Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DasaniWahuni wanachakachua sana maji ya chupa ya Kilimanjaro. Mimi nina zaidi ya mwaka mzima sinywi maji ya Kilimanjaro. Maji yangu pendwa kwa sasa ni Dew Drop.
View attachment 3138044
Je wewe unakunywa maji gani?
Maji AfricaWahuni wanachakachua sana maji ya chupa ya Kilimanjaro. Mimi nina zaidi ya mwaka mzima sinywi maji ya Kilimanjaro. Maji yangu pendwa kwa sasa ni Dew Drop.
View attachment 3138044
Je wewe unakunywa maji gani?
Huwezi kujua nawasaidia kiasi gani Coca-Cola waweze kulinda brand yao kwa vile kuna watu wanaichezea.Unaharibu brand ya watu kwa faida ya nani?
Tanzania UdzungwaHaya ni ya Uganda, je yanafika Tanzania?
Dew Drop nayo yameshaanza kuchakachuliwa. Maji mazuri kuliko yote ni SEQWA. Tatizo hayapo maeneo menWahuni wanachakachua sana maji ya chupa ya Kilimanjaro. Mimi nina zaidi ya mwaka mzima sinywi maji ya Kilimanjaro. Maji yangu pendwa kwa sasa ni Dew Drop.
View attachment 3138044
Je wewe unakunywa maji gani?
Wanachakachua vipi? Wanaongeza maji kama wauza maziwa wanavyofanya?Wahuni wanachakachua sana maji ya chupa ya Kilimanjaro. Mimi nina zaidi ya mwaka mzima sinywi maji ya Kilimanjaro. Maji yangu pendwa kwa sasa ni Dew Drop.
View attachment 3138044
Je wewe unakunywa maji gani?
In Heaven There is No beer 🍺🍻🥂🥃
Thats Why we are drinking Here🥃🍺
And when we're all gone from here😭
Our friends will be drinking all the beer🤔
View: https://youtu.be/iZ62leeztW4?si=ej3TzAuSWgO10Roo
Hayo ni maandishi tu kama maandishi mengine kwenye bidhaa nyengineIvi ni kweli huwa yana chakachuliwa, hayo ya dew drop yana pH ya ngapi ?
TBS hawalindi tena mlaji.wengine tunatumia malagalasi au BunenaHuwezi kujua nawasaidia kiasi gani Coca-Cola waweze kulinda brand yao kwa vile kuna watu wanaichezea.
Pia naokoa na maisha ya Watanzania wanaweza kunywa maji ambayo siyo salama.
Naomba uliangalie hili in the big picture ba siyo kwa mtazamo huo