Baada ya kutimuliwa CHADEMA na kuhamia CUF, Lwakatare atikisa Bukoba Mjini. Wananchi wakanyagana mkutanoni

Lwakatare kaja kishamba shamba akizani watanzania wamelala awateke kiwepesi, Rwakatare atambue zama hizi ufala wake hauna nafasi atabakia kusikilizwa na mbumbumbu wenzake watupu.
 
Kipimo cha ubwege ni kumsiliza Rwakatare, yeyote atakayemuona Rwakatare kazungumza ukweli huyo moja kwa moja anahesabika ni JUHA la kutupwa, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atakaa kumsikiliza kilaza Rwakatare.
 
Kama Rwakatare ndiyo Bingwa wa siasa huko kagera yakufaa uwaombe samahani wakazi wa Bukoba kwani hawawezi kukubali kuonekana kilaza Rwakatare ndiyo mjanja wao.

Bwashee mbona alipokuwa upande ule mlituaminisha kuwa ni gwiji.?
 
Watetezi wa CCM sasa wamegeuka kuwa watetezi wa kilaza Rwakatare badala ya kuendelea kuitetea CCM yao iache kutumia pesa za viwanda pesa za maendeleo kuidhoofisha chadema, wambieni viongozi wa CCM hizo pesa wanazotumia kuihujumu chadema wazitumie kujenga daraja toka mwanza mpaka ukerewe na ukara,

wajenge daraja toka Dsm mpaka Zanzibar na pemba, wajenge Hosptal kubwa ya Rufaa Zanzibar, mikoani kote na wajenge Hosptal kubwa morogoro waajiri madaktari toka India wagonjwa wote watibiwe hapo badala ya kupelekwa India, acheni kuihujumu chadema kwa kutumia pesa za walipa kodi, zitumieni hizo pesa kujenga vyuo vikuu kila wilaya kuwe na wasomi wa kutosha Tanzania.
 
Rwakatare kaanza ujinga wake lazima tuonyeshe na udhaifu wake kumbuka Rwakatare ni binadamu ana mapungufu yake mengi.

Tulimpigania kwenye ‘tuhuma’ zake za ugaidi ila amekosa fadhira, ndo unamaanisha hivyo.?
 
Rwakatare hana cha kujivunia kiasi cha kuwanyoshea wengine vidole, kwanza hata sura na alivyokaa kaa unyoaji wake nywele kanyoa pank la kishamba shamba, uvaaji wake ni ule wa mwaka 1947 ni mshamba ndiyo maana bado amekariri ushamba kaamua kuja kishamba shamba asubirie atajibiwa vizuri mpaka ajutie ushamba wake.
 
Waliomtuma Rwakatare wakiingia humu jukwaani lazima watajutia mda wao kumfundisha babu kilaza asiyejitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…