BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
sio kweli,nilisha sex na manzi kama umri wa dada yake na baba..lakini chuchu na mbunye kama katoto ka std 4Inamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?
Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?
Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.
Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
Sasa wewe kwanini ume achana na huyo single mother?Naunga mkono hoja yako....tumekuwa tukiaminishwa kuwa single mother sijui hawaachani na wenza wao hiyo sio kweli asilimia Mia...ndio kuna baadhi wanatabia hizo lkn sio wote kwamba wapo hivyo..tusikaririshwe kila kitu jamani
Mimi nilioa single mother na nimekaa nae miaka Saba na sikuwahi ona huo ujinga...mpaka nimemuacha mwenyewe kwasababu zangu binafsi...na ninatarajia kuoa single mother tena hivi karibuni inshallah....kosa kubwa ni huyo mwenzako hakuwa mkweli tangu mwanzo hapo naona ndio tatizo.
Ila kwakuwa ulishauriwa na Babu yako kuwa single mother ni majanga na wewe mwenyewe umeshakuwa na mashaka basi ni Bora usiendelee na ndoa...kwasababu hata Baba mtoto akitaka kujua Hali ya mwanae utajua tayar wana mahusiano.....inahitaji akili kubwa kuishi na single mother kama Hilo huliwezi kaa pembeni mkuu.
Ahh acha nicheke Hadi unaepeleka kwa mkemia tena duuuh?Tena akuoneshe kaburi lilipo... Unachimba unachukua mfupa unapeleka kwa mkemia...
Majibu yakija sawa ndio unatangaza ndoa....
Huyu jamaa kweli amezidi yaani.Nilimsikia jamaa mmoja akiongea kijiweni
"ukimuoa mwanamke niliezaa nae nakua nakuja kuwaona watoto wangu asubuhi mchana jioni yani nakuja hadi ukome" [emoji16][emoji16]
Kitanda usicholalia hujui kunguni wakeAlikosea kuficha toka mwanzo ila cheki na moyo wako. Binafsi nimeona single mothers wengi tu wameolewa na maisha yanaenda freshi. Hizo habari za hawezi muacha mzazi mwenza ni dhana tu ambayo watu wengi wanayo dhidi ya single mommas.
Kama unampenda we oa. Mtoto abaki huko huko alikokuwa siku zote.
Single Maza ni red flag kama unaweza kuepuka iepuke.Asee wanaume wote wangekua na positive mind namna hii single mothers wangeisha
Na bado ukaja ukaoa bomu (reference nyuzi zako)Ulichokosea ni kutomchunguza mchumba wako. Kosa kubwa sana ili wanafanya vijana wa siku hizi. Unaoa mtu bila hata kufanya upelelezi wa kina.
Mie wakati naoa enzi hizo nilikuwa mpk nawalioa watu wakachunguze kwao. Nilifanya kila aina ya udukuzi mpk shule alizosoma.
Nilipojiridhisha ndio nikatangaza ndoa tena huku nimempa na mimba juu ili nijiridhishe kuwa ana uzazi. Vijana sijui mnafeli wapi
Ukifa tena unafufuka then una umwa tena.Babu single mother bora mwenye ukimwi utameza dawa uendelee kuishi. ila sio single mother unakufa kwanza then unaugua unakufa tena.
Eehh umekuja kutoa ushuhuda tena apaa.kuna manzi tuliachana miaka 2 nyuma akaja akaolewa na jamaa mmoja ivi Tabora .na huyo manzi aliolewa akiwa na mtoto wangu
muda wote huo sijawahi kuwasiliana nae (niliweka heshima)
sasa juz kati nimekutana nae mwanza ndan ya daladala kashtuka na mm nikashtuka story za hapa na pale nikagusia kuhusu mwanangu akajibu yuko poa
Nikamuomba tukifika kisesa nimpe hela amnunulie dogo nguo akaitikia hayaa (ya puani lakini kuashiria hata nisipofanya vile poa tuu)
Kufupisha story tulikumbushia matukio ya nyuma tukajikuta tupo lodge na ni mke wa mtu.
nachokumbuka alisisitiza amekubali nimchakate kwa sbb alimic moments za nyuma.
NB: nilimwagia ndani tena.
Wakuu
Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa
Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha
Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie
Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni
Naombeni ushauri.
Taikoni wa fasihi : nature haimuachi mtu salama.Muombe MUNGU.
Wakati mwingine wanawake wanakuwa kwenye changamoto ya kusema ukweli Kwa kuogopa kuachwa.
Na mara nyingi mwanamke akikupenda Sana ni rahisi kukudanganya Kwa kuhofia matokeo ya kuachwa.
Ila Kama hakupendi kivile anaweza kukuambia ukweli kwani haugopi matokeo.
Hapo cha kufanya,
Sitisha zoezi la ndoa Kwanza, kaa miezi walau sita akili itakuwa imepata uamuzi sahihi.
Kumuacha sasa hivi au kuendelea naye sasa hivi hayatakuwa maamuzi sahihi.
Hata hivyo mahusiano siku zote ni Chemistry baina ya watu wawili. Kama kuna kuelewana na mlikuwa mnaenjoy basi maamuzi unayo.
Single Mother sio Wabaya Ila nature ya wanawake ndio inawafanya wawe Wabaya.
Wanawake linapokuja suala la mtoto au mtu anayempenda hawana muda wa kufikiri mambo mara mbili.
Kama alikuwa anampenda mshikaji aliyemzalisha na haikuwa mimba ya bahati mbaya basi hapo kazi unayo
Taikoni wa fasihi : nature haimuachi mtu salama.
Tupate Wadhamini WetuAlitakiwa aseme tu mapema.
Uamuzi ni wako
Maisha hayana formula mama,kama muda umefika zaa haijalishi utaolewa au lahHiki ndo kinatufanya wengi tusizae bila mpango maana ukizaa tu mwenye nia ya kuoa ndo anakuja na akija yanatokea haya ya mleta mada. Eeh Mungu.