love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Hao ameshindwa kabla hajaanza...Piga chini Sukuma gang wote
Sukuma gang ni kama mzimu kila mtu anasema upo kijijini
lakini hakuna aliyewahi kuuona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ameshindwa kabla hajaanza...Piga chini Sukuma gang wote
To add mama Gwajima na dotto bittekoSimbachawene,Lukuvi,Bashungwa,Waitara, wafanye sana maombi
Mama hataki wasema kweli,anataka makondooInaonekana wewe ni mgeni JF, sijawahi kuwa Sukuma Gang, ila hao niliokutajia uzalendo wao kwa nchi hii ni mkubwa mnoo, wana udhaifu wao ila still wanaipenda hii nchi, na hawajawahi kuogopa kuongea ukweli, nadhani ni watu pekee waliongea against Bashite enzi za utawala wa Jiwe
Unawaza mambo yakijinga,kwani hiyo ndiyo kazi waliyoapa kuifanya.badala uongee wasio wajibika sawasawa kwa watanzania na nchi kwa ujumla wewe unawaza uchawa.aise umekula marage ya wapi.Mimi naona aanze na wale wasio toka hadharani kumtetea mama.
Mwigulu na Biteko nawateteaKassim Majaliwa
Mwigulu Mchemba
Adolf Mkenda
Dotto Bitebo
Makamba Jr
Mkumbo
Leo kawa real sana. Nadhani watu wanavutiwa sana na mtu real asiye na show za kinafiki kama alivyokuwa Magufuli. JPM alikuwa real sana ndiyo maana alivuta hisia za watu wengi.Natamani kila siku niwe nasikia hotuba kama hizi kutoka kwa madam President
Na anapisha kweli ni mkeka wa madam Samia acha uoga kila Mtu ashinde mechi zakeChuki zako dhidi ya prime minister hazikusaidii,unaumiza moyo wako bure,nakwataarifa yako huyo ndo rais wako ajaye,na Kama humpendi Hama nchi kabisa.
Marais wa nchi hii wote isipokuwa Mwinyi baba tu ndio hakuwa hivyoMama hataki wasema kweli,anataka makondoo
Sina uoga lakini tambua PM bado yupo tu,utasubiri sanaNa anapisha kweli ni mkeka wa madam Samia acha uoga kila Mtu ashinde mechi zake
Hapana Kassimu anaondoka ni hivo tuSina uoga lakini tambua PM bado yupo tu,utasubiri sana
Utajifariji sanaAtajua siku akijua hajui.
Ngoja tusubiri mkuu,natunza hii commentHapana Kassimu anaondoka ni hivo tu
We mgogo unachekesha..Utajifariji sana