Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Watu wa wamikoani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa wamikoani
Jitahidi kuweka facts zaid8 la sivyo utakuwa unavunja kakuni za JamiiForumsWahuni wanachakachua sana maji ya chupa ya Kilimanjaro. Mimi nina zaidi ya mwaka mzima sinywi maji ya Kilimanjaro. Maji yangu pendwa kwa sasa ni Dew Drop.
View attachment 3138044
Je wewe unakunywa maji gani?
Dew drop sijawahi kuyapenda, japo wamejitahidi sana kwenye muonekano mzuri wa chupa zaoIvi ni kweli huwa yana chakachuliwa, hayo ya dew drop yana pH ya ngapi ?
Hii wameshaichakachua, kuna ambayo nimekunywa juzi yananukia dawa tupu(shab)
Sio kweli ...maji halisi ya Kilimanjaro ni yale yanayozalishwa Moshi na kampuni ya Bonite na haya husambazwa mikoa hasahasa ya Kaskazini .Kiwanda cha CocaCola Mwenge wanazalisha pia maji ya Kilimanjaro kwa kutumia formula ileile ila yana ladha tofauti na yale ya Moshi na haya ndio yanasambazwa sehemu kubwa Tanzania.Kibiashara ni vigumu kuchakachua maji ya Kilimanjaro kuliko maji ya kampuni zingine, na hiyo ni kwa sababu kuu moja tu, maji yale kipekee yanazalishwa na kiwanda cha Bonite kule Moshi, na hao wazalishaji wanasimamia wao wenyewe mchakato wote wa kusambaza kuanzia kuyatoa kiwandani mpaka kwa muuzaji wa mwisho na randomly kila hatua mara kwa mara huchukua sampuli ili kwenda kuzipima.
Ikiwa mzalishaji mwenyewe anasimamia na kuhodhi supply chain ya bidhaa zake, sio rahisi kuingiza mzigo fake.
Maji matamu sana haya, Kilimanjaro hainusiWatu wa wamikoani
Haya ni maji ya ziwa. Ziwa lipo very much polluted.Jambo
Una uhakika..?? Nikupe tips za fake yake..??maji ni afya mengine takataka
Mfalme huyoAfya
Kuna zaidi ya Dewdrop kweli!? Hao jamaa wako vizuri sana.Wahuni wanachakachua sana maji ya chupa ya Kilimanjaro. Mimi nina zaidi ya mwaka mzima sinywi maji ya Kilimanjaro. Maji yangu pendwa kwa sasa ni Dew Drop.
View attachment 3138044
Je wewe unakunywa maji gani?
Mkuu,Kama watu wanachakachua Hennessy watashindwa Maji?Wanachakachua vipi? Wanaongeza maji kama wauza maziwa wanavyofanya?
Hicho tu 😂 😁Kasumba ya ushabiki na upya wa bidhaa
nipe.usiponipa nawewe ni takatakaUna uhakika..?? Nikupe tips za fake yake..??