Kumbe unamjuwa mkuu huyu si anauzaga uji kwenye maroli mara ya mwisho aliniagiza nimletee zawadi ya Kijora na viatu vya Masai.Hiyo tshet nilimpatia mimi pale Benaco
SanaaNapendaga bantu girls wana miguu minene?
infact yesElimu haina kipaumbele kwao!Kwa hiyo wife material lazima awe mjinga?
Yes Ibwera na izimbya ndo maeneo maskini zaidi Bukoba....huwezi linganisha Ibwera na kamachumu, kiziba, bugabo, muleba nk nk...Ibwera? Ndio chimbo la kupata housemaids kwa kule, sijawahi fika ila nadhani ni mojawapo ya maeneo maskini sana ukanda ule
Unawajua na wewe dear To yeyeSanaa
Safi sana nilikua na mchumba maeneo flani, alikua mwalimuNilikuwa natege samaki pale Luvuvu
Elimu na ujinga ni vitu viwili tofauti ndio maana kuna baadhi ya wasomi bado ni wajinga
Kwani kutokuwa na elimu ni ujinga?
Kaijage usogee hapo Ngara uwaulize kwa nini hawapendi mashule shule kama nyinyi.
Naam ilikuwa nimevaa Tshirt la Pamba FC nikiwa na mchuchu 1 wa KitutsiMkuu mara nyingi nakuona pale Sodoma Magerwa nilikuwa nakukuta kwa Kazungu
Watu au maeneoHapo Ngara Nikanyaga Hayo Maeneo Oops Hakuna Tofauti Na Rwanda,
Naomba hii komenti iwekwe kwenye KATIBA MPYA.Elimu haina kipaumbele kwao!Kwa hiyo wife material lazima awe mjinga?
Wavumilivu sana aisee ni kama wasukuma.Kweli kabisa
Nimemkumbuka demu mmoja mrembo mnoooo aliitwa Queen aliolewa na Ofisa mmoja wa serikali mlevi kupindukia
Sikuamini yule mwanamke aliwezaje kuishi na kumvumilia yule mwamba, kajamaa kenyewe kafupi halaf kalevi, chee!
Siyo tabia na uvumilivu tu bali hata maumbo yao ni mazuri sana.nimefanya kazi bihalamulo pale mtoa mada umeongea ukweli mtupu yaani hao mabinti ni watu na nusu yaaani kweli kabisa