Kuna vita kubwa sana inayoendelea ndani ya CCM kwenye ulimwengu wa Rohoo.
Unayoyaona haya kwenye ulimwengu wetu wa nyama yameanzia kwenye ulimwengu wa Rohoo.
Spika Ndugai yamemkuta anawasimamisha bungeni Gwajima na wezeka kutetea kauli za Serikali. Leo hii yamemkuta kwake hata jukwaa la kwenda kujitetea hana,
Mwezake Gwajima anaongea na waumini wake kanisani Ndugai hata wabunge wake akiamua kuwaita ili ajitetee watamkataa.
Haya maisha Rafiki wa kweli utamjua kwenye matatizo
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Nakumbuka fulani aliwahi kutoa kauli ya kupumzika siasa 2025, alichofanya "mwenye nchi" leo ni kuonesha yeye binafsi anavyoiwaza 2025 na ameshanogewa na cheo, ndio maana alikuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzake 2025 ni zamu yao.
Mengi ya maneno aliyotoa kumjibu mwenzake leo ni mihemko tu na kuchamba kama zilivyo tabia za wanawake wengi, lakini hana hoja yoyote ya msingi.
Kwa hii kauli yake ya leo inawezekana akaamsha vita ya chini chini ambayo hatajua ukubwa wake na miongoni mwa adui zake watakuwa hao wanaompigia vigelegele leo.
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...
That code is a bullshit story that is bound to be inoperable for a while since its clear that it was based on lucky. The reli groups have no influence only that Vatican has.
Kwa hulka yake, hawezi kuresign! Kama aliweza kumtandika rungu la kichwa hadharani mwenzake kwenye uchaguzi, hawezi ku-do the needful! he is here to stay otherwise wamng'oe!
Uko sahihi huyu jamaa ni jeuri na hashauriki kabisa... Imagine mtu anawaambia wabunge mimi naweza kukuzuia usiongee humu ndani for 5 yrs na huna cha kunifanya!!
Mtu wetu hatakiwi kufanya hicho unachotazamia kuifanya......kwa kilichoonekana ni kwamba taasisi ya u rais imelewa madaraka....na haikubali kupokea mawazo au maoni yanayokinzana na utashi wao......
Taasisi ya u rais imejaa ubabe na utemi unaojengewa kiburi na KATIBA mbovu.......
Hii inaonyesha ni jinsi gani tuna mhimili dhaifu kwa kuwa serikali imetawaliwa na ubabe badala ya hoja.........
Tuna watawala wanafiki wasiokubaliana na kile walicho tuhakikishia kuwa wanakiamini.....
Uzuri wa hii vita ni kwamba inazidi kuudhihirishia umma, ikiwemo mihimili ya bunge na mahakama, udhaifu na mapungufu makubwa ya katiba yanayopigiwa kelele. Bunge lilidhani kwamba madai ya katiba ni ya wapinzani pekee but now limeonja joto la jiwe. In the same lime mihimili wa mahakama umeona kilichotokea, na kama wasemavyo wahenga wenzio akinyolewa wewe tia maji...
Kuna maneno yaliyotumiwa na hao WanaCCM kumjibu Mh Ndugai ambayo hayana heshima na staha. Mh Rais alitakiwa asiwasifie kijumla jumla angejitenga nayo.
Lakini ndio hivyo siasa hulevya wakati mwingine usipokuwa makini. What goes around comes around iko siku isiyojulikana yatamrudi.
Tukiacha unafiki Mh Rais yeye mwenyewe alimjibu Spika kwa umahiri mkubwa na Gavana wa BoT akaongezea icing sugar kwenye keki ya respond ya Mh Rais.
Hebu jaribu kufikiria maneno ya yule Mzanzibar wa Njombe! Yale yameandaa mazingira hatarishi ya kubomolewa CCM siku za mbeleni yatakapotumiwa kama rejea.
Kuna vita kubwa sana inayoendelea ndani ya CCM kwenye ulimwengu wa Rohoo.
Unayoyaona haya kwenye ulimwengu wetu wa nyama yameanzia kwenye ulimwengu wa Rohoo.
Spika Ndugai yamemkuta anawasimamisha bungeni Gwajima na wezeka kutetea kauli za Serikali. Leo hii yamemkuta kwake hata jukwaa la kwenda kujitetea hana,
Mwezake Gwajima anaongea na waumini wake kanisani Ndugai hata wabunge wake akiamuwa kuwaita ili hajitetea watamkataa.
Haya maisha Rafik wa kweli utamjua kwenye matatizo
Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...
Uzuri wa hii vita ni kwamba inazidi kuudhihirishia umma, ikiwemo mihimili ya bunge na mahakama, udhaifu na mapungufu makubwa ya katiba yanayopigiwa kelele. Bunge lilidhani kwamba madai ya katiba ni ya wapinzani pekee but now limeonja joto la jiwe. In the same lime mihimili wa mahakama umeona kilichotokea, na kama wasemavyo wahenga wenzio akinyolewa wewe tia maji...
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.