Ukweli mtupu. Yaani single maza wee piga de libolo zalisha tena alafu sepa zakoHili ndilo tatizo kubwa la single maza. Mwanamke mtu anayezaa nae huwa anampenda kiukweli in very rare cases anazaa na mtu asiyempenda. Very rare cases kama kubakwa au kurubuniwa katika umri mdogo na hawa wa hivi ndio huwa hawarudigi nyuma.
Ila wale ambao msichana ana miaka 23 au zaidi halafu kazaa na mtu wengi huwa wamedhamiria. Huyu wa hivi atamchukia mwanaume aliyemzalisha akiwa kwenye msoto ila akiwa kwenye comfort zone lazma wapashe kiporo.
Ukweli mchungu single Maza asilimia kubwa Huwa hawaachani na aliyezaa naye... Kifupi ukimuoa jiandae kisaikolojia ya kuwa wanaume wawili mke mmoja?!! WaTu wanaongea kutokana na uzoefu tulioptia...Ila hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,
1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?
Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida
Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.
Tatizo ukipishana Naye kidgo... Anajuwa kutafuta furaha njeee..Hapo no kazi! Ndoa Ina mambo mengi Sana. Single Maza kutokana na nature yake utakuta akimwona mwanae Lazma amkumbuke x wake tuSingle motherz wengine ni watulivu na watiifu wakiwa wanatafuta ndoa. Ile comfort ya ndoa wakishaizoea ndio mabalaa huanza sasa. Anachat na mi EX yake kama kazi 😂😂😂
vinakuwaje mkuuKifua , tumbo, mwanamke aliyezaa hajifichi
Mkuu siyo wote ni wajanja wengine hawana utaalamu wa ule mwili wa hawa.Inamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?
Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?
Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.
Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
Sisi ni special one.Kwamba nyie wanaume ni malaika acheni kujipaisha bhana nyie wenyewe ndo wa hovyo kabisaa
Na wao wasiolewe tu.kuna watu wanaandika comment hapa lakini hapo hapo wana dada zao wako nyumbani wamezalishwa,naoni single maza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natoa tahadhari mapema jamani wakuu.
Atakae hangaika kumuoa single mom wangu, hakika utakuwa umejisumbua bure.
Yule demu napiga muda na saa yoyote.
NB: siogopi kupakwa mafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio ulimpenda mpaka ukamtolea mahari na kutangaza ndoaWEWE hukumpenda ,upendo wa kweli huwa hauangalii changamoto ,unapita nayo TU
Kuzalishwa sio tatizo,tatizo ni u single Maza.kuna watu wanaandika comment hapa lakini hapo hapo wana dada zao wako nyumbani wamezalishwa,naoni single maza
NB!!!Natoa tahadhari mapema jamani wakuu.
Atakae hangaika kumuoa single mom wangu, hakika utakuwa umejisumbua bure.
Yule demu napiga muda na saa yoyote.
NB: siogopi kupakwa mafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakuwa ume fall in love,ndomana unakuwa huoni.WEWE hukumpenda ,upendo wa kweli huwa hauangalii changamoto ,unapita nayo TU
Kwa sasa hata ukishauriwa uendelee huyo mwanamke ataenda kupata tabu. Mwache.Wakuu
Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa
Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha
Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie
Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni
Naombeni ushauri.
Ndiooooo tutakula. Na ndio mwanamke hutakiwi kuolewa na mwanaume ambaye alishazaa na mwanamke mwengine. Umekosa wanaume mpaka ukajishishe hivyo?Wanaume naomba mjibu hili swali..
Je mwanamke hatakiwi kuolewa na mwanaume mwenye mtoto na mwanamke fulani?? Maana kwa maneno yenu humu inamaanisha huyu mwanamke akikubali kuolewa na wewe baby daddy wa mwanamke mwenzake it means yeye atakuwa mke wa pili. Na ni kwa sababu wewe kamwe hutaweza kumuacha huyo mwanamke uliezaa nae. Sasa huyu mwanamke unaetaka kumuoa na umempenda akukatae??maana utakulana na ex wako saa yoyote si ndio?