antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Pombe ipooooo...There's no beer 🍺 in heaven, so drink it here.
View: https://youtube.com/watch?v=LW7e3PudD7k&si=40SCQquznk6nWGTV
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe ipooooo...There's no beer 🍺 in heaven, so drink it here.
Nimechagua kuwa takataka😁😁nipe.usiponipa nawewe ni takataka
Hennessy ni nini na wanaçhakachua vipi?Mkuu,Kama watu wanachakachua Hennessy watashindwa Maji?
Aya yana undugu na maji fulani zamani sijui yaliitwa Aqua Sipi?Maji bora haya hapa
View attachment 3138377
Yamechakachuliwa vipi? acha kuharibu Biashara za watu, Maji kinacho uzwa ni ile process yote hadi Packaging na kusambaza. Maji kama maji hayauzwi,Wahuni wanachakachua sana maji ya chupa ya Kilimanjaro. Mimi nina zaidi ya mwaka mzima sinywi maji ya Kilimanjaro. Maji yangu pendwa kwa sasa ni Dew Drop.
View attachment 3138044
Je wewe unakunywa maji gani?
Na wajinga humu wana sapoti ujinga bila kujiuliza, nchi ina wajinga wengi sana wasio waza chochote yaani wewe anzisha uzushi watajaa kusapoti.Unaharibu brand ya watu kwa faida ya nani?
Ni KileoHennessy ni nini na wanaçhakachua vipi?
Kwani ni uongo hayajachakachuliwa tatizo nyie madogo mnakunywa sana pombe Radha ya maji mtaijua saa ngapi?Unaharibu brand ya watu kwa faida ya nani?
Kwa hiyo unajiona una akili na mjanja fulani vile?? Kwenye usilolijua chutama ujuzwe.Na wajinga humu wana sapoti ujinga bila kujiuliza, nchi ina wajinga wengi sana wasio waza chochote yaani wewe anzisha uzushi watajaa kusapoti.
Hao ni wafanyakazi waliofukuzwaPole sana hayo maji ya dew drop nfo yanaongozwa kwa kuchakachuliwa na mwakajana walikamata viwanda bubu vya dewdrop huko tunduma
Acha ujingaKwa hiyo unajiona una akili na mjanja fulani vile?? Kwenye usilolijua chutama ujuzwe.
Kwani ukiacha post yangu namba moja, hujasikia na members wengine wanaongelea namna wahuni wanavyotengeneza maji backyard kwa kutumia brand packaging za wazalishaji wakubwa??
Huoni hii ni wake up call kwa Kilimanjaro kufuatilia soko lao? Fungua akili yako ione the big picture