Baada ya kuzuiliwa kuingia Ngorongoro Tundu Lissu kuhutubia Taifa na Dunia mchana huu

Baada ya kuzuiliwa kuingia Ngorongoro Tundu Lissu kuhutubia Taifa na Dunia mchana huu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA HUO WA KISHENZI

Kuna tetesi kwamba DW na BBC watatoa live Mkutano huo .

Screenshot_2023-09-09-14-47-00-1.png



Taarifa iliyosambazwa na chama chake inaonyesha kwamba atazungumza na vyombo vya habari mchana huu saa 9:30 kwa saa za Tanzania .

Awali , pamoja na kuzuiliwa amefanikiwa kuhutubia Mkutano kwenye kata moja kwa njia ya simu .

Screenshot_2023-09-09-14-29-53-1.png

Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA HUO WA KISHENZI

Kuna tetesi kwamba DW na BBC watatoa live Mkutano huo .

View attachment 2743970


Taarifa iliyosambazwa na chama chake inaonyesha kwamba atazungumza na vyombo vya habari mchana huu saa 9:30 kwa saa za Tanzania .

Awali , pamoja na kuzuiliwa amefanikiwa kuhutubia Mkutano kwenye kata moja kwa njia ya simu .

View attachment 2743968
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Huyu mtu ana mahaba mazito kwa Watanzania...

Sala zetu zote Mungu amlinde
 
Atii mamlaka kiburi chake hakitaweza kumsaidia kwa lolote, mzee faragha!
 

Attachments

  • IMG_20230802_154230_057.jpg
    IMG_20230802_154230_057.jpg
    61.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom