Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Baada ya kutangaza ndoa, mchumba wangu kaniweka wazi ni single mother, upendo umeyeya nafikiri kumuacha

Hatujasema malaika. Tambua ya kwamba hamna mzazi angependa mtoto wake abebe mimba nje ya ndoa wala kuoa single maza. Huo ndio ukweli.
Ata wewe siku ukija kuwa mzazi upate mtoto wa kiume alete single maza kwako utafura kweli kweli
Kaka yangu alioa single mama, hapo kabla mama mkubwa akawa hajapenda. Yule dada kaleta mapacha double na makelele siku hz yameisha. Bibi amebaki kuwa busy kulea wajukuu tu. Na Mungu alivyo wa ajabu wale pacha wa kike wote sura ni bibi yao mtupu hapo mama mkubwa hata hasemi kitu tena. Ndio kwanza kazidi kumpenda mkwe wake.
 
Weeeeee kimbia speed mia moja singo Maza haachani na mzazi mwenzake koma na kimbia haraka
 
Kaka yangu alioa single mama, hapo kabla mama mkubwa akawa hajapenda. Yule dada kaleta mapacha double na makelele siku hz yameisha. Bibi amebaki kuwa busy kulea wajukuu tu. Na Mungu alivyo wa ajabu wale pacha wa kike wote sura ni bibi yao mtupu hapo mama mkubwa hata hasemi kitu tena. Ndio kwanza kazidi kumpenda mkwe wake.
Mweee! Huko kweli hamjitambui
 
Inamaana mpk unalipa mahali, mnafika huko hujawai mchojoa kabisa nguo?

Nnavojua mwanamke ukimwangalia tu akiwa uchi, utajua TU Kama kazaa au lah?

Ukisex nae ndo kabsaa, kila kitu kinakua hadharani.

Unawezaje kudanganywa ukakamatika kirahis namna hiyo mkuu[emoji848]
Sio kweli mwamba, kuna nyapu zingine unaweza piga utadhani bikra katolewa juzi kumbe anawatoto wawili. Kwahiyo hilo huwa swala la maumbile tu
 
[emoji44][emoji44][emoji44] Kwani ndoa inahusu watu wawili tuu? Ndoa ni muungniko wa familia mbili bwana
Heeeee, mapenzi yao sie wana familia yanatuhusu nini???
Muhimu wanaishi kwa amani, napo wakishindwana sie kama wanafamilia pia tutaheshimu uamuzi wao.
 
Ila hii theory mnayosemaga single mother hawezi kuachana na aliyemzalisha sijui huwa mnaipata wapi sijui. Mtoa mada na wenzio naomba nikuulize kidogo,

1. Ukioa asiye single mother na akawa na mabwana tisa ndani ya ndoa yako unapata faida gani
2. Huamini kabisa mtu anaweza akaachana na mtu mwingine mazima?
3. Ukioa asiye single mother lakini amewahi kutoa mimba 9 kuna faida gani?

Badilisheni mitazamamo yenu. Asilimia kubwa ya mwanamke ku cheat ni wewe mwanaume unavyoamua kuyapeleka maisha ( Najua wapo vipepe yes). Unaweza kuoa bikira ila huko mbele ukachapiwa kuliko kawaida

Kuwa positive. Maisha sio magumu kiasi mnachoyasemea mitandaoni na mitaani. Tatizo la kweli hapo ni moja tu, kwanini hakusema mwanzo japo inawezekana pia aliogopa utamuacha sababu ya akili zako au alikuwa hakuchukulii serious kiviiiile.
Mkuu hoja zote nimezikubali, ila moja tu. Mwili ni wako, akili ni zako sasa mwanaume atakufanya vipi ucheat[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Umeacha njia zote sahihi zakukabiliana na jambo ukaona solution ni kucheat halafu umtaje mwanaume ndio sababu. Kama ni hivyo, uzinzi hautaisha maana mwanaume atacheat atasema sababu ni mwanamke tuone kama utatatua tatizo. [emoji23][emoji23][emoji23] ukishikwa na tamaa kili ni tamaa zako mbona wanaume wanasema ni nature yao au kwaundani hiyo kauli wanakili ni tamaa zao. Wewe uje umtaje mwanaume, anaishi ndani ya akili yako. Mwanamke akicheat jua ni tamaa zake sio mwanaume, njia za kutatua ni nyingi tu pamoja na kusepa ila mwanaume hajashikilia akili na tamaa zako bali ni wewe. Kama ukimtaja mwanaume basi ujue huna tofauti na kosa alilofanya Adamu tena yeye anaafadhali hakujua hilo tunda. Grow up! Yaani kuongoza familia ndio nishikilie na akili au tabia zako wakati hatukujuana kwa miaka 20 na zaidi.
 
Wakuu

Nimekuwa na mahusiano ya takribani mwaka mmoja na mwanamke ninayempenda mpaka kufikia kuamua kutangaza ndoa
Kila kitu kuhusu kutambulishana kilishafanyika kwao na kwetu, mahari pia nimelipa japo sijamaliza yote lakini wazazi wamebariki tuendelee na mchakato wa ndoa

Huyu mchumba wangu nimekuwa nikimuamini sana huwezi mdhania kwa mambo mabaya kwani kipindi chote hiki tumeishi kwa uwazi kumbe yeye aliwahi zaa miaka mitano huko nyuma akanificha

Moja ya kiapo ambacho nimejiwekea pia baba yangu mzazi hunisisitiza sana ni kutokuoa muke ya mutu i mean aliyekwisha zaa (single maza) kwani wanamadhira sana hawa watu pia hawezi achana na mzazi mwenzie

Sasa wakuu nimeingiwa mawazo sana, upendo ule wa mwanzo umeisha ghafla nimefikiria kuachana na huyu mwanamke hata kwa maumivu ya gharama kiasi gani lengo tu niepuke fedhea hii na madhira nayowezapata huko mbeleni

Naombeni ushauri.
Piga chini
 
Single mama mwenye mtoto wa kike ni rahisi ukaiva na hako kabinti, ila wa kiume haji kua rafiki yako na akifanikiwa,atamwamisha mama yake hapo kwako...ref Diamond.

Ni sawa na mwanamke kwenda olewa na mwanaume mwenye mtoto wa kike.

Pia mkumbushe tuu mtoto wakiume atatumia sana nguvu zako na hatokuja kukuthamini kama baba yake na wala uyo baba ake mzazi nayepia anaweza asimuwaze kabisa atamuwaza tu mama ake, kwaiyo akifanikiwa kimaisha kunyangaywa mke ni rahisi sana kama (diamond na mama ake)

Pia mtoto wakiume asipofanikiwa utaishi nae apo mpaka uchoke na kama hutozaaa watoto wakiume wengine na uyo single maza bas uyo ndo mrithi halali wa mali zako maana watoto wakike hua wanaolewa wanaondoka na waume zao tena wakiwa wanamali izo za nyumbani hua hawazi kabisa, ila wasipo olewa na wao huja kua single maza apo apoa kwako na hawatotoka ng'oo maana ndo kwao.

Faida za watoto wakike ni unaweza kukadanganya ukakapetpet mpaka kakakupenda wewe kuliko baba ake mzazi maana hawa viumbe wapogo kihisia sana kuliko kihualisia.

So single maza mwenye mtoto wakike ni mzuri zaidi kuliko mwenye watoto/mtoto wa kiume...japokua kuoa single maza nawe na huna mtoto wa pembeni ni hatari kwa afya ya akili zako otherwize mungu awe amekujalia hekma kubwa sana.
 
Back
Top Bottom