Pre GE2025 Baada ya kutenguliwa Nape kaamua mazima na kufuta account yake X (Twitter)?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
KIBURI, KIBURI, KIBURI, KIBURI, kilichomtoa shetani Mbinguni ni KIBURI, huyu jamaa KIBURI kilimfikisha pabaya sana, bado yule mwenzie mkuu wa HAZINA..... hata chama chake walisha mchika...
 

Attachments

  • VID-20240719-WA0007.mp4
    2.8 MB
Jamani wakuu humu JF, kuna yeyote mwenye namba ya Gilbert Kalanje, nataka kumwambia kuna jambo lake huku, kuna jamaa anataka kuitisha "PRESS" na waandishi, shime aje haraka.
 
Hajawahi kuwa na aibu wala akili ya kujitegemea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…