King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wavunje tu maana hakuna wanacho regulate zaidi ya kufuata maelekezo ya wanasiasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Line ya tigo nabonyeza *148*00# vinakuja vile vile tu vipya vya kidwanzi.Mzigo umerudi kama kawaida usipokuwa bundles za simu na sms ola internet ni kama kawaida
Nadhani kesho ndio watarekebisha maana inabidi warekebishe databaseline ya tigo nabonyeza *148*00# vinakuja vile vile tu vipya vya kidwanzi.
[emoji120][emoji120][emoji120] mkuu.Nadhani kesho ndio watarekebisha maana inabidi warekebishe database
UhakikaAngekuwa fulani angesema tunapoteza muda wa kulima kwenye mitandao hivyo tutwangwe haswaaa na angeungwa mkono. Haya mzee Slaa tayari tangazo lingine limetoka wahi ukapongeze. Yani ukimaliza huu mwezi ukiwa balozi nenda katambike!
ni kweli mkuu inapaswa serikali kabisa iwajibikeMngesimama kwenye mafuta ya kula na cement kama mlivyosimama kwenye bundle mngekua mmefanya lamaana sana.
Nacho one inaweza ikibaki hivyo hivyo lakini bando la 10000 likaisha ndani ya week kwa matumizi yale yaleDaah kuna watu watashangilia vikirekebishwa, na kusahau kuwa wametengeneza mwenyewe hilo tatizo........
saa sita tayari mkuuHata Voda ngoma bado iko vilevile,labda wanasubiri saa sita usikuView attachment 1741643
😊"sio wote twataka kujenge" 🤔🤔Bundle sikuhizi ni muhimu mno, hafu mafuta ya kula waweza kula nchensho, pia cement sio wote twataka kujenge
Hata ile ya loan board tulivyolalamika makato kutoka 8-15% mama angewasikiliza tu nadhani ingebaki tu hiyo 8Angekuwepo bwana yule angefurahia sana kupanda kwa gharama maana walifanya hivi kumfurahisha mfalme Alfu Lela Ulela. Jamaa alihakikisha wanatengeneza Regulations ili kubana hela ipatikane maana aliona akiendelea kuzima mitandao atakosa kodi na hakuwa na akili ya kutafuta means mpya za Kodi. Kudos serikali ya Rais Samia Suluhu kwa kusikia kilio chetu watanzania maana hii ilikuwa disaster.
Wamesema wanaipitia and funny enough this time wanakiri ilikuwa kandamizi sana😃😃 Ila farao alikuwa katili sanaHata ile ya loan board tulivyolalamika makato kutoka 8-15% mama angewasikiliza tu nadhani ingebaki tu hiyo 8
Mkuu na uko kwenye uchumi mkubwa mawasiliano yamewekwa kwenye huduma za kijamii gharama ni ndogo sana tena sana. Wanalipa internet cheap sana kuliko kwetu. Hii iliwekwa na Marehemu ili kuzibiti watu kupata taarifa. Aliyeondoa huu ujinga hongera nyingi kwakeKwakweli isitishe tuu.. Hongera kwao kwa kusiliza Sauti za Wenye nchi.
Internet imekua ni miongoni mwa haki za kibinaadamu.. kwahiyo upatikanaji wake uendane na hali za wananchi husika..
Watanzania bado ni Masikini hawajajiweza kiuchumi bado kumudu gharama kali za vifurushi vya mitandao
Bimkubwa nae kamuacha hapo hapo.. Inabidi AMBANDUE hapo, bila ndugulile KUBANDULIWA tatizo liko pale pale.Ila Magufuli nae alizingua sana..daktari wa binadamu unampa vipi wizara ya teknolojia na mawasiliano