mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Madaraka yapi unayaongelea Mkuu,? Madaraka ya kusema CORONA ipo huku ukiendelea kufanya mikusanyiko ya kusaka wazamini?????Changia hoja kwa kujibu ulichoulizwa, dunia inaangalia mchango wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madaraka yapi unayaongelea Mkuu,? Madaraka ya kusema CORONA ipo huku ukiendelea kufanya mikusanyiko ya kusaka wazamini?????Changia hoja kwa kujibu ulichoulizwa, dunia inaangalia mchango wako.
Kweli mkubwa Lissu atakuwa Rais wa Mioyo ya Nyumbu, JPM ataendelea kuwa Rais wa Tanzania.Lissu atakuwa rais wa mioyo yenu kama ilivyokuwa kwa Lowassa.
Nadhani mafuriko aliyopata leo wakati anachukua form kule Dodoma yatakuwa yamempa somo.
Ni JPM tano tena hutaki kunywa sumu ufe
nothing lasts longerKweli mkubwa Lissu atakuwa Rais wa Mioyo ya Nyumbu, JPM ataendelea kuwa Rais wa Tanzania.
Wasamehewe, japo hawezi kutwaa madaraka.
My opinion.
Kumbe bado tuna safari ndefu sanaMadaraka? Lissu?[emoji15]
😆😆😆😆😆Kumbe bado tuna safari ndefu sana
Huu sasa ni mkwara Mbuzi. Dunia ipi hiyo inaangalia hii Mambo?Changia hoja kwa kujibu ulichoulizwa, dunia inaangalia mchango wako.
Kuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.
Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.
Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?
Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
Wasamehewe, japo hawezi kutwaa madaraka.
My opinion.
Sawa.That’s the good thing, it is your opinion which is not the opinion of many Tanzanians.
Maana yake upinzani ukishindwa. Uchaguzi hautakuwa wa huru.?
Sheria ifuate mkondo wakeAkifanikiwa kushinda hiyo October 28, 2020, CAG Assad aitwe ili afanye ukaguzi wa manunuzi ya ndege kwa trillion 2, ujenzi wa chato airport gharama zake halisi hadi leo hii hazijulikani, upotevu wa 2.7 trillions etc na kama kuna wizi au ufisadi wahusika wote wapandishwe kizimbani na kufilisiwa mali zao ili kulipa hasara kubwa kwa walipa kodi.
Sheria ifuate mkondo wake
Mkuu, ni haki yako kujitia moyo, magufuli anachukua uraisi very very very soon, stay tuned mkuuKuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.
Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.
Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?
Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.
Kama ufisadi wa Nyalandu au EL mpaka alianzishiwa mahakama ya mafisadi ulitolewa basi hiyo clip ya Lisu itatoelaKinachotakiwa audio clips za Lissu zitolewe tujue alikuwa anafanya uhaini gani nyuma ya pazia. Sio kumfichia siri.
Lissu achukue madaraka wapi wewe? Hata huko CDM hawawezi kumfanya mwenyekiti kamweKuna haja ya kulijadili hili mapema ili kutoana hofu, hasa baada ya Watanzania wengi kuahidi kumchagua Tundu Lissu ili awe Rais wao.
Bila shaka madaraka yanalevya na kuna wanaofahamika kutumia madaraka yao vibaya kwa kudhani kwamba watakuwa madarakani milele, sasa ni dhahiri kwamba muda wao umekwisha ghafla bila wenyewe kujiandaa, huku ikitajwa kwamba ujio wa lissu "The Game Changer" umeharakisha kung'oka kwao.
Sasa nimekuja kwenu wana JF kuuliza hivi, hawa waliotumia madaraka yao vibaya tuwakusanye uwanja wa Taifa tuwaonye na kuwakaripia kwa uchafu wao na kuwasamehe tu au tuache Sheria ichukue mkondo wake?
Kwa upande wangu mimi ni muumini wa kufuata Sheria na haki.