Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

Status
Not open for further replies.
Du! Mimi nilijua MB zangu zimekata kumbe kulikuwa na hujuma? Asante kwa taarifa.
 
melo nakushukuru. mim nimezima cmu mara nyingi lakini olaaah. apa kituo tunapga picha na kutuma humu ili tuone bao la mkono
 
Duh! Poleni sana management ya JF, Hii ndo bongo junayoijua! Yaani kila kitu ni kuharibiana tu ilimradi kumharibia Mtu! Mungu atawalinda Daima.
 
Safii sanaa Kiongozi
Nilishindwa kuipata jf tokea saa nane mchana ...hao watu na walaaniwe
 
Nimetaabika sana leo Max na team nzima poleni na hongereni kwa kushinda hila za shetani. Long live JF
 
Daaah me nikajua Wenda simu yangu inazngua na hatmaye kunipelekea kuanza kuichokonoa simu yangu
 
Katiba ya jamhuri ya muungano, bara ya 18 na 21 kifungu cha pili?. ni haki ya kila raia kutoa ama kupokea taarifa na ni wajibu wake pia kuzitumia taarifa hizo kwa maendeleo ya taifa.

Wamejaribu lakini wameshindwa.
Wameshindana lakini wameshindwa.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Bora mmerudi. Hali ilikua tete,waliofanya hujma wapofuke
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom