Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

sio kweli,nilisha sex na manzi kama umri wa dada yake na baba..lakini chuchu na mbunye kama katoto ka std 4
 
Sasa wewe kwanini ume achana na huyo single mother?
 
Kitanda usicholalia hujui kunguni wake
 
Na bado ukaja ukaoa bomu (reference nyuzi zako)


Haya mambo hayana formula
 
Eehh umekuja kutoa ushuhuda tena apaa.
 

Muombe MUNGU.

Wakati mwingine wanawake wanakuwa kwenye changamoto ya kusema ukweli Kwa kuogopa kuachwa.

Na mara nyingi mwanamke akikupenda Sana ni rahisi kukudanganya Kwa kuhofia matokeo ya kuachwa.
Ila Kama hakupendi kivile anaweza kukuambia ukweli kwani haugopi matokeo.

Hapo cha kufanya,
Sitisha zoezi la ndoa Kwanza, kaa miezi walau sita akili itakuwa imepata uamuzi sahihi.

Kumuacha sasa hivi au kuendelea naye sasa hivi hayatakuwa maamuzi sahihi.

Hata hivyo mahusiano siku zote ni Chemistry baina ya watu wawili. Kama kuna kuelewana na mlikuwa mnaenjoy basi maamuzi unayo.

Single Mother sio Wabaya Ila nature ya wanawake ndio inawafanya wawe Wabaya.
Wanawake linapokuja suala la mtoto au mtu anayempenda hawana muda wa kufikiri mambo mara mbili.

Kama alikuwa anampenda mshikaji aliyemzalisha na haikuwa mimba ya bahati mbaya basi hapo kazi unayo
 
Taikoni wa fasihi : nature haimuachi mtu salama.
 
Duuh ninyi si ndio mnasemaga maisha bila uongo hayaendi sasa mbona mkuki kwa nguruwe kwa binadamu umekuwa mchungu tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…