Baada ya mahojiano ya Chief Odemba na Tundu Lissu leo nimeelewa kwa nini dereva yuko Ubeligiji

Baada ya mahojiano ya Chief Odemba na Tundu Lissu leo nimeelewa kwa nini dereva yuko Ubeligiji

Nawaza kwa nini Tundu Lissu amesema kuna watu kadhaa wataitwa kwenye kesi ya Tigo.

Why kesi iwe ya Tigo lakini watu wengine wahusishwe? Wana muunganiko gani kati yao na tigo na tukio zima?
Kama kasema kuna watu wataitwa kwenye hiyo kesi basi tusubirie wakitwa ndiyo tutajua huo muunganiko
 
Yaani serikali itake kukua tundu lissu imkose?!!!!!!! Mnaumwa nyie, chunguzaneni vizuri chamani kwenu huko mnakobinywa na mwenye kigoda chake Huku nje mkijifanya kuchelewa ilhali ndani ya nafsi hampendi.
WEWE NI MMOJA WAO UNAYEJUA AU ULISHIRIKI, KWA SABABU SEREKALI YETU INADHALILIKA WEWE UMEKAA KIMYA. Mambo siyo ya kichawa NI serious. F*CK you
 
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.

Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.

Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
JESHI LETU LINAVURUGWA NA WANASIASA WAKUNWA WA CCM
 
Mtailalamikia polisi mpaka Yesu arudi.
Usitegemee polisi watende haki kwa wapinzani ikiwa hakuna katiba mpya.

Hii katiba imelilink moja kwa moja jeshi la polisi na wanasiasa, CPF (IGP) anateuliwa na mwanasiasa, CPF anawateua ma-RPC, upandaji vyeo wa jeshi la polisi unategemea mwanasiasa huyo huyo mteuzi (kuanzia ngazi ya ACP kupanda juu) hawa ma-ACP ndo ma-RPC, unategemea nini kama sio kufuata maelekezo na matakwa ya mwanasiasa ili wapande cheo?

Rejea sheria ya jeshi la polisi na polisi wasaidizi, waziri anatoa maelekezo kwa polisi kwa mujibu wa hiyo sheria, polisi wataenda kinyume?

Katiba mpya kwanza, jeshi liwe huru ili wasiingiliwe na wanasiasa
Kesi haipo kwenye Mahakama za Profesa Juma.
 
Haya makonda jiandae kwenda kujitetea mahakama za nje kuhusika kwako katika jaribio la kutaka kumuua mtanzania mwezako ili kumfurahisha mfalme.
Yaani huko ni lazima utakwenda tu maana kele hakuna Di Pi Piii wa kukufutia kesi.
 
Hili chezo ni lao wenyewe kwa wenyewe!
Dereva angesaidia sana ushahidi maana yeye ndiye shahidi namba moja,na ushahidi kwake ni simple sana ukizingatia naye ni muhanga kama Lisu.
(Inashangaza muhanga mwenza kujificha, wakati tatizo lilikuwa lao wote)
--# hicho ndicho kitendawili?
We jamaa una akili ndogo sana ya kuchanganua mambo, Zile CCTV Camera mbona zilikua ushahidi tosha, jiulize kwanini zilinyofolewa na wasiojulikana

Hao polisi walishafanya uchunguzi wa nani alingoa cctv?
 
Yaani serikali itake kukua tundu lissu imkose?!!!!!!! Mnaumwa nyie, chunguzaneni vizuri chamani kwenu huko mnakobinywa na mwenye kigoda chake Huku nje mkijifanya kuchelewa ilhali ndani ya nafsi hampendi.
Samson mwenye nguvu akawafunga mikia wale mbweha,akawaachia kwenye mashamba ya ngano na shairi na yule mama Sambaza Shida Hangaisha a.k.a chura kiziwi akasema kwa polisi wake uchunguzi ufanywe na apewe taarifa haraka,hadi leo Novemba HARAKA haijafika!Hata kwa mzee Kibao mbweha wanaliofungwa mikia wanashangilia mauaji kwenye nchi ya amani na utulivu na nyimbo zao ni chunguzaneni na sio kodi zetu wanalipwa polisi kwa kazi ipi,ya kuteka au kupiga?
 
Back
Top Bottom