni muhimu mno. Na NIWAAMBIE na wengine kuwa kama ametokea mtu anakuambia ni askari amekuja kukukamata mwambie akupe RB na inakuwa na kosa lako limeandikwa kwa herufi kubwa. Na ukishaiona ni haki yako kujulisha ndugu, mwanasheria kama unaye ili unapotakiwa maelezo au kuhojiwa mwanasheria wako anakuwepo. Pia kama Una namba ya kiongozi wa serikali ya Mtaa una Uhuru wa kumjulisha kabla ya kuongozana na wakamataji kwenda kituo cha polisi.
4. Kama umekamatiwa nyumbani ni lazima wakamataji wapite ofisi ya serikali ya Mtaa wako waongozane na kiongozi wako waje nyumbani kukukamata au kukupekua na kuondoka na wewe.
Sasa wewe darasa 0 unataka kutuambia nini sisi great thinkers? Kajipange upya. Nafikiri wewe ni ndugu, rafiki wa mkamataji mojawapo au ni mmoja wenu mmnekuja kutest zali hapa.
Mmetumia utekaji wa hovyo na hivyo itawagharimu. Aliyewatuma atawaruka kimanga.
Nenda ukojoe na kutoa kimba cha ugali maharage ulale maana yanakusababishia utoe huu ushuzi.
Shame on you.
Wasenge nchi hii hamuwezi kuisha kwa KUWA mabasha zenu bado wapo. Kama amepiga tukio na tayari wameshamfikia kwa nini hawakutoa vitambulisho na kumjulisha kosa lake? Ok hiyo haitoshi basi ameenda na pingu mpaka kituoni kwa nini polisi wasimshiikilie make tayari wameshampata kajipeleka kituoni. Nchi imekuwa na wasenge kiasi mpaka inakereka.Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
😂😂😂
😂😂😂😂 Haswaaaa
Wengine tushazoea kuishi maisha ya Kaburu hao jamaa sijui ingetokea nini mpaka leo yaani watu wanataka kukuua harafu niwe busy na mahakama hapana aisee..Wenye hotel wana maswali mengi ya kujibu juu ya mfumo wao wa security otherwise hiyo hotel iñakwenda kujifia natural death, siwezi kwenda hotel kama hiyo.
Shetani akishakutumia Huwa anakuacha uaibikeAiseee
Mbinu za kurudi eneo la tukio ni za kizamani sana
Kazi nyeti wanapewa wahuni na wavuta bangi, haya ndio madharaAiseee
Mbinu za kurudi eneo la tukio ni za kizamani sana
Kwa sababu imethibitika ni waharifu watu wajiandae kumalizazana naoalitakiwa ajiandae vizuri kukabiliana nao.
Imagine, unakuwa na Baba wa aina hiyo?Watu wanautafuta ugali Kwa njia ngumu Sana , unaua ,unapiga watu na kutesa ndo hela inaingia.
Abduction Squad at work.
Wakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
Tembea na macheteAiseee.... Ukiwa Bonge sometimes kumbe inasaidia sana.... Jamaa mwili wake umempa sapoti sana....
Inasikitisha kwamba alikosa msaada wa majirani na Eneo hilo.... Wale Wamama wangepiga hata ukunga ili kuomba msaada...
Nchi ipo katika 'angle' mbaya Sana kwa sasa.
Akizungumza wanakwambia anaharibu uchunguzi au wewe hujui?.Mbona huyu deo hatuambii nini walichogombana nae kuna stori anaficha sio kweli kuwa wanamuonea na tujue je ni mambo ya siasa au dili za mjini .usikute wote wahalifu.
Hata kama wale ni vyombo vya usalama, labda kama Kuna Sheria inaruhusu watu Baki kua na Pingu.Labda wamezulumiana biashara haramu ndiyo maana wanataka kumalizana nje ya mfumo wa kisheria!!
KweliHii nchi saivi kila mtu kambale. Imagine hawakuhofia chochote wakarudi siku hiyohiyo eneo la tukio. Hii inathibitisha kuwa tukio limefanywa na chombo cha dola.... Hakuna mtekaji anaweza rudi eneo la tukio siku hiyohiyo baada ya tukio lake la kwanza kufail huku akijua fika vyombo vya dola tayari vina taarifa zake
Ndiyo ujue watekaji wa CCM hawana akiliAiseee
Mbinu za kurudi eneo la tukio ni za kizamani sana
Kuwaua kabisaHao dawa yao wananchi wawadake wachakazwe. Iwe fundisho
Ni ngumu wale walikuwa ni polisi 100%Aiseee.... Ukiwa Bonge sometimes kumbe inasaidia sana.... Jamaa mwili wake umempa sapoti sana....
Inasikitisha kwamba alikosa msaada wa majirani na Eneo hilo.... Wale Wamama wangepiga hata ukunga ili kuomba msaada...