Zaa wewe acha uoga bwana mtoto anakuja na baraka zake huenda mume akaja sababu umekubali kuzaa nayeHiki ndo kinatufanya wengi tusizae bila mpango maana ukizaa tu mwenye nia ya kuoa ndo anakuja na akija yanatokea haya ya mleta mada. Eeh Mungu.
Single motherz wengine ni watulivu na watiifu wakiwa wanatafuta ndoa. Ile comfort ya ndoa wakishaizoea ndio mabalaa huanza sasa. Anachat na mi EX yake kama kazi πππWakuu
Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa
Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha
Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie
Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni
Naombeni ushauri.
Kosa lake huyo dada ni kutokukueleza mapema ili ujue kama utaendelea nae au usiendelee nae. habari za baba alikwambia sijui hiki au kile sio za kutuletea huku ungemaliza mwenyewe. Sasa kilichopo mkuu we jipe muda wa kufanya maamuzi pitia comment za watu jiridhishe kwanza ndio uamue rasmi.Ila hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,
1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?
Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida
Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.
Je ambao sio single mothers nao hawafanyi hivyo mkuu?Single motherz wengine ni watulivu na watiifu wakiwa wanatafuta ndoa. Ile comfort ya ndoa wakishaizoea ndio mabalaa huanza sasa. Anachat na mi EX yake kama kazi πππ
Hiko kipengele kigumu sana πππ nilikuwa na wakati mgumu sana kutangaza kuwa ninaTatizo kubwa hapo ni kukuficha tu
Teja jambo kubwa hivi kuanzia mwanzo
DeepPond kwa hili Sina hakika kama upo sahihi. Nilitomba~ga mwanamke mmoja nikashangaa sana baada ya kuniambia ana watoto wawili ilhali mimi nilifikiri hajawahi kuzaa.Inamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?
Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?
Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.
Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
hahahaHandicap +(1)
Siku hizi mambo yameparanganyika kote kote tu.Ah wee nyie sii mnatubebeaha pia lawama, mara hatujui kutomber, mara tutamaliza bucha zote nyama ileile basi shida tupu. Mara hamna wanaume siku hizi.
Ila nilichogundua tunapondana hapa ila tungegeduana π€£π€£π€£π€£
Ni kupelekeana moto tuuu mrembo.Siku hizi mambo yameparanganyika kote kote tu.
Kaka unaweza ukafanya yote hayo lakini ndani ya ndoa akakutibua hadi ukabaki unashangaa.Ulichokosea ni kutomchunguza mchumba wako. Kosa kubwa sana ili wanafanya vijana wa siku hizi. Unaoa mtu bila hata kufanya upelelezi wa kina.
Mie wakati naoa enzi hizo nilikuwa mpk nawalioa watu wakachunguze kwao. Nilifanya kila aina ya udukuzi mpk shule alizosoma.
Nilipojiridhisha ndio nikatangaza ndoa tena huku nimempa na mimba juu ili nijiridhishe kuwa ana uzazi. Vijana sijui mnafeli wapi
Sijaelewa nielewesheHiko kipengele kigumu sana πππ nilikuwa na wakati mgumu sana kutangaza kuwa nina
Handicap +(1)
Kumbe hujazaa bado! Uko tayari kuolewa na aliye na mtoto? πHiki ndo kinatufanya wengi tusizae bila mpango maana ukizaa tu mwenye nia ya kuoa ndo anakuja na akija yanatokea haya ya mleta mada. Eeh Mungu.
usitudanganye..mshikaji asepe tu ni sawa na kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mtuIla hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,
1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?
Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida
Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.
Sawa Boss. Heri Yako wewe unaejielewaHujuelewi