Baada ya Malalamiko ya wananchi, Serikali yasitisha bei mpya za vifurushi

Hii taarifa
Ina shaka kiasi fulani

Embu tuwe wa kweli hasa mleta uzi.....
 
Wameshusha mtandao gani mbon huku halotel bon makamuzi bado yanaendelea?
 
Walikuwa wanapima upepo tu na hili tulilisema humu.

Mitandao ina nguvu sana!

Dr.Slaa sasa atapongeza uamuzi huu

Walikuwa wanapima upepo tu na hili tulilisema humu.

Mitandao ina nguvu sana!

Dr.Slaa sasa atapongeza uamuzi huu
Dr Slaa tunakuomba ujitokeze kwa mara nyingine tena kupongeza serikali .

Usaliti ni laana
 
Apo no discussion.....watuache pale pale pa mwanzo zen tusizungumzie tena gharama za bandle.
 
Angekuwepo bwana yule angefurahia sana kupanda kwa gharama maana walifanya hivi kumfurahisha mfalme Alfu Lela Ulela. Jamaa alihakikisha wanatengeneza Regulations ili kubana hela ipatikane maana aliona akiendelea kuzima mitandao atakosa kodi na hakuwa na akili ya kutafuta means mpya za Kodi. Kudos serikali ya Rais Samia Suluhu kwa kusikia kilio chetu watanzania maana hii ilikuwa disaster.
 
Mbona bado vile vile ktk line zangu?au nmeelewa vby mkuu.
 
Kichwa kichafu sio kweri sijaona kusitishwa mbona bado ipo vilevile tu.
 
Aliecreate tatizo anajifanya kulisove then watu we weeeee kama mazuzu yani. Hivi wakati wanapelekewa karatasi ya mabadiliko ya vifurishi mezani hawakuliona tatizo la kupandishwa hovyo kwa vifurushi mpaka wakaidhinisha!!!
 
Mkuu kwa mara nyingine niruhusu nikupongeze. Huwa napenda sana style yako ya uandishi ikisindikizwa na reference na facts kutoka vyanzo mbalimbali.

Natamani wana JF wote tungekuwa hivi kuliko kuongea tu rumours bila ushahidi kuback hoja.
 
Ukisoma hiyo barua inakwambia toka February hayo maagizo yalitoka, Ina maana Hayati ndio alilitengeneza hili jambo Mama limemwangukia tu.

Twambie mkuu kwenye hiyo barua inaonesha vifurushi vilitakiwa kupanda au kushuka? Hebu soma tena.


CCM mbele kwa mbele
 

asante Mama samia kwa kusikiliza kilio chetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…