Baada ya Lissu kutwaa madaraka, wale waliotenda makosa wakiwa madarakani wasamehewe tuanze upya au Sheria ifuate mkondo wake?

Baada ya Lissu kutwaa madaraka, wale waliotenda makosa wakiwa madarakani wasamehewe tuanze upya au Sheria ifuate mkondo wake?

Lissu atakuwa rais wa mioyo yenu kama ilivyokuwa kwa Lowassa.

Nadhani mafuriko aliyopata leo wakati anachukua form kule Dodoma yatakuwa yamempa somo.

Ni JPM tano tena hutaki kunywa sumu ufe
Kweli mkubwa Lissu atakuwa Rais wa Mioyo ya Nyumbu, JPM ataendelea kuwa Rais wa Tanzania.
 
Majibu tafadhali , ili mambo yasiwe mengi mwisho wa mwaka
 
Akifanikiwa kushinda hiyo October 28, 2020, CAG Assad aitwe ili afanye ukaguzi wa manunuzi ya ndege kwa trillion 2, ujenzi wa chato airport gharama zake halisi hadi leo hii hazijulikani, upotevu wa 2.7 trillions etc na kama kuna wizi au ufisadi wahusika wote wapandishwe kizimbani na kufilisiwa mali zao ili kulipa hasara kubwa kwa walipa kodi.

Kuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.

Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.

Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?

Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
 
1598456856146.jpeg


Sawa.

Maoni ya watanzania wengi ni yapi?
 
Akifanikiwa kushinda hiyo October 28, 2020, CAG Assad aitwe ili afanye ukaguzi wa manunuzi ya ndege kwa trillion 2, ujenzi wa chato airport gharama zake halisi hadi leo hii hazijulikani, upotevu wa 2.7 trillions etc na kama kuna wizi au ufisadi wahusika wote wapandishwe kizimbani na kufilisiwa mali zao ili kulipa hasara kubwa kwa walipa kodi.
Sheria ifuate mkondo wake
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kabisa Mkuu huwezi ukachezea trillions za walipa kodi halafu ukaja na sheria uchwara eti usipandishwe kizimbani kwa maovu yako uliyoyatenda ukiwa madarakani.

Sheria ifuate mkondo wake
 
Kuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.

Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.

Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?

Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
Mkuu, ni haki yako kujitia moyo, magufuli anachukua uraisi very very very soon, stay tuned mkuu
 
Kila mtu anapaswa kutii sheria bila shurti! Vinginevo sheria ifate mkondo wake.
 
Kinachotakiwa audio clips za Lissu zitolewe tujue alikuwa anafanya uhaini gani nyuma ya pazia. Sio kumfichia siri.
Kama ufisadi wa Nyalandu au EL mpaka alianzishiwa mahakama ya mafisadi ulitolewa basi hiyo clip ya Lisu itatoela
 
Hili swali is much better ukawaulize Azory, Luwena, Mawazo, Ben kutaja kwa uchaje jibu utakalopewa sisi wengine tuko tayari kufikiri.
 
Kuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.

Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.

Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?

Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
Lissu achukue madaraka wapi wewe? Hata huko CDM hawawezi kumfanya mwenyekiti kamwe
 
Back
Top Bottom