Baada ya Maji ya Kilimanjaro Kuchakachuliwa, Je Maji Yako Bora ni Yapi?

Baada ya Maji ya Kilimanjaro Kuchakachuliwa, Je Maji Yako Bora ni Yapi?

Maji bora haya hapa
images.jpeg
 
Kibiashara ni vigumu kuchakachua maji ya Kilimanjaro kuliko maji ya kampuni zingine, na hiyo ni kwa sababu kuu moja tu, maji yale kipekee yanazalishwa na kiwanda cha Bonite kule Moshi, na hao wazalishaji wanasimamia wao wenyewe mchakato wote wa kusambaza kuanzia kuyatoa kiwandani mpaka kwa muuzaji wa mwisho na randomly kila hatua mara kwa mara huchukua sampuli ili kwenda kuzipima.

Ikiwa mzalishaji mwenyewe anasimamia na kuhodhi supply chain ya bidhaa zake, sio rahisi kuingiza mzigo fake.
 
Back
Top Bottom