Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu mtu ana mahaba mazito kwa Watanzania...Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA HUO WA KISHENZI
Kuna tetesi kwamba DW na BBC watatoa live Mkutano huo .
View attachment 2743970
Taarifa iliyosambazwa na chama chake inaonyesha kwamba atazungumza na vyombo vya habari mchana huu saa 9:30 kwa saa za Tanzania .
Awali , pamoja na kuzuiliwa amefanikiwa kuhutubia Mkutano kwenye kata moja kwa njia ya simu .
View attachment 2743968
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi
Lini hakuwa hivyo?Samia anaanza kuwa Authoritarian kama Magufuli?
Huoni tofauti kati ya Magufuli na Samia?Lini hakuwa hivyo?
Nakweli Samia anatapatapa vibaya mnoMfa maji haachi kutapatapa.
Mimi na Magufuli ni kitu kimoja, nanukuuSamia anaanza kuwa Authoritarian kama Magufuli?
Kapost kule fb kwa wajinga wenzioAtii mamlaka kiburi chake hakitaweza kumsaidia kwa lolote, mzee faragha!
Magufuli alikuwa ni Authoritarian zaidi.Mimi na Magufuli ni kitu kimoja, nanukuu
Ukatili wa Magufuli tuliona hata infastructure za kutudanganyia.Huoni tofauti kati ya Magufuli na Samia?