Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Single Mother ni balaa Mkuu,
Utajuta mno,

Kama mtoto wake yuko ana miaka mitano,
It means mkioana tuana mleta uananza Kusomesha, na huyo mtot anajitambua
So atajua fika kuwa wewe si baba yake......

Mpka akuzalie, tayari wake yuko darasa la tatu, then ww wako anaza chekechea wake yuko Chuo....

ACHANA NA HIZO BIASHAHARA,

HASARA ROHOO, PESA MAKARATASI,
Fedhea kwao na kwa Washkaji isikufanye UKAFUNGA PINGU ZA KUJUTIA MAISHANI....
Kama ushauri wa kikatili vile LAKINI..

Jibu lipo hapo kwenye lkn

Hapa utapewa ushauri na wengi wa hali tofauti tofauti.
Nikiwa mimi... sipendi kuishi alone ntaomba Mungu nimpate mtu atakaye nikubali pamoja na watoto wangu...maana yake ni kuwa hapa ntakushauri umuoe tu haina tatizo

Nikiwa mama wa binti mwenye mtoto alozalia nyumbani ...hapa ntakushauri umuoe tu hana shida

Nikiwa mama wa mtoto mkubwa anaetaka kuoa ntakuambia ACHANA NA HIYO BALAA utateseka sana mbeleni mwanzoni mambo huwa mazuri ila siku uchumi ukiyumba ...ukiumwa muda zaidi...pakiwa na ugomvi wa hapa na pale huyo baba mtoto ndo anakusaidia jukumu lako KUU....ntakukumbisha kuwa kwenye mahusiano watu wakishaachana na wengine kuchukiana lkn kila mmoja akipata mwenza mwingine chuki inapunguaga na wengine kuisha kabisa inabaki kutamaniana (sembuse kwa waliozaa!!!!)

Nikiwa kama dada ako niliezalia home ntakwambia oa tu haina tabu.....

Zaidi

Zaidi

So ushauri inategemea....

Kuna waliokanyaga mavi wanataka nawe ukanyage
 
Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.
Nakuomba umwache utakuja kunishukuru
 
Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.
Hakuna mke hapo.
Utakutana na mengi zaidi.
Angesema mapema ungejipanga.
Piga chini Anza upya.
Mahari kitu gani buana!?
 
Neno linasema mke mwema anatoka kwa Bwana soooo....ni wewe kuamua. Ushauri mkubwa ninaoweza kukupa seek the wisdom and council of GOD. If she is the one utaifeel tu na utatambua huyu ndie. Hayo ni madhaifu ya kibinadamu na kama amejutia then unaweza msamehe.but first...tafuta kujua kama ndie.
 
Ila hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,

1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?

Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida

Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.
Kati ya wanawake 100 waliozaa kabla ya kuolewa ni chini ya 5 wanaachana kabisa na wapenzi wao waliowazalisha.
Nao itategemea huko aliko anapata Nini.
Akipigwa stress tu anarudi.
In short , usioe mke wa mtu.
Yaani hata aliyebikiriwa na mtu mwingine hatukupaswa kuoa.
Sembuse aliyezalishwa;!
Damu nzito Sana. Mkishaunganisha DNA zenu kutoa mtu mwingine hamuwezi kuachana kirahisi
 
Ninavyosema niko nae ni mwaka sasa maana yake namkula kila nitakavyo
Me wake yeye wangu

Huwezi gundua mbususu iliyozaa na isiyozaa kwa namna unayosemea
Ungetaka kujua kama ameshazaa ungejua sema wewe hukutaka kuja.
 
Mtu anabidi aolewe na aliyemzalisha
Maisha Magumu don't complicated Mambo mkuu

Hawa watoto waliomaliza form four na la saba both they are looking ndoa so unaacha kuoa Mtu aliyejitunza wa miaka 17+ unaenda kuokoteza single mother hiyo ni cures maybe awe na sifa ya ziada tu.
Labda hawe single mother mzungu [emoji1787][emoji28][emoji28]
 
Alikosea kuficha toka mwanzo ila cheki na moyo wako. Binafsi nimeona single mothers wengi tu wameolewa na maisha yanaenda freshi. Hizo habari za hawezi muacha mzazi mwenza ni dhana tu ambayo watu wengi wanayo dhidi ya single mommas.
Kama unampenda we oa. Mtoto abaki huko huko alikokuwa siku zote.
Sawa singo maza
 
Ndugu yangu yeye alioa kbsa mwanamke akijuwa kbsa Hana mtoton na kwamb watot watakuwa was Kwanza ni wake kumbe yule mwanamke alikuwa anamtot mkubwa tu siku ya siku mwanae yule kamaliza fom 4 akalazimisha kuja kwa mam ake broo anafika jioni anakutana na mtot mkubwa akaukiza ajajibiwa kitu na mwanamke wake lkn akicheki dogo amefanana. Na mam ake kumbe mwanamke alikuwa na mtot siku nyingi alimzaa akiwa secondary ndio akarudishwa shule na wazazi wake mpk leo wanmke yupo kamzalia jamaa watoto wa kike na ndoa inaendelea vzr tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Uongo uoongooo 😄 huuu ni uongo
 
Back
Top Bottom