jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,839
- 2,963
Wamwambie kama Lissu anahitaji viza ya kuingia katika nchi ya mwarabu ya Ngorongoro
Kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamwambie kama Lissu anahitaji viza ya kuingia katika nchi ya mwarabu ya Ngorongoro
Wewe choko hapa unasemaje? Mkishindwa hoja mnahamisha magoliAtii mamlaka kiburi chake hakitaweza kumsaidia kwa lolote, mzee faragha!
Sisi hatujali Madaraja tunachoangalia ni Demokrasia chini ya utawala wa Magufuli hadi kufikia Wapinzani kuikimbia Nchi.Ukatili wa Magufuli tuliona hata infastructure za kutudanganyia.
Ukqtili wa Samia mpqkq anagawa rasilimali zetu bila hofu
Tupeni linkMakamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA HUO WA KISHENZI
Kuna tetesi kwamba DW na BBC watatoa live Mkutano huo .
View attachment 2743970
Taarifa iliyosambazwa na chama chake inaonyesha kwamba atazungumza na vyombo vya habari mchana huu saa 9:30 kwa saa za Tanzania .
Awali , pamoja na kuzuiliwa amefanikiwa kuhutubia Mkutano kwenye kata moja kwa njia ya simu .
View attachment 2743968
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Wetu wanasaka uniform za mtumba, ambazo zimelipiwa Kodi ya foroza, vat na income . Udikteta ukizidi wanakuwa wachawiNawapa kongole kule walikofanya mapinduzi maana upuuzi wa viongozi wa kiafrika ni too much.
Yuko JAMBO TV LIVE muda huu.Tupeni link
Jamaa siasa anaiweza snMakamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA HUO WA KISHENZI
Kuna tetesi kwamba DW na BBC watatoa live Mkutano huo .
View attachment 2743970
Taarifa iliyosambazwa na chama chake inaonyesha kwamba atazungumza na vyombo vya habari mchana huu saa 9:30 kwa saa za Tanzania .
Awali , pamoja na kuzuiliwa amefanikiwa kuhutubia Mkutano kwenye kata moja kwa njia ya simu .
View attachment 2743968
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Huyu maza ni katili snUkatili wa Magufuli tuliona hata infastructure za kutudanganyia.
Ukqtili wa Samia mpqkq anagawa rasilimali zetu bila hofu
Ningelikuwa kiongozi na kwakuwa wapo Mbugani ningewafurumishia mafisi na Simba wajue hatari za kuishi Mbugani dadeki 😁😁😁Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA HUO WA KISHENZI
Kuna tetesi kwamba DW na BBC watatoa live Mkutano huo .
View attachment 2743970
Taarifa iliyosambazwa na chama chake inaonyesha kwamba atazungumza na vyombo vya habari mchana huu saa 9:30 kwa saa za Tanzania .
Awali , pamoja na kuzuiliwa amefanikiwa kuhutubia Mkutano kwenye kata moja kwa njia ya simu .
View attachment 2743968
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Anayetapatapa ni yule bibi titi fisadi wa kike kutoka ughaibuniMfa maji haachi kutapatapa.
Mtu mmoja abanwe kwa maslahi ya wengi.Samia anaanza kuwa Authoritarian kama Magufuli?
Mtu mmoja abanwe kwa maslahi ya wengi.Samia anaanza kuwa Authoritarian kama Magufuli?
Anaanza kuwa au kishakuwa authoritarian?Samia anaanza kuwa Authoritarian kama Magufuli?
Kuhutubia taifa na dunia?[emoji3][emoji3][emoji3] ila Nyumbu bhanaMakamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA HUO WA KISHENZI
Kuna tetesi kwamba DW na BBC watatoa live Mkutano huo .
View attachment 2743970
Taarifa iliyosambazwa na chama chake inaonyesha kwamba atazungumza na vyombo vya habari mchana huu saa 9:30 kwa saa za Tanzania .
Awali , pamoja na kuzuiliwa amefanikiwa kuhutubia Mkutano kwenye kata moja kwa njia ya simu .
View attachment 2743968
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Alipowaahidi Mapolisi kuwapa Mabilioni ya fedha nimeshtuka sana.Anaanza kuwa au kishakuwa authoritarian?
Bado kama nchi tuna safari ndefu kufikia utawala bora na demokrasia ya kweli nchi hiiAlipowaahidi Mapolisi kuwapa Mabilioni ya fedha nimeshtuka sana.
Kama tungelijua kuwa kumbe UHURU ni hivi na Ubabe huu dhidi yetu bora Mwingereza angebaki mpaka pale tungeona sasa inafaa kwa sisi Waafrika kukabidhiwa Nchi.Bado kama nchi tuna safari ndefu kufikia utawala bora na demokrasia ya kweli nchi hii