Tena anawajua vizuri sana!Mama amehemukwa, nafikiri hii nafasi alikuwa anaisubiria kwa hamu sana na ameitendea haki....
Sasa hivi kila atakaeinua mdomo juu ya mama itaonekana ni joto la 2025, nilichofurahi Mama anawajua maadui zake.
Ndugai jana ilibidi akanushe sio kuomba radhi, Sasa ameomba radhi na kichambo kapewa juu....
Mama kaita CCM nchi nzima imsaidie kumchamba Ndugai[emoji23][emoji23][emoji23]
Walionacho ndio wenzake kwa taarifa yako. Ndio maana bei za bidhaa karibu zote zimekaa tangu akabidhiwe kijitiTukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Mama amedhihirisha kuwa uanamke wake una athiri u rais wake......Nakumbuka fulani aliwahi kutoa kauli ya kupumzika siasa 2025, alichofanya "mwenye nchi" leo ni kuonesha yeye binafsi anavyoiwaza 2025 na ameshanogewa na cheo, ndio maana alikuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzake 2025 ni zamu yao.
Mengi ya maneno aliyotoa kumjibu mwenzake leo ni mihemko tu na kuchamba kama zilivyo tabia za wanawake wengi, lakini hana hoja yoyote ya msingi.
Kwa hii kauli yake ya leo inawezekana akaamsha vita ya chini chini ambayo hatajua ukubwa wake na miongoni mwa adui zake watakuwa hao wanaompigia vigelegele leo.
In reality, Rais wa JMT ndio kila kitu hapa Tanzania.Unakosea sana unaposema Rais ni boss wa Spika! Unbelievable!
That code is a bullshit story that is bound to be inoperable for a while since its clear that it was based on lucky. The reli groups have no influence only that Vatican has.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
I migh end up being right again!Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Paskali
Uko sahihi huyu jamaa ni jeuri na hashauriki kabisa... Imagine mtu anawaambia wabunge mimi naweza kukuzuia usiongee humu ndani for 5 yrs na huna cha kunifanya!!Kwa hulka yake, hawezi kuresign! Kama aliweza kumtandika rungu la kichwa hadharani mwenzake kwenye uchaguzi, hawezi ku-do the needful! he is here to stay otherwise wamng'oe!
In reality, Rais wa JMT ndio kila kitu hapa Tanzania.
Mgogo inampasa a do the needful
Uzuri wa hii vita ni kwamba inazidi kuudhihirishia umma, ikiwemo mihimili ya bunge na mahakama, udhaifu na mapungufu makubwa ya katiba yanayopigiwa kelele. Bunge lilidhani kwamba madai ya katiba ni ya wapinzani pekee but now limeonja joto la jiwe. In the same lime mihimili wa mahakama umeona kilichotokea, na kama wasemavyo wahenga wenzio akinyolewa wewe tia maji...Mtu wetu hatakiwi kufanya hicho unachotazamia kuifanya......kwa kilichoonekana ni kwamba taasisi ya u rais imelewa madaraka....na haikubali kupokea mawazo au maoni yanayokinzana na utashi wao......
Taasisi ya u rais imejaa ubabe na utemi unaojengewa kiburi na KATIBA mbovu.......
Hii inaonyesha ni jinsi gani tuna mhimili dhaifu kwa kuwa serikali imetawaliwa na ubabe badala ya hoja.........
Tuna watawala wanafiki wasiokubaliana na kile walicho tuhakikishia kuwa wanakiamini.....
Mama amehemukwa, nafikiri hii nafasi alikuwa anaisubiria kwa hamu sana na ameitendea haki....
Sasa hivi kila atakaeinua mdomo juu ya mama itaonekana ni joto la 2025, nilichofurahi Mama anawajua maadui zake.
Ndugai jana ilibidi akanushe sio kuomba radhi, Sasa ameomba radhi na kichambo kapewa juu....
Mama kaita CCM nchi nzima imsaidie kumchamba Ndugai[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu Spika wacha yamkute.......Kuna vita kubwa sana inayoendelea ndani ya CCM kwenye ulimwengu wa Rohoo.
Unayoyaona haya kwenye ulimwengu wetu wa nyama yameanzia kwenye ulimwengu wa Rohoo.
Spika Ndugai yamemkuta anawasimamisha bungeni Gwajima na wezeka kutetea kauli za Serikali. Leo hii yamemkuta kwake hata jukwaa la kwenda kujitetea hana,
Mwezake Gwajima anaongea na waumini wake kanisani Ndugai hata wabunge wake akiamuwa kuwaita ili hajitetea watamkataa.
Haya maisha Rafik wa kweli utamjua kwenye matatizo
We jamaa acha unafiki, mbona Prof Mkenda alipotukanwa mjinga ulisema boss hakosei? Mbona hukusema Prof ajiuzulu? Weka mambo wazi kuna tatizo hapa nchini.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
I migh end up being right again!Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Paskali
Hakuna kiongozi hapo! Ni ubabaishaji tu.In reality, Rais wa JMT ndio kila kitu hapa Tanzania.
Mgogo inampasa a do the needful
Hakika mkuu.....Uzuri wa hii vita ni kwamba inazidi kuudhihirishia umma, ikiwemo mihimili ya bunge na mahakama, udhaifu na mapungufu makubwa ya katiba yanayopigiwa kelele. Bunge lilidhani kwamba madai ya katiba ni ya wapinzani pekee but now limeonja joto la jiwe. In the same lime mihimili wa mahakama umeona kilichotokea, na kama wasemavyo wahenga wenzio akinyolewa wewe tia maji...
Tuliza mshono wewe, mama ni lazima awakumbatie walipa kodi wakubwa siasa za kijinga za Ujamaa zimeiua Nchi hii.Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Kwani ndugu huwezi kumkosoa hoja ya mtu bila ya kutumia lugha chafu....??We jamaa acha unafiki, mbona Prof Mkenda alipotukanwa mjinga ulisema bosa hakosei? Weka mambo wazi kuna tatizo hapa nchini.
Hivyo ni unavyowaelewa wewe mkuu...ninavyowaelewa wanawake akisema sana ujue amesamehe.
..hivyo naamini kwa dhati Maza amemsamehe Ndugai.