atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Hakuna anaepinga kuoa single mama,tatizo kwanin mnaficha?Hatujasema malaika. Tambua ya kwamba hamna mzazi angependa mtoto wake abebe mimba nje ya ndoa wala kuoa single maza. Huo ndio ukweli.
Ata wewe siku ukija kuwa mzazi upate mtoto wa kiume alete single maza kwako utafura kweli kweli
Kuna Uzi wangu maalum niliuandika khs ilo waeza utafutaSasa wewe kwanini ume achana na huyo single mother?
Nikisomaga comments za hivi namshukuru Mungu sana kwa kusababisha nishindwane na yule mwanamkekuna manzi tuliachana miaka 2 nyuma akaja akaolewa na jamaa mmoja ivi Tabora .na huyo manzi aliolewa akiwa na mtoto wangu
muda wote huo sijawahi kuwasiliana nae (niliweka heshima)
sasa juz kati nimekutana nae mwanza ndan ya daladala kashtuka na mm nikashtuka story za hapa na pale nikagusia kuhusu mwanangu akajibu yuko poa
Nikamuomba tukifika kisesa nimpe hela amnunulie dogo nguo akaitikia hayaa (ya puani lakini kuashiria hata nisipofanya vile poa tuu)
Kufupisha story tulikumbushia matukio ya nyuma tukajikuta tupo lodge na ni mke wa mtu.
nachokumbuka alisisitiza amekubali nimchakate kwa sbb alimic moments za nyuma.
NB: nilimwagia ndani tena.
Wacha hizo mwamba! Kwani huyo jamaa yeye kaweka mambo yake yote hadharani? Hata sisi wanaume ni mashetani tu! Huyo bwana kama alipenda boga apende na ua lake full stop!Dah tukisema wanawake mashetani wanatupiga mawe humu ndani kumbe ukweli wenyewe ndio kama hivi.
Sawa ata sie mashetani....ila huyu mwanamke kwa nini asimwambie jamaa kuwa tayari ni single maza?Wacha hizo mwamba! Kwani huyo jamaa yeye kaweka mambo yake yote hadharani? Hata sisi wanaume ni mashetani tu! Huyo bwana kama alipenda boga apende na ua lake full stop!
Weka namba yake mabaharia waruke naeWakuu
Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa
Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha
Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie
Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni
Naombeni ushauri.
Fuata huu ushauri uliopewa na mwanamke mwenzakeUsipepese macho wala kusubiri siku ya leo iishe muambia sikuwa na ndoto ya kuoa mwanamke mwenye mtoto na kwa namna yoyote sitaweza kuishi naye ungeniambia hili mapema nisingwfuka na wewe hapa tulipofika. Samahani hatuwezi kuendelea nakutakia kila jema. Hakikisha humuoi ndoa itakuwa na vita ukishasita hivi.
Weee kumbe hauwajui hawa viumbe mkuuAlikosea kuficha toka mwanzo ila cheki na moyo wako. Binafsi nimeona single mothers wengi tu wameolewa na maisha yanaenda freshi. Hizo habari za hawezi muacha mzazi mwenza ni dhana tu ambayo watu wengi wanayo dhidi ya single mommas.
Kama unampenda we oa. Mtoto abaki huko huko alikokuwa siku zote.
Siyo wote mkuuInamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?
Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?
Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.
Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
Hii scenario ikikutokea unaweza kuhisi unaotaKaka unaweza ukafanya yote hayo lakini ndani ya ndoa akakutibua hadi ukabaki unashangaa.
Rafiki yangu anampenda sana mkewe, wamebarikiwa watoto wawili. Jamaa kasafiri nje ya nchi mwaka mmoja na nusu karudi mkewe ana mimba kuuuuubwa ya karibia kujifungua na hivi tunavyoongea alishajifungua yupo kwao kwa wazazi wake anaomba msamaha kwa mumewe arudi maisha yaendelee.
Ni kuomba Mungu tu
Usizae kabisa tulia paleeeeHiki ndo kinatufanya wengi tusizae bila mpango maana ukizaa tu mwenye nia ya kuoa ndo anakuja na akija yanatokea haya ya mleta mada. Eeh Mungu.
Na mara nyingi mwanamke akikupenda Sana ni rahisi kukudanganya Kwa kuhofia matokeo ya kuachwa.Muombe MUNGU.
Wakati mwingine wanawake wanakuwa kwenye changamoto ya kusema ukweli Kwa kuogopa kuachwa.
Na mara nyingi mwanamke akikupenda Sana ni rahisi kukudanganya Kwa kuhofia matokeo ya kuachwa.
Ila Kama hakupendi kivile anaweza kukuambia ukweli kwani haugopi matokeo.
Hapo cha kufanya,
Sitisha zoezi la ndoa Kwanza, kaa miezi walau sita akili itakuwa imepata uamuzi sahihi.
Kumuacha sasa hivi au kuendelea naye sasa hivi hayatakuwa maamuzi sahihi.
Hata hivyo mahusiano siku zote ni Chemistry baina ya watu wawili. Kama kuna kuelewana na mlikuwa mnaenjoy basi maamuzi unayo.
Single Mother sio Wabaya Ila nature ya wanawake ndio inawafanya wawe Wabaya.
Wanawake linapokuja suala la mtoto au mtu anayempenda hawana muda wa kufikiri mambo mara mbili.
Kama alikuwa anampenda mshikaji aliyemzalisha na haikuwa mimba ya bahati mbaya basi hapo kazi unayo
We nae unaongea bullshitSiwaelewi kabisa wanaume unampelekaje mwanamke single maza kwa wazazi na kutambulisha kuwa unataka kuoa...like seriously!!!
SafiNina kijana wa kiume akifika umri wa kuoa ni uamuzi wake tu akipenda na kujiridhisha Sina maneno nae
Aya wee unaeongea non bullshit mwaga mapoint tuone.We nae unaongea bullshit
maumivu yake hayaelezekiHii scenario ikikutokea unaweza kuhisi unaota
Wanao weza kukataa nature ni wachache sanaKweli. Wachache sana