Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Hili ndilo tatizo kubwa la single maza. Mwanamke mtu anayezaa nae huwa anampenda kiukweli in very rare cases anazaa na mtu asiyempenda. Very rare cases kama kubakwa au kurubuniwa katika umri mdogo na hawa wa hivi ndio huwa hawarudigi nyuma.

Ila wale ambao msichana ana miaka 23 au zaidi halafu kazaa na mtu wengi huwa wamedhamiria. Huyu wa hivi atamchukia mwanaume aliyemzalisha akiwa kwenye msoto ila akiwa kwenye comfort zone lazma wapashe kiporo.
Mwanamke ambaye ameshazaa akiwa kwenye shida anamchukia Sana jamaa aliyemzalidha.
Akishakuwa kwenye raha anakumbuka ya zamani.
Na watoto atarudi kuwazaa na baba wa mwanzo tu.
 
Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.
Wazazi wake nao walikuficha kuhusu Binti Yao dah ...
 
Hiki ndo kinatufanya wengi tusizae bila mpango maana ukizaa tu mwenye nia ya kuoa ndo anakuja na akija yanatokea haya ya mleta mada. Eeh Mungu.
Jamaani pole sana.....enheeeei kwa hiyo upo single.......😎😎.
 
Ila daah kuna single mother wengine wazuri, kuna mmoja mrangi alikuwaga mwembamba,kavamia mume wa mtu akazani ataolewa mke wa pili, kazalishwa kapigwa chini. Baada ya hapo kanawili nyonga imetanuka, bonge la shape.
 
Hujatujua vizuri sisi,yaani mwanamke ambaye siyo wife material, mtegeshee aolewe,akishaolewa,unamdanganya kua yaani ungekuwa haujaolewa,ningekuoa mimi,hii itamfanya aamini kua huyu mwanaume,angenioa,tatizo nshaolewa,mwanaume anaendelea kumuweka kama mchepuko tu.Mwingine atakwambia,ningekuoa,tatizo una mtoto,babaake anaweza kukurudia,halafu akikwambia hivyo,anaendelea kukufanya mchepuko.Mbinu hizo zinawapumbaza wadada,wawe michepuko ya kudumu,miaka na miaka.Amka mwanamke,amka.
Haya hayawezi nikuta.am too old for that.
 
Usijichanganye ukaoa Single mama, narudia tena usijichanganye.
Achana na hizo story huko juu eti sijui Inategemea na mtu, hakuna kitu kama hicho.

Wazazi huwa hawaachani. Iko hivo na itaendelea kuwa hivyo siku zote
 
Jipe muda kwanza wa kutafakari, isogeze mbele harusi....ukiona ntazamo bado ni huo huo baada ya mwezi...endelea na uamuzi.
 
Sasa mkuu ushauri upi wakati ni kiapo ushajiwekea na bit la mshua juu pita hivi tu
 
Kati ya wanawake 100 waliozaa kabla ya kuolewa ni chini ya 5 wanaachana kabisa na wapenzi wao waliowazalisha.
Nao itategemea huko aliko anapata Nini.
Akipigwa stress tu anarudi.
In short , usioe mke wa mtu.
Yaani hata aliyebikiriwa na mtu mwingine hatukupaswa kuoa.
Sembuse aliyezalishwa;!
Damu nzito Sana. Mkishaunganisha DNA zenu kutoa mtu mwingine hamuwezi kuachana kirahisi
Alafu mwanamke ambaye mwanaume mwenzio kamshindwa ussijidanganje kuwa wewe mjanja kuliko huyo mwengine. Utakuja kuumia tuu.
 
Back
Top Bottom