Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Hili ndilo tatizo kubwa la single maza. Mwanamke mtu anayezaa nae huwa anampenda kiukweli in very rare cases anazaa na mtu asiyempenda. Very rare cases kama kubakwa au kurubuniwa katika umri mdogo na hawa wa hivi ndio huwa hawarudigi nyuma.

Ila wale ambao msichana ana miaka 23 au zaidi halafu kazaa na mtu wengi huwa wamedhamiria. Huyu wa hivi atamchukia mwanaume aliyemzalisha akiwa kwenye msoto ila akiwa kwenye comfort zone lazma wapashe kiporo.
Ukweli mtupu. Yaani single maza wee piga de libolo zalisha tena alafu sepa zako
 
Ukwe
Ila hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,

1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?

Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida

Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.
Ukweli mchungu single Maza asilimia kubwa Huwa hawaachani na aliyezaa naye... Kifupi ukimuoa jiandae kisaikolojia ya kuwa wanaume wawili mke mmoja?!! WaTu wanaongea kutokana na uzoefu tulioptia...
Amejiandaa mume mwenzake kuja kumsalimia mtoto?

Amejiandaa siku mtoto amefiwa na ndugu upande wa kiume mke wake ampeleke mwanae nyumbani!

Amejiandaa mume mwenzake kushiriki malëzi ya mtoto wake??

Hapa Huwa panakua na wivu endapo baba wa mtoto anatuma hela Kwa ajili ya mwanae na Muda mwingne mwenzi anaweza kukudanganya kuwa hatumiwi pesa kumbe anapewa??

Na mwwisho itaaleta conflict na dharau.
Mambo ni mengi Sana Kwa single maza jamaanii.. Wana Siri nzito Sana.. hawez kukuambia zotë... Ngja niishie hpa na gazet Langu..
Kiukwel hao ni wakupiga tu basi na kusogeza maisha wengi wao..wachache Sana wanajitambua... Huyu wa huyu ndugu Hapana Kwa kweli... Akilazimisha atajua mengi Huko mbeleni yatakayo mjutissha. Kwan tayr anasoneneko
 
Single motherz wengine ni watulivu na watiifu wakiwa wanatafuta ndoa. Ile comfort ya ndoa wakishaizoea ndio mabalaa huanza sasa. Anachat na mi EX yake kama kazi 😂😂😂
Tatizo ukipishana Naye kidgo... Anajuwa kutafuta furaha njeee..Hapo no kazi! Ndoa Ina mambo mengi Sana. Single Maza kutokana na nature yake utakuta akimwona mwanae Lazma amkumbuke x wake tu
 
Inamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?

Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?

Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.

Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
Mkuu siyo wote ni wajanja wengine hawana utaalamu wa ule mwili wa hawa.
 
kuna watu wanaandika comment hapa lakini hapo hapo wana dada zao wako nyumbani wamezalishwa,naoni single maza
Na wao wasiolewe tu.
Unaanzaje mechi moja bila!?
Aafu mnasema, nataka mume wangu peke yangu.
Pumbafu!! Wakati yeye tayari anakuwa nao wawili!!
Singo maza aolewage mke wa pili au wa tatu!!
Hapo inabalance.
 
Natoa tahadhari mapema jamani wakuu.

Atakae hangaika kumuoa single mom wangu, hakika utakuwa umejisumbua bure.

Yule demu napiga muda na saa yoyote.

NB: siogopi kupakwa mafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu umetoka kumaliza Adhabu yako ya Red card kwa kutocheza game tatu (Manchester united,Bournemouth na New castle united) sasa umekutana na single mother adse pole sana Huu msimu kwako umekujia vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.
Kwa sasa hata ukishauriwa uendelee huyo mwanamke ataenda kupata tabu. Mwache.

Ila wapo ambao wanaishi vizuri bila shida na wameachana kabisa na wazazi wenza wamebaki wanalea mtoto tu.
 
Wanaume naomba mjibu hili swali..

Je mwanamke hatakiwi kuolewa na mwanaume mwenye mtoto na mwanamke fulani?? Maana kwa maneno yenu humu inamaanisha huyu mwanamke akikubali kuolewa na wewe baby daddy wa mwanamke mwenzake it means yeye atakuwa mke wa pili. Na ni kwa sababu wewe kamwe hutaweza kumuacha huyo mwanamke uliezaa nae. Sasa huyu mwanamke unaetaka kumuoa na umempenda akukatae??maana utakulana na ex wako saa yoyote si ndio?
Ndiooooo tutakula. Na ndio mwanamke hutakiwi kuolewa na mwanaume ambaye alishazaa na mwanamke mwengine. Umekosa wanaume mpaka ukajishishe hivyo?
 
Asilimia 95 ya wanaume wanaowaponda single mothers humu ni ma single fathers wamewadanganya wadada wa watu wamewapa mimba hao ma single mothers na kuwatelekeza huko na kuja humu kupiga domo domo bila mpango...hebu vaeni condom kama kweli mnataka kumaliza hii kasheshe ya single mothers na muache kila mtu na chaguo lake..alaaar
 
Back
Top Bottom