Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Inamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?

Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?

Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.

Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
 
Dah tukisema wanawake mashetani wanatupiga mawe humu ndani kumbe ukweli wenyewe ndio kama hivi.
Aisee pole sana mkuu hapo ni kuhesabu hasara tuu hamna namna.
Kwa kweli suala la kumtambulisha single maza kwa wazazi wako wakati wanawake wamejaa kibao ni kuwakosea adabu wazazi wako. Hiyo piga chini fasta mwanawane
Mashetani yapo ya jinsia zote, kutubebesha tu lawama wadada kila leo utadhani nyie wasafi sana.
 
Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.
Ulikuwa hujawah kumgegeda mkuu??
 
Mashetani yapo ya jinsia zote, kutubebesha tu lawama wadada kila leo utadhani nyie wasafi sana.
Ah wee nyie sii mnatubebeaha pia lawama, mara hatujui kutomber, mara tutamaliza bucha zote nyama ileile basi shida tupu. Mara hamna wanaume siku hizi.

Ila nilichogundua tunapondana hapa ila tungegeduana 🤣🤣🤣🤣
 
Ulichokosea ni kutomchunguza mchumba wako. Kosa kubwa sana ili wanafanya vijana wa siku hizi. Unaoa mtu bila hata kufanya upelelezi wa kina.

Mie wakati naoa enzi hizo nilikuwa mpk nawalioa watu wakachunguze kwao. Nilifanya kila aina ya udukuzi mpk shule alizosoma.

Nilipojiridhisha ndio nikatangaza ndoa tena huku nimempa na mimba juu ili nijiridhishe kuwa ana uzazi. Vijana sijui mnafeli wapi
 
Ila hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,

1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?

Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida

Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.
Naunga mkono hoja yako....tumekuwa tukiaminishwa kuwa single mother sijui hawaachani na wenza wao hiyo sio kweli asilimia Mia...ndio kuna baadhi wanatabia hizo lkn sio wote kwamba wapo hivyo..tusikaririshwe kila kitu jamani

Mimi nilioa single mother na nimekaa nae miaka Saba na sikuwahi ona huo ujinga...mpaka nimemuacha mwenyewe kwasababu zangu binafsi...na ninatarajia kuoa single mother tena hivi karibuni inshallah....kosa kubwa ni huyo mwenzako hakuwa mkweli tangu mwanzo hapo naona ndio tatizo.

Ila kwakuwa ulishauriwa na Babu yako kuwa single mother ni majanga na wewe mwenyewe umeshakuwa na mashaka basi ni Bora usiendelee na ndoa...kwasababu hata Baba mtoto akitaka kujua Hali ya mwanae utajua tayar wana mahusiano.....inahitaji akili kubwa kuishi na single mother kama Hilo huliwezi kaa pembeni mkuu.
 
Inamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?

Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?

Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.

Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
Ninavyosema niko nae ni mwaka sasa maana yake namkula kila nitakavyo
Me wake yeye wangu

Huwezi gundua mbususu iliyozaa na isiyozaa kwa namna unayosemea
 
Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.
Yani mwaka mmoja unatangaza ndoa kweli??..
 
Alikosea kuficha toka mwanzo ila cheki na moyo wako. Binafsi nimeona single mothers wengi tu wameolewa na maisha yanaenda freshi. Hizo habari za hawezi muacha mzazi mwenza ni dhana tu ambayo watu wengi wanayo dhidi ya single mommas.
Kama unampenda we oa. Mtoto abaki huko huko alikokuwa siku zote.
Furaha ya mama ni ajumuike na mwanae pia huo ndio ukweli unless labda ni mkubwa na anaishi na Baba yake...lkn kama anaishi na mama yake hlf asiishi na mwanae kisa Mume hataki tarajia stress Kwa huyo mama mtoto...ukiwa a family Man mtoto sio tatizo kabisa
 
Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.
Single Mother ni balaa Mkuu,
Utajuta mno,

Kama mtoto wake yuko ana miaka mitano,
It means mkioana tuana mleta uananza Kusomesha, na huyo mtot anajitambua
So atajua fika kuwa wewe si baba yake......

Mpka akuzalie, tayari wake yuko darasa la tatu, then ww wako anaza chekechea wake yuko Chuo....

ACHANA NA HIZO BIASHAHARA,

HASARA ROHOO, PESA MAKARATASI,
Fedhea kwao na kwa Washkaji isikufanye UKAFUNGA PINGU ZA KUJUTIA MAISHANI....
 
Mkuu, piga chini huyo mwanamke, kwanza sio muaminifu kabisa pili single mothers kila siku unasikia shuhuda zao humu.

Wanawake wapo wengi mkuu tena vyombo hasa, achana na mambo ya kusikiliza moyo wewe ni Mwanaume tumia logic and fact kufanya maamuzi.

Cheers [emoji123]
 
Back
Top Bottom