Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mambo ya "the reverse is true" we huelewi??Mbona ni kama sio wa kukanyagana.?
Kipimo cha ubwege ni kumsiliza Rwakatare, yeyote atakayemuona Rwakatare kazungumza ukweli huyo moja kwa moja anahesabika ni JUHA la kutupwa, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atakaa kumsikiliza kilaza Rwakatare.Alichokisema lwakatare jana ni ukweli mtupu,akili za machadema zimejaa plastiki kwao uzushi na uongo ni sera za chama.Ona huyu pimbi anavyokurupuka,huo ni mkutano wa lwakatare? Nini tofauti ya akili zako na za nguruwe pori( ngiri)?Lwakatare ndio baba wa siasa za bukoba,nyie manyumbu wa chadema lazima mkae.
Kama Rwakatare ndiyo Bingwa wa siasa huko kagera yakufaa uwaombe samahani wakazi wa Bukoba kwani hawawezi kukubali kuonekana kilaza Rwakatare ndiyo mjanja wao.Lwakatare ndio mbabe wa siasa za kagera
Chadema ndio mmeptoea hivyo kagera
Kweli huyu ni yeyeee Bia yetu muandiko nduo huohuo
Kwa ukumbusho tu...
Hapo wameenda kumsanifu tu, ujue wakazi wa hapo siyo wajinga wamekwenda kumchora tu waone ujinga wake umeongezeka kwa kiwango gani.
Umejaa wivu na umbea.
Kama Rwakatare ndiyo Bingwa wa siasa huko kagera yakufaa uwaombe samahani wakazi wa Bukoba kwani hawawezi kukubali kuonekana kilaza Rwakatare ndiyo mjanja wao.
Rwakatare kaanza ujinga wake lazima tuonyeshe na udhaifu wake kumbuka Rwakatare ni binadamu ana mapungufu yake mengi.Bwashee mbona alipokuwa upande ule mlituaminisha kuwa ni gwiji.?
😆😆😆Rwakatare kaanza ujinga wake lazima tuonyeshe na udhaifu wake kumbuka Rwakatare ni binadamu ana mapungufu yake mengi.
Rwakatare kaanza ujinga wake lazima tuonyeshe na udhaifu wake kumbuka Rwakatare ni binadamu ana mapungufu yake mengi.
Chadema haijawahi kuwa na visasi mjombaTulimpigania kwenye ‘tuhuma’ zake za ugaidi ila amekosa fadhira, ndo unamaanisha hivyo.?
Chadema haijawahi kuwa na visasi mjomba
Weka na hizi pia
Watu wamezi ignore sana hizo id takataka