Hi JF Team,
Poleni sana kwa shambulio hili. Kuna wengine tuna idea na mambo ya mitandao, nilipoona tu jana kuwa JF haiko hewani nikajua kuwa huo ulikuwa ni uharamia na njama za maksudi ili kuzuia kile kilichokuwa kinajiri kwenye matukio ya kupiga kura ili kuwanyima haki Watanzania wasipate taarifa muhimu za Uchaguzi.
Tunalaani kwa nguvu zote kitendo hiki cha kiharamia.