Hii ya kuwaogopesha kuwa wasioe vile maisha taiti ni kuwafanya waendeleze umalaya na uvivu, mwisho wa siku idadi ya watoto wa mitaani inaongezekaMwanaume Kama mambo yako hayajakaa vizuri alafu unatafuta kuoa au kuishi na Mwanamke huko ni kutafuta matatizo.
H[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha ni kuchagua mwenzio kwa siku na kula buku 3 nguo mtoto mpaka x-mass na maisha yanasonga wife analialia nikamwambia mrudishe mali yangu nikaoe mwingine we mali m9 alafu uje home bado nienyekeKuwa na familia sio mchezo hasa ukipata mwanamke classic
Nakumbuka niliwah kutaka kukimbia tulipoenda kununua nguo za mwanangu wa kiume wa wiki moja,karibia initoke 300,000 ilibidi niwe mkali mbele ya wauza maduka ila laki 2 ilifika
Vipi nilete posa ?Sikia, acha woga.
Wewe ukiwa mwenyewe unapika au unanunua chakula? Kama unanunua chakula una uwezo wa kuishi na mke.
Kama unapika vile vile una uwezo wa kuishi na mke.
Cha msingi chukua mwanamke anayoendana na hali yako ya maisha. Kula kuku sio lazima.
Mafuta ya kujipaka sio lazima yazidi elfu 10.
Hata hizo dagaa kilo ni nyingi sana sio lazima.
Vitu vingi hapo sio lazima.
Nunueni mahindi mkayasage mpate unga ni rahisi kuliko kununua kwa kilo.
Mchele kanunue sokoni ni cheap.
Hii ya kuwaogopesha kuwa wasioe vile maisha taiti ni kuwafanya waendeleze umalaya na uvivu, mwisho wa siku idadi ya watoto wa mitaani inaongezeka
Sisi wenye wake wanne tuna comment wapi?