Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliomkosakosa? Risasi 16 zilipenya mwilini. Tosha kumuangusha hata tembo! Hakuna cha ujinga labda upumbavu kwa waliopanga tukio.
Anyway, Lissu leo hii ni jinamizi linalosotesha watawala. Hata JPM hakuwa na ujasiri wa kukutana na Lissu mpya face to face au kupeana mikono. Hata kutaja jina lake tu.
Tafakari dereva anaushahidi gani?, labda ushahidi wa mambo ya bosi wake? (Lichukue tukio jipe wewe binafsi utapata jawabu)Nakuhakikishia akikanyaga hapa Tanzania lazima atapotezwa na wasiojulikana na hivyo kupoteza ushahidi!
Unajitambua wewe? Siku hao unaowalaumu kwa kukosa shabaha wakulenge wewe au mwanao urudi hapa kushangilia ujinga wa wanasiasa wendawazimu!Waliomkosakosa nao wajinga sana
Over!
Jaribu kuishirikisha akili yako vyema kabla uandike huu upuuzi wako hapa! Kama kwenye chama Chao Kuna muuaji kwanini basi polisi isichunguze na kuwabaini? Au nao wapo juu ya Sheria? Unaichafua polisi kimtindo siyo? Yaani muuaji awe cdm halafu hao policcm wamwache tu badala ya kuchukua ujiko ili wapande vyeo! Na zile cctv camera kwenye nyumba aliyokuwa akiishi kalemani zilinyofolewa na cdm?Yaani serikali itake kukua tundu lissu imkose?!!!!!!! Mnaumwa nyie, chunguzaneni vizuri chamani kwenu huko mnakobinywa na mwenye kigoda chake Huku nje mkijifanya kuchelewa ilhali ndani ya nafsi hampendi.
Ongeza fikra, kama unaweza na kama uko honest.Tafakari dereva anaushahidi gani?, labda ushahidi wa mambo ya bosi wake? (Lichukue tukio jipe wewe binafsi utapata jawabu)
Nani aliyetoa kamera za usalama [mahali ambapo polisi wapo muda wote]?Aliyewahi eneo la tukio alikuwa ni nani?
Aliyewahi kutoa taarifa ITV ni nani?
Binafsi sio tatizo kwa dereva kabisa, naye ni muhanga kama lissu, walitaka kuuwawa, aidha labda dereva awe alikuwa informer kueleza bandits wapo wapi kwa muda fulani.Ongeza fikra, kama unaweza na kama uko honest.
Katika mazingira ya sasa, julize: dereva akiwasili Tanzania, akaripoti kituo cha polisi kisha kupotea kabisa kama kina Soka, taarifa na HITIMISHO la polisi litakuwaje?
Me nakulombaMalaya katika ubora wako! Aibu mwanaume kujibinua binua mbele ya hadhara!
Kwa fikra zako, polisi wako zero kabisa katika kufahamu tukio hili hadi hapo dereva wa Tundu Lissu atakapokuja Tanzania na kuwaeleza kilichotokea na "hao aliokuwa akiwasiliana nao"?Binafsi sio tatizo kwa dereva kabisa, naye ni muhanga kama lissu, walitaka kuuwawa, aidha labda dereva awe alikuwa informer kueleza bandits wapo wabi kwa muda fulani.
Unaisikia inakuingia...Kiboga wewe!
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.
Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.
Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
Itakumbukwa kuwa IGP Simon Siro alisema polisi wameshindwa kuendelea na uchunguzi wa kisa cha Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hakuwepo Tanzania. Lakini hata baada ya Lissu kurejea nchini bado polisi walisema hawawezi kuendelea na uchunguzi hadi dereva wake naye arejee kwa sababu ndiye aliyeshuhudia risasi zikipigwa. Lakini pia hadi leo polisi hawajafungua jalada la uchunguzi wa tukio hilo la kijinai na kigaidi.
Katika mahojiano hayo Lissu amesema anaishtaki kampuni ya Tigo kwa kuhusika kwake kutoa taarifa zilizofanikisha Makonda na genge lake kumpiga risasi.
Kwa sasa Tundu Lissu amekamilisha maadalizi ya kufungua kesi hiyo na miongoni mwa watu watakaoitwa kutoa ushahidi ni polisi, Makonda na dereva. Kwa sababu hiyo ni wazi dereva ni mtu muhimu sana katika kesi hiyo na kuja kwake nchini kunaweza kusababisha ushahidi wake kupotea au kupotezwa. Nadhani imeeleweka " kupotea au kupotezwa"!
Naona umelala usingizi mzito wa phonograph kabisa.....😁Rostam Aziz anahusika?