HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Oct 25, 2015 #141 Invisible said: Naam, hakukuwa na kuguswa kwa data bali kuzuia upatikanaji wa huduma. Click to expand... Asante sana nawaaminia.... Ningekuwa mie lazima ningewasukuma na wao
Invisible said: Naam, hakukuwa na kuguswa kwa data bali kuzuia upatikanaji wa huduma. Click to expand... Asante sana nawaaminia.... Ningekuwa mie lazima ningewasukuma na wao
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Oct 25, 2015 #142 Invisible said: Naam, hakukuwa na kuguswa kwa data bali kuzuia upatikanaji wa huduma. Click to expand... Halafu, hao jamaa hawakuanza leo eeh? Maana hata jana JF ilikuwa inasumbua sumbua kwa nyakati tofauti tofauti.
Invisible said: Naam, hakukuwa na kuguswa kwa data bali kuzuia upatikanaji wa huduma. Click to expand... Halafu, hao jamaa hawakuanza leo eeh? Maana hata jana JF ilikuwa inasumbua sumbua kwa nyakati tofauti tofauti.
C CT SCan Mchina JF-Expert Member Joined Mar 13, 2013 Posts 1,311 Reaction score 287 Oct 25, 2015 #143 Pamoja Daima√
cow boy Member Joined Feb 16, 2014 Posts 13 Reaction score 2 Oct 25, 2015 #144 Hao ni waatu wasio taka amani kabisa poa
H Himosolelo Mbeta Member Joined Sep 29, 2015 Posts 26 Reaction score 5 Oct 25, 2015 #145 Muwabaini tafadhali wahusika ili tuwatambue japo tahadhali ilishatolewa na mwanahalisi kuwa hali hiyo ingeweza kutokea. Hamkuchukua tahadhari????
Muwabaini tafadhali wahusika ili tuwatambue japo tahadhali ilishatolewa na mwanahalisi kuwa hali hiyo ingeweza kutokea. Hamkuchukua tahadhari????
M Mapigo7 Member Joined Sep 8, 2015 Posts 14 Reaction score 1 Oct 25, 2015 #146 Du! Mimi nilijua MB zangu zimekata kumbe kulikuwa na hujuma? Asante kwa taarifa.
Wilson Gamba JF-Expert Member Joined Mar 1, 2013 Posts 808 Reaction score 878 Oct 25, 2015 #147 poleni sana wakuu
C CT SCan Mchina JF-Expert Member Joined Mar 13, 2013 Posts 1,311 Reaction score 287 Oct 25, 2015 #148 #WATASHINDANA ~lakini ~ HAWATASHINDA.....''
K kajunju JF-Expert Member Joined Jun 30, 2011 Posts 999 Reaction score 317 Oct 25, 2015 #149 melo nakushukuru. mim nimezima cmu mara nyingi lakini olaaah. apa kituo tunapga picha na kutuma humu ili tuone bao la mkono
melo nakushukuru. mim nimezima cmu mara nyingi lakini olaaah. apa kituo tunapga picha na kutuma humu ili tuone bao la mkono
MAHANJU JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 5,252 Reaction score 8,003 Oct 25, 2015 #150 Duh! Poleni sana management ya JF, Hii ndo bongo junayoijua! Yaani kila kitu ni kuharibiana tu ilimradi kumharibia Mtu! Mungu atawalinda Daima.
Duh! Poleni sana management ya JF, Hii ndo bongo junayoijua! Yaani kila kitu ni kuharibiana tu ilimradi kumharibia Mtu! Mungu atawalinda Daima.
M mang ii Senior Member Joined Oct 16, 2015 Posts 112 Reaction score 20 Oct 25, 2015 #151 Safii sanaa Kiongozi Nilishindwa kuipata jf tokea saa nane mchana ...hao watu na walaaniwe
Mzimu wa Kolelo JF-Expert Member Joined Apr 16, 2013 Posts 2,790 Reaction score 8,330 Oct 25, 2015 #152 Ongereni mana dah Ila ubabe wao utakwisha ndani ya cku chche zijazooo
Prishaz JF-Expert Member Joined Nov 18, 2011 Posts 2,898 Reaction score 5,020 Oct 25, 2015 #153 Nimetaabika sana leo Max na team nzima poleni na hongereni kwa kushinda hila za shetani. Long live JF
Nimetaabika sana leo Max na team nzima poleni na hongereni kwa kushinda hila za shetani. Long live JF
ISO M.CodD JF-Expert Member Joined Feb 17, 2013 Posts 7,845 Reaction score 16,942 Oct 25, 2015 #154 Invisible said: Naam, hakukuwa na kuguswa kwa data bali kuzuia upatikanaji wa huduma. Click to expand... Tunaweza tukapata technical report about the attack? Type, magnitude, source, amplification technique used, mitigation steps taken? I thought JF is protected by the CloudFlare network. Didn't it help?
Invisible said: Naam, hakukuwa na kuguswa kwa data bali kuzuia upatikanaji wa huduma. Click to expand... Tunaweza tukapata technical report about the attack? Type, magnitude, source, amplification technique used, mitigation steps taken? I thought JF is protected by the CloudFlare network. Didn't it help?
B.4really Senior Member Joined Jan 30, 2013 Posts 199 Reaction score 89 Oct 25, 2015 #155 Daaah me nikajua Wenda simu yangu inazngua na hatmaye kunipelekea kuanza kuichokonoa simu yangu
J joseph once Member Joined May 9, 2012 Posts 27 Reaction score 14 Oct 25, 2015 #156 big up waheshimiwa
Mtanganyika JF-Expert Member Joined Jul 18, 2007 Posts 1,601 Reaction score 955 Oct 25, 2015 #157 Twende Kazi
cerengeti JF-Expert Member Joined Jan 19, 2011 Posts 3,878 Reaction score 1,626 Oct 25, 2015 #158 Katiba ya jamhuri ya muungano, bara ya 18 na 21 kifungu cha pili?. ni haki ya kila raia kutoa ama kupokea taarifa na ni wajibu wake pia kuzitumia taarifa hizo kwa maendeleo ya taifa. Wamejaribu lakini wameshindwa. Wameshindana lakini wameshindwa. Mungu ibariki Tanzania.
Katiba ya jamhuri ya muungano, bara ya 18 na 21 kifungu cha pili?. ni haki ya kila raia kutoa ama kupokea taarifa na ni wajibu wake pia kuzitumia taarifa hizo kwa maendeleo ya taifa. Wamejaribu lakini wameshindwa. Wameshindana lakini wameshindwa. Mungu ibariki Tanzania.
Valentina JF-Expert Member Joined Oct 12, 2013 Posts 24,684 Reaction score 28,777 Oct 25, 2015 #159 Bora mmerudi. Hali ilikua tete,waliofanya hujma wapofuke