ROGATH MCHAU
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 569
- 1,009
NGORONGORO SIO PORI TENGEFU BRO,Ngorongoro ni pori tengefu hakuna wamasai, akawahutubie Handeni huko.
TOFAUTISHA NENO HIFADHI YA TAIFA NA PORI TENGEFU AU PORI LA AKIBA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NGORONGORO SIO PORI TENGEFU BRO,Ngorongoro ni pori tengefu hakuna wamasai, akawahutubie Handeni huko.
Ndiyo Magufuli Rais wa wanyonge mzalendo wa kweliSamia anaanza kuwa Authoritarian kama Magufuli?
Asante sana
Hayo maeneo huingii bila visa! Nchi ya ng'ambo huko.Kazuiwa kuingia ngorongoro sehemu ya Tanzania. Yani nchi yetu saizi Samia anatupangia Kwa kukanyaga
Ngoja nipekue vifungu Vya KatibaKazuiwa kuingia ngorongoro sehemu ya Tanzania. Yani nchi yetu saizi Samia anatupangia Kwa kukanyaga
Tanzania inahitaji akina Doumbaya wengine. Ingawa hawa wa kwetu ovyo sana si wa kutegemeaNawapa kongole kule walikofanya mapinduzi maana upuuzi wa viongozi wa kiafrika ni too much.
Si wangemuacha akafie Ngorongoro??😂😂Mfa maji haachi kutapatapa.
ccm wako miaka 50 mbele nimecheka sana huu ujingaWacha wampambe, kwa sasa hakuna atakaeweza kuidanganya jumuia ya
kimataifa kwamba tz kuna demokrasia kama lisu
Ccm ni habari nyingine bwashee, jamaa wapo miaka hamsini mbele
Lakini wote hao walitimuliwa serikalini,Wewe choko hapa unasemaje? Mkishindwa hoja mnahamisha magoliView attachment 2743996View attachment 2743997View attachment 2743999
Huo ndio ukweli, we cheka au lia ccm itatawala tz mpaka itake yenyewe, hakuna wa kuiondoaccm wako miaka 50 mbele nimecheka sana huu ujinga
miaka 50 mbele kiupumbavu labda
Iwe ya dp au pd ccm haitoki madarakani kwa mipasho,labda miaka hamsin ya dpworld.
Yes to wazunguuuuu😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣No to Waarabu