[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila hawa wasomi wetu ,changamotoHatari sana
Ushindani usio na bei elekezi ulifanya kampuni za simu zishindanie wateja... Bei ELEKEZI NI HATARI
Itatusaidiaa sana ...Nadhani madame Samia jumanne anaweza kufanya Jambo kwenye hii wizara inayoongozwa na daktari wa binadamu. Alizungumza Jana kwenye hotuba yake kuwa anawapanga mawaziri kulingana na angalau taaluma zao ziendane na matakwa ya wizara husika atakayokwenda kuiongoza!
Ni wakati sahihi kumpeleka huyu Ndugulile kunakomfaa yaani wizara ya afya kwani huku kwenye mawasiliano anakwama mno! Madame tutanyie wepesi jumanne mbali!
Hili jambo lilikuwa likifanyiwa kazi na kamati ya serikali iliyopita mkuu na siyo hii ya sasa ni zaidi ya miezi miatu nyuma nafikiri.Create a problem-Solve a problem-Become a Hero.
Serikali ya kiki
Watu kama Dr.Mihogo ndiyo wale Bwege aliwaita mbumbumbu, "akiulizwa una njaa anajibu ndiyo, umeshiba anajibu ndiyo, why?"Angekuwa fulani angesema tunapoteza muda wa kulima kwenye mitandao hivyo tutwangwe haswaaa na angeungwa mkono. Haya mzee Slaa tayari tangazo lingine limetoka wahi ukapongeze. Yani ukimaliza huu mwezi ukiwa balozi nenda katambike!
Ile ni parody account bro!Walikuwa wanapima upepo tu na hili tulilisema humu.
Mitandao ina nguvu sana!
Dr.Slaa sasa atapongeza uamuzi huu
Ni moja kati ya Waziri ambaye yupo nyuma sana kitechnologia.... na ni mshenzi tuHili linajulikana
Wanampima madam president
Sijui kama j4 kumekucha salama kwa waziri huyu
Hili lilitengenezwa kipindi cha mwendazakeDaah kuna watu watashangilia vikirekebishwa, na kusahau kuwa wametengeneza mwenyewe hilo tatizo........
Lile la Polisi nasikia wamelitenguaakitoka hapo akemee na matamko ya kipuuzi ya polisi pamoja na ukamataji usiyofuata sheria
Nafikiri walishafikia maamuzi walipokutana TCRA na mitandao ya simu pamoja na huyo Waziri mjinga miezi kadhaaa huko nyuma.Credit atapewa Samia Suluhu Hassan badala ya wapiga kelele mitandaoni.
Ndugulile tunakutaka ujiuzulu. Umeshindwa kumshauri rais.
Na asisahau na yule mhandisi CEO wa TCRA pia, manake naye atakuwa mhusika muhimu, unless kama maagizo ni kutoka juu. Vilevile malengo ya trilioni 2, kwa mwezi tumeshaambiwa lazima yafikiwe!Samia pita na hicho kichwa cha waziri jamani utukoshe roho
Ujinga sana huuHili lilitengenezwa kipindi cha mwendazake
Nikweli anahitaji msaada maana yupo nyuma sana.......Asaidiwe tuCredit atapewa Samia Suluhu Hassan badala ya wapiga kelele mitandaoni.
Ndugulile tunakutaka ujiuzulu. Umeshindwa kumshauri rais.