Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Inaonekana wewe ni mgeni JF, sijawahi kuwa Sukuma Gang, ila hao niliokutajia uzalendo wao kwa nchi hii ni mkubwa mnoo, wana udhaifu wao ila still wanaipenda hii nchi, na hawajawahi kuogopa kuongea ukweli, nadhani ni watu pekee waliongea against Bashite enzi za utawala wa Jiwe
Mama hataki wasema kweli,anataka makondoo
 
Wanaoweza kuwekwa pembeni:
1)Majaliwa
2) Prof Mkenda
3) Dotto
4) Jaffo

Wataoweza kuingizwa:
1)Nape - Utamaduni
2)Kigwangalla



Spika:
- Nchimbi - Kama katiba inaruhusu
 
Hapa pagumu😆
IMG_20211228_160309.jpg
 
Natamani kila siku niwe nasikia hotuba kama hizi kutoka kwa madam President
Leo kawa real sana. Nadhani watu wanavutiwa sana na mtu real asiye na show za kinafiki kama alivyokuwa Magufuli. JPM alikuwa real sana ndiyo maana alivuta hisia za watu wengi.
 
Chuki zako dhidi ya prime minister hazikusaidii,unaumiza moyo wako bure,nakwataarifa yako huyo ndo rais wako ajaye,na Kama humpendi Hama nchi kabisa.
Na anapisha kweli ni mkeka wa madam Samia acha uoga kila Mtu ashinde mechi zake
 
Back
Top Bottom