Baada ya kuzuiliwa kuingia Ngorongoro Tundu Lissu kuhutubia Taifa na Dunia mchana huu

Tupeni link
 
Jamaa siasa anaiweza sn
Ukatili wa Magufuli tuliona hata infastructure za kutudanganyia.

Ukqtili wa Samia mpqkq anagawa rasilimali zetu bila hofu
Huyu maza ni katili sn
 
Ningelikuwa kiongozi na kwakuwa wapo Mbugani ningewafurumishia mafisi na Simba wajue hatari za kuishi Mbugani dadeki 😁😁😁
 
Kuhutubia taifa na dunia?[emoji3][emoji3][emoji3] ila Nyumbu bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…